Hofu ya maambukizi ya VVU inanimaliza kiafya, nilishiriki ngono na muathirika wa UKIMWI

Hofu ya maambukizi ya VVU inanimaliza kiafya, nilishiriki ngono na muathirika wa UKIMWI

Uko sahihi mkuu. Watu wengi wasichojua ni namna gani HIV AIDS inapipwa, na hapo ndipi wanapopigiwa.

Mwili wa binadamu umeumbwa kiasi kwamba unaweza kupambana na magonjwa kwa kutumia Kinga hasili ya mwili/antibody (assume antibody ni kama wizara ya ulinzi). Leo hii uking'atwa na mbu wa malaria, antibody (wizara ya ulinzi) ikidetect ilo jambo itarelease antigens (assume hawa ni askari sasa) ili kuweza kufight vimelea vya malaria. Na ikivishinda, mwili utakuwa salama, hautopata malaria. Kwahiyo tukisema tukupime wewe, tukikuta una antigens waliokuwa wanapigana na vimelea vya malaria, hatuwez kusema unamalaria, Bali tutaupongeza mwili kwa kuweza kujilinda. Ili tuseme una Malaria, lazima wale bacteria wanaosababisha Malaria wawe nidetected, wakishaonekana kwenye vipimo hapo tunasema unamalaria, then unapewa dozi ya malaria. Na antigens wapo wa aina tofauti tofauti kutegemeana na mwili unapambana na tatizo gani.

Sasa tukirudi kwa upande wa ukimwi, jinsi unavyopimwa ndio inashangaza. Vipimo karibia vyote vya huu ugonjwa fake vinapima uwepo wa antigens. Kwamba Kuna specific antigens wakiwa detected tu, basi utaambiwa una ukimwi. Yani badala waupongeze mwili kwamba umetoa askari wa kuupambania, wao wanauhukumu na kusema uwepo wa wale Askari (antigens) maana yake ww ni mgonjwa. Kwanini magonjwa mengine yote huwa tunapima vimelea vya ugonjwa husika, Ila kwa ukimwi tunapima antigens?

UKIMWI = Upungufu wa Kinga Mwilini, yani wakuu mnaamini kuwa Upungufu wa Kinga aliokuwa nao mtu mmoja, unaweza kuambukiza mtu mwingine?

Tuchukulie mfano rahisi, yani mpenzi wako akiwa na utapiamlo, then akuambukize utapiamlo wake kwa kujamiiana? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hiki kitu kinafikirisha sana
Asante kwa hili mkuu…
 
Mi mwenyewe nabaki kushangaa tu,yaani eti echiaiviii inipe msongo wa mawazo wakati ukiupata unaweza kuishi vizuri zaidi ya asiyenao ukitumia dawa vizuri na kula vizuri tena miaka mingi tu.

Mi naogopa kansa,kisukari, na presha tu,ndio magongwa yanayoubadili kabisa mfumo wa maisha yako
Kuongea ni rahisi sana chief usiombe uwe wa kutumia dawa tu kila siku japo ni kidonge kimoja ila USIOMBE.
 
Ukimwi umepewa exception kubwa sana, kiasi kwamba watu wameacha kufikiria. Leo ukizini na mtu aliyesingiziwa huu ugonjwa alaf usipopata maambukizi, watasema ulimuandaa vzr, ooh hapakuwa na michubuko na blah blah nyingi. Ugonjwa kuupata mpaka masharti hivyo? [emoji1787][emoji1787]

Ww si ni mwanaume? Unaujua ugonjwa wa gono? Demu akiwa na gono, mpake kilainishi kadri uwezavyo, alafu chomeka tu mashine Wala usipump. Then itoe ondoka, siku chache mbele lazima ukutwe na gonorrhea. Sasa huyu ukimwi yeye inakuwaje? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji28][emoji28] daah mkuu unataka kusema nn sasa???
 
Nilichojifunza vijana wengi au watu wengi wanapataga ngoma, kwa sababu ya mazoea kama haya...
Mimi hata mtu nimpime na vipimo 100 siwezi kuamini kama ni hit and run, never ever, na mwanamke anayetaka umle jicho yani huyo ndio kabisa siwezi kumuamini.

Nimewahi kututana na mwanamke yeye ni Malaya hana haja hata ya kufanya test, akishapiga dry anakula hizi pep.. na anadai hana
 
Pole and relax kama umesalimika mgeukie Mungu na uache uzinzi,vinginevyo shetani ataendelea kukuwinda ili akuingize kwenya jambo baya kuliko hilo..
 
Nilianza ku-doubt ukweli wa HIV-Aids zamani sana mkuu.Kwa nini nilianza ku-doubt Kama kweli HIV-Aids ipo?

Moja,Daktari mmoja alinitonya kwamba walipokuwa wanapima Aids bila kuingiliwa na wanaoitwa kimakosa wafadhili(hawa ni matapeli na wezi tu kama wengine),wao kama wao hawakupata cases za Aids.Daktari huyo akaendelea kuniambia something queer hapenned:Wafadhili hao walichagua watu wao,na hawajui kilichotolea, ila baada ya hapo,cases za HIV zikaanza kuwa reported.Daktari huyo anasema most likely hela ilitembea (kama ilivyotembea kwenye Covid).Akamalizia kusema,ukweli ni kwamba watu wengi wamesingiziwa wana Aids,na wanafakamia madawa ambayohatimaye Yana wadhuru.

Pili,kwa muda mrefu sasa nimekuwa najaribu kupata scientist yeyote ambaye ameshawahi ku-isolate the HIV-Virus sijapata.Ninekuwa nafanya hivyo hivyo kwenye Covid,lakini sijafanikiwa.Naomba kama yupo mtu hapa JF or anywhere ambaye ana scientific evidence kwamba the HIV Virus or the Covid Disease Virus has been isolated anipe,I will very much appreciate it.

Tatu na Mwisho,the former South African President Mbeki also doubted the assertion that HIV-Aids is caused by a Virus.He said that AIDS is not caused by a Virus but rather by poisoning from from various sources including medication,on the shelf foods,plastics,air pollution etc.etc.And indeed the symptoms of HIV-Aids resembles very much those of slow poisoning over time.
Binafsi ningeweza kukuunga mkono kwa hili, but no research, no right to speak, and when you do the research you must come out with evidence which contains data from authenticated sources which can provide truth information about certain phenomena
Vipi ulipima na kujua Afya yako??.
Ndiyo, nilijipima mwenyewe na kujua Afya yangu.
 
Ndio sina research,hii ni circumstancial evidence,ila it is very compelling.Kumbuka kwamba hii ni issue yao,so kuifanyia utafiti is next to impossible.

Hata hivyo to me the fact that hawaja tuonyesha huyo Virus(kama ilivyo kwenye Covid) wanayedai kwamba ana-cause Aids,inahakikisha kwamba wanadanganya.Hii haina tofauti na assertion kwamba mvua ikinyesha na Jua linawaka,basi Simba anazaa.Ni mjinga tu ayeweza kuamini ujinga huu.
Sawa Mkuu, endelea kuwa Thomaso.
 
Nina mademu wawili. Wote wana huo ukimwi wenu feki tena kwa kuwapima mwenyewe kwani walikuwa hawaamini kwamba naweza kuwa nao ili hali wao ni positive mm negative. Nakung'uta kavu na niko sawa kabisa
Chai
 
Mkuu naomba nikuulize swali, hivi kazi ya antibody ni nini? Na pia unafahamu nini maana ya antigens?

Antibody ni protini ya kinga inayozalishwa na mfumo wa kinga kazi yake ni kutambua na kukabiliana na vitu vya kigeni vinavyoingia mwilini kama bakteria na virusi,,,
Antijeni ni chembe chembe zinazosababisha mwili kuunda kingamwili.
 
bro usiwe na shaka kuhusu ilo. uko salama. izo PrEP mim nimeshazitumia round nne nzima na saiz fresh tu nadunda
Mara 4 mkuu? Na hao wote uliotembea nao walikuwa confirmed HIV positive?
 
Back
Top Bottom