Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhh acha kudanganya watuNina mademu wawili. Wote wana huo ukimwi wenu feki tena kwa kuwapima mwenyewe kwani walikuwa hawaamini kwamba naweza kuwa nao ili hali wao ni positive mm negative. Nakung'uta kavu na niko sawa kabisa
Kwa taarifa yako TB na malaria kali hupelekea vipimo kusoma +ve. Na kumbuka TB ni magojwa yanayoambukizwa kwa njia ya hewa so obviously huyo mwenza wake asingeweza kuepuka majibu yaliyo sawa na partner wake. We unafukiri kuna cha ajab hapo¡!!!?No kuna mtu X namfaham alikua anaishi na mtu but hakuwahi kujua kama ana hiv na hajawai kumuona akimeza dawa au kuona dawa zake kwa kifupi hamezi dawa Yan mpaka leo na wala haumwi na ukimuona huwezi jua kama anao but baada ya muda yule mtu X akaanza kuumwa mara kikohozi mara kwa mara na mwili ulianza kubadilika ikabid aende hosp kubwa wakampima TB ikawa +ve wakamwambia lazima apime HIV akakutwa nayo,alichanganyikiwa sana but wakamshauri vizur nakumwambia amuite huyo mtu wake alikubali ikawa +ve nae anyway point yangu Mbona huyu mtu X hakujua kama alikua nao but mwisho wa siku akaanza kuugua?
Alafu nikishadanganya nafaidika nini.Tatizo hupendi kushughulisha akili yako. Kila unachoambiwa na mzungu kwako ni yes.Mhh acha kudanganya watu
Badala unihurumie unaniambia niendelee. Unataka ugundue nn kwanguEndelea tu kukung'uta
Huruma ya nn tena mkuu???[emoji28][emoji28]Badala unihurumie unaniambia niendelee. Unataka ugundue nn kwangu
Sasa si uendelee kusubiri hata muda huo ufike.Si mpaka miezi 3 au 4 mkuu ipite mkuu?
PoaMbona darasa lipo humu kitambo sana toka 2015 huko. Tafuta nyuzi za jamaa anaitwa deception. Ni nondo zenye ujazo wa hatari
We Ni Muongo Unadanganya Umaa.Nina mademu wawili. Wote wana huo ukimwi wenu feki tena kwa kuwapima mwenyewe kwani walikuwa hawaamini kwamba naweza kuwa nao ili hali wao ni positive mm negative. Nakung'uta kavu na niko sawa kabisa
NomaUnawapoteza wenzako mkuu
Jirani yangu (18yrs form 3) kapimwa kakutwa nao
Acha kabisa huu ugonjwa upo
nimeogopa sana
Uko Salama MkuuHuyu binti inaonekana alikuwa anajua hali yake. Hakuwa na wasiwasi kabisa
Kwanini MkuuAIDS ni utapeli kama Covid.Ni utapeli wa wasaka tonge tu.
Vipimo vya zamani hivyoSi mpaka miezi 3 au 4 mkuu ipite mkuu?