Hofu ya maambukizi ya VVU inanimaliza kiafya, nilishiriki ngono na muathirika wa UKIMWI

Hofu ya maambukizi ya VVU inanimaliza kiafya, nilishiriki ngono na muathirika wa UKIMWI

Sijawahi kupitia comments za watu mwanzo mwisho hv ila huu uzi imebidi[emoji38][emoji38]

Huyu jamaa goodhearted daah kuna tatizo mahali au imekuaje aisee[emoji28]
Ukimwi umepewa exception kubwa sana, kiasi kwamba watu wameacha kufikiria. Leo ukizini na mtu aliyesingiziwa huu ugonjwa alaf usipopata maambukizi, watasema ulimuandaa vzr, ooh hapakuwa na michubuko na blah blah nyingi. Ugonjwa kuupata mpaka masharti hivyo? [emoji1787][emoji1787]

Ww si ni mwanaume? Unaujua ugonjwa wa gono? Demu akiwa na gono, mpake kilainishi kadri uwezavyo, alafu chomeka tu mashine Wala usipump. Then itoe ondoka, siku chache mbele lazima ukutwe na gonorrhea. Sasa huyu ukimwi yeye inakuwaje? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii brain wash tulofanyiwa ni ya kiwango cha bahari asee. Yani umekaa zaidi ya mwezi(muda mliopewa na matapeli kwamba virusi vitakuwa vimeonekana) umepima huna kitu. Lakini bado una kiherehere et yawezekana vipimo vimekosea au sijui virusi vimejificha kwenye angle flani ya mwli kwo unahitaji kipimo sijui cha ukubwa gani. Lakini tambua yote hiyo ni janja ya tapeli kunetia mwili wako ili mradi tu vichore vimstari viwili aanze kuvuna mahela.

Kwa nn malaria au tb ni mara moja tu. Unayo unayo kweli huna huna kweli
Ahaaaaaaa sema umenichekesha duh
 
Nilianza ku-doubt ukweli wa HIV-Aids zamani sana mkuu.Kwa nini nilianza ku-doubt kama kweli HIV-Aids ipo?

Moja,Daktari mmoja alinitonya kwamba walipokuwa wanapima Aids bila kuingiliwa na wanaoitwa kimakosa wafadhili(hawa ni matapeli na wezi tu kama wengine),wao kama wao hawakupata cases za Aids.Daktari huyo akaendelea kuniambia something queer hapenned:Wafadhili hao walichagua watu wao,na hawajui kilichotokea, ila baada ya hapo,cases za HIV zikaanza kuwa reported.Daktari huyo anasema most likely hela ilitembea (kama ilivyotembea kwenye Covid).Akamalizia kusema,ukweli ni kwamba watu wengi wamesingiziwa wana Aids,na wanafakamia madawa ambayo hatimaye yata-wadhuru.

Pili,kwa muda mrefu sasa nimekuwa najaribu kupata Scientist yeyote ambaye ameshawahi ku-isolate the HIV-Virus sijapata.Nimekuwa nafanya hivyo hivyo kwenye Covid,lakini sijafanikiwa.Naomba kama yupo mtu hapa JF or anywhere ambaye ana scientific evidence kwamba the HIV Virus or the Covid Disease Virus has been isolated anipe,I will very much appreciate it.

Tatu na Mwisho,the former South African President Mbeki also doubted the assertion that HIV-Aids is caused by a Virus.He said, "AIDS is not caused by a Virus but rather by poisoning from from various sources including medication,on the shelf foods,plastics,air pollution etc.etc." Indeed the symptoms of HIV-Aids resemble very much those of slow poisoning over time.
Mzee Virus huwezi kumfanyia isolation kwasababu yeye ni Obligate parasite, hivyo hawezi kuishi mazingira ya nje na host.Tofauti na Bacteria au fungus,nk.Ambao unaweza kuwafanyia isolation na wakaendelea kuishi kwa Kutumia teknolojia ya Microbial culture kwenye maabara.Hivyo kutowafanyia isolation HIV virus sio Sababu ya kufanya tusiamini uwepo wa hawa Virus.Hata Virus wa aina nyingine pia huwezi kuwa isolate,je utasema nao pia hawapo??.Hebu soma vizuri Koch's postulates na exception zake utanielewa.
 
Hofu ya kunyandua manzi mwenye ngoma we iache tu.
Mara ya kwanza kunitokea alikuwa sister fulani aliyekuwa karithishwa nyumba na wazazi wake. Nikaenda kucheki ghetto sikupapenda lakini tukabaki tunawasiliana. Nikamtonya game akakubali, muda wa show ulipofika aliniambia kitu ambacho sukukifikiria sana lakini kilikuwa na maana kubwa "usipokuja na condoms shauri yako".
Siku chache baada ya kugonga nikapata taarifa toka kwa watu tofauti kuwa manzi kaungua. Sikuwa na hofu sababu nilitumia ndom ya rough rider tena kwa ufasaha.
Mara nyingine alikuwa sister mmoja rafiki yangu, kuna siku nikamtonya game akakubali, kwenye show ile ndio navaa ndom nikamuona anapaka lubricant kwenye K, nikamuuliza hiyo vipi tena? Akajibu 'ni kwa ajili ya usalama wako'. Nikamuuliza ulishaungua? Akajibu kitambo sana. Kwa kuwa kila mwanamke namchukulia kama hazardous being, nikagonga show kama kawaida. Baada ya game nikamuuliza ulipataje ukimwi? Alichonishangaza alichukulia lile swali kawaida, akanijibu kwa uwazi kuwa boyfriend wake aliambukizwa na sugar mama na yeye akamwambukiza.

Ni ngumu sana kumjua mtu mwenye ukimwi, hasa kwa wanaotumia madawa. Usikubali starehe ya nusu saa au lisaa ikakusababishia shida kwa miaka zaidi ya 30. Cha kufanya kama wote hamjapima pamoja vaa condom kwa usahihi, itakusaidia.
Daah hivi ukiwa na uhakika mtu kaunguaa hata dudu inasimamaje mkuu???
 
Asante sana mkuu,umesaidia sana ku-expand my comment with simplified scientific facts.Thankyou so much.Niseme hivi,the intelligent see what is happening,lakini wajinga na wapumbavu wataendelea kudanganya.
Huu ugonjwa umejengwa zaidi kwenye himaya ya hofu. Wazungu wahuni sana. Hata corona, isingekuwa ujio wa hii vita ya Ukraine, bado ungeendelea kutamba. Vita kidogo tu, corona imesahaulika kabisa, mawazo yamehama [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Corona iliua sanaa na kweli Ugonjwa ulikuwepooo maana watu walikufaa... Leo hii huwezi kusikia mtu kafa na Tauni wala Polio yani ni mara chache sana ila enzi hizo watu walikufaa sanaa hata kwa Diarrhea ilikuwa haitibiki maana hakuna dawa. So science is really ila pia ina limit zake kuna vitu vinabaki kuelezewa mpaka capacity ya mwanadamu ilipofika mfano Ishu ya Cancer bado imebase kwenye Mutation theory ila unakuta Cause wa cancer ni aina flani tu ya Bacteria ambae hadi leo hajulikani.. Hivyo hivyo kwa Ukimwi wazungu waliona watu wanadisplay same medical condition miaka hiyo ila kila tiba waliojaribu ilishindikana na watu walikuwa wanapukutikaa kweli jamani hadi leo Ukipata Ukimwi either unaamini au huamini kuna stage usipotumia dawa yani Utakupigaa haswaa..
 
Huu ugonjwa umejengwa zaidi kwenye himaya ya hofu. Wazungu wahuni sana. Hata corona, isingekuwa ujio wa hii vita ya Ukraine, bado ungeendelea kutamba. Vita kidogo tu, corona imesahaulika kabisa, mawazo yamehama [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Propaganda ya Corona ilishindwa kufanya kazi vizuri afrika sababu tullikuwa Natural immune kwa ule Ugonjwaa ila wazuungu hata mafua tuu yanawapaga shida ndo maana Symptoms na pneumonia iliwaua sana wazunguuu...!! Mimi hadi kesho huwezi nichoma Chanjo ya Coronaaa
 
Ukimwi sio ugonjwa mkuu,ndio maana siku hz hukuti wagonjwa wake wakilazwa mahospitalini,hukuti wanakondeana kama zamani,wanakula dawa na wanaendelea na maisha kama kawa,na kama mgonjwa ni mtu wa monde anagonga kama kawa
Hapana,nasema hapana sio kitu cha kukizoea hicho. Ni mjombangu anatumia dawa. Huwa nashare nae story,namuona kabisa anavyo-suffer. Mara utasikia mkono unauma. Mara mguu uvimba kitu,mara umepata ganzi. Na ile hali ya kumeza dawa kila siku. No
 
Ni siku ya 31 leo tangu nianze kutumia dawa za Kuzuia maambukizi ya Ukimwi kwa watu walio hatarishi kupata ugonjwa huo (PEP), Dozi hii nimeimaliza jana.Hofu niliyo nayo imenifanya nishndwe kufanya kitu chochote cha maana zaidi ya kuzorota mwili.

Binafsi nina utaratibu wa kupima afya kwa kila mwanamke mpya ninaekutana nae, lakini siku ya kufa nyani miti yote huteleza.
Huyu mdada sikuwahi kukutana nae katika maisha yangu, kwa mara ya kwanza nimekutana nae MALAIKA BEACH HOTEL MWANZA ilikuwa ni usiku wa Jumapili, Mimi nikiwa ni mgeni pale kwa siku kadhaa na huyu dada alikuwa na marafiki zake kwenye meza iliyokuwa pembeni yangu. Kwa umbo na uzuri wamebarikiwa haswa.

Alikuwa amevaa vazi ambalo ukichanganya umbo na rangi yake kwa namna yoyote ile mwanaume yeyote aliyekamilika lazma atatamani kuwa karibu, na vyombo vilikuwa vimeshanikolea kama saa 6 hivi usiku nikamuita kumuomba kampani ahamie kwenye meza yangu hakusita, huo ukawa mwanzo ambao mwisho wake tukawa wote kwenye room yangu niliyofkia pale hotelini. Siku hii sikuwa na vipimo, nilijaribu kutafuta pale hotelini nikakosa ilibidi nichukue condom, Tukafanya sikuwa na vurugu katkati ya mchezo mwenyewe nikaomba kuchomoa ile condom akakubali hata hivyo sikuchukua mda nikamaliza baada ya kumaliza nikawa najilaumu sana na sikurudia tena mpaka alivyoondoka tukapanga, tukutane kesho yake ili tuweze kupima tufanye mambo yetu kwa uhuru, Akakubali.

kesho yake Jumatatu Akaja, na mimi nikawa tayari nimeshanunua Vipimo. Mwenzangu akabadilika akagoma kupima baada ya kumbembeleza kwa mda mrefu akakubali kwa sharti nianze mimi na majibu yeye nisimpe nibaki nayo mimi. Baada ya kupima majibu yake yakawa na changamoto. Nilijihisi kufa na isitoshe kipindi tunapimana ile kujitoboa nilishika kile kidole chake bila tahadhari, Sehemu ya damu yake ikagusana na kidole chngu nilichojitoboa kutoa damu. Hapa nilichanganyikiwa zaidi.

Asubuhi ya Jumanne nimeamka mapema kazi ilikuwa ni kusaka hospital ambayo naweza Kupata dawa za PEP ili nianze dozi, nilizunguka na boda kama kichaa. Jana nimemaliza hii dozi na kila wiki tangu nianze kutumia hii dozi nacheki afya yangu. Mpaka mda huu bado sijapata maambukizi ila nina hofu sana.

Kila nikifikiria huu ugonjwa napata shida sana.
Watu wangejua zaidi matumizia ya PeP na Prep
 
Propaganda ya Corona ilishindwa kufanya kazi vizuri afrika sababu tullikuwa Natural immune kwa ule Ugonjwaa ila wazuungu hata mafua tuu yanawapaga shida ndo maana Symptoms na pneumonia iliwaua sana wazunguuu...!! Mimi hadi kesho huwezi nichoma Chanjo ya Coronaaa
Mafua ya wazungu huko America sio mafua haya ya kwetu tulio zoea, mimi nilipo fika America, ilipo fika mwezi wa 11, tukaambiwa tu pige chanjo ya mafua , ilikua mwaka 1998 , kwa vile nimetoka Africa na naimesha ishi Ulaya kabla ya kwenda America, nikasema yani nipoteze $100 kwa ajili ya chanjo ya mafua ambayo tunaumwa kila siku huku Africa , nikasema wasinitanie, hivyo siku chanja, Kilicho tokea sita sahau, nika umwa mafua makali, ilikua zaidi ya malaria ,mafua ambayo sija wahi kuumwa maishani , symptoms zote za marlaria plus mafua makali, hata Ulaya nilipo kuwa sikuwahi umwa mafua ya hivyo .
 
Nina mademu wawili. Wote wana huo ukimwi wenu feki tena kwa kuwapima mwenyewe kwani walikuwa hawaamini kwamba naweza kuwa nao ili hali wao ni positive mm negative. Nakung'uta kavu na niko sawa kabisa
Hao mademu zako wana weza wasikuambukize kwa sababu wana tumia dawa, na kusababisha viral load kuwa ndogo kiasi cha kuto kuambukia na pia labda katika ufanyaji wa ngono nzembe huwa una waandaa bila kujua matokeoa yake wanakua wamesha lowana na kupunguza michubuko , Wewe cha kufanya ili uwe una uhakika kama hakuna ukimwi, nenda kanunua sindano, halafu mchome demu wako halafu nyonya damu yake , halafu jichome na wewe ujiwekee damu ya mwanamke wako, , hapa tujue kama kuna HIV au hakuna kwa uakika utakua umesaidia sana kutufanyia research kujua kama kuna HIV au la na pia ili tuwe na uhakika kama kweli dawa zina saidia au la , kama utabahatika kupaa HIV basi , ducument kila kitu na usitumie dawa tuone kama kweli kuna kitu kama kunywa dawa ili kuwezesha kupunguza makali ya Vizuri ,si unajua hawa wazungu ni waongo sana wanataka kutupa woga kwnye kila kitu,
 
Unaelewa nn kuhusu antibody na antigens mkuu? Tuanzie hapo
Ok, kama utatusaidia kwanini usijaribu kujidunga damu ya anye sadikika kama ana amaambukizi ya HIV, ili tujue kama huu ugonjwa upo au haupo ?
 
Hao mademu zako wana weza wasikuambukize kwa sababu wana tumia dawa, na kusababisha viral load kuwa ndogo kiasi cha kuto kuambukia na pia labda katika ufanyaji wa ngono nzembe huwa una waandaa bila kujua matokeoa yake wanakua wamesha lowana na kupunguza michubuko , Wewe cha kufanya ili uwe una uhakika kama hakuna ukimwi, nenda kanunua sindano, halafu mchome demu wako halafu nyonya damu yake , halafu jichome na wewe ujiwekee damu ya mwanamke wako, , hapa tujue kama kuna HIV au hakuna kwa uakika utakua umesaidia sana kutufanyia research kujua kama kuna HIV au la na pia ili tuwe na uhakika kama kweli dawa zina saidia au la , kama utabahatika kupaa HIV basi , ducument kila kitu na usitumie dawa tuone kama kweli kuna kitu kama kunywa dawa ili kuwezesha kupunguza makali ya Vizuri ,si unajua hawa wazungu ni waongo sana wanataka kutupa woga kwnye kila kitu,
Mkiishiwa pointi huwa mnakilimbila kusema hio kauli, "jidunge sindano yenye damu ya mwenye ukimwi kama huamini". Na si ww tu bali wote mnaoabudu ibada ya ukimwi. Na mkiona mtu hana na mwenza ni +ve utasikia hua anamwandaa vizuri. Yani kama wapiga ramli vile. Sasa mm hua najiuliza kwa hiyo wote wanaoambukizwa wanapewa damu mbovu au +ve wote wanafanya mapenzi bila kuandaana

Mdau hapo juu amekupa mfano mdogo tu, jaribu kumlowanisha mpenzi wako mwenye gono alaf chovya dudu lako tu uondoke. Baada ya siku mbili lete majibu. Sasa kwa nini ukimwi iwe tofauti wakati yote ni STDs.

Wake up you black person
Hivi unafikiri hili la kujidunga damu halijafanywa. Au unafikiri watu wanapinga kindezi tu. Ni utafiti umefanywa broo.

Nikupe assignment, tafuta habari za jamaa anaitwa Robert Wilner. Aliifanya hili hazarani kwa kujidunga damu ya mwathirika. Unajua nn kimpata kutoka kwa wamiliki ww mradi wao.

Kwa taarifa yako hii ni biashara tena inayolipa sana kwa wanaoimiliki. Hivyo hawako tayari kwa mamna yoyoye ile kuona kinyangaragata from no where kikijaribu kuiharibu.
 
Back
Top Bottom