Hofu yangu ni kwa Rais ajaye!

Hofu yangu ni kwa Rais ajaye!

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Je, ni kweli ataweza kuvumilia aendelee kukifuga kifungu cha kutoshtakiwa watangulizi wake?!

Je, ni kweli wanaopitisha vipengere vya hovyo kwenye MIKATABA ajaye anaweza kuwavumilia na kuwatangazia msamaha?!

Mwenzenu ninayo hofu kuu iliyo wazi kuhusu ajaye kutokuyavumilia hayo hapo juu!

MWENZENU NINAYO HOFU KUU HUENDA MSTAAFU AJAYE AKAISHIA LUPANGO!

Dalili si rafiki tena na mazingira yatamlazimisha ajaye kushindwa kuhimili kupuuza kwa sababu ya nyakati. Na ole yake itakuwa usoni pake endapo atalazimisha kupuuza!

Naanza kuhisi huenda unono na utamu wa kuwatumia mamburula kupitisha agenda zetu zinaelekea ukingoni kwa hisani japo kiduchu ya SEKONDARI ZA KATA.

Ama kweli zama huja na kuondoka!
 
Kama huko ndani ya CCM wako wasiofurahia haya mambo yanayotokea sasa, kutoa rasilimali za taifa kwa wageni bila kujali utu na thamani ya ardhi ya Tanganyika, na ikizingatiwa hata Mbowe amesema wapo watu serikalini wasiopendezwa na haya mambo, sitashangaa siku akatokea mmoja miongoni mwao akawafanyia jambo wasilotarajia.

Hasa nikizingatia kuibuka kwa Rais aina ya Magufuli, ambaye licha ya kuaminiwa mwanzo na wenzie chamani, lakini baadae akaja kufanya mambo kinyume na walivyotarajia, basi naamini kabisa, hiki mleta mada ulichoandika kinaweza kutokea siku za mbeleni pasipo wengi kutarajia.
 
Je, ni kweli ataweza kuvumilia aendelee kukifuga kifungu cha kutoshtakiwa watangulizi wake?!

Je, ni kweli wanaopitisha vipengere vya hovyo kwenye MIKATABA ajaye anaweza kuwavumilia na kuwatangazia msamaha?!

Mwenzenu ninayo hofu kuu iliyo wazi kuhusu ajaye kutokuyavumilia hayo hapo juu!

MWENZENU NINAYO HOFU KUU HUENDA MSTAAFU AJAYE AKAISHIA LUPANGO!

Dalili si rafiki tena na mazingira yatamlazimisha ajaye kushindwa kuhimili kupuuza kwa sababu ya nyakati. Na ole yake itakuwa usoni pake endapo atalazimisha kupuuza!

Naanza kuhisi huenda unono na utamu wa kuwatumia mamburula kupitisha agenda zetu zinaelekea ukingoni kwa hisani japo kiduchu ya SEKONDARI ZA KATA.

Ama kweli zama huja na kuondoka!
Watanzania ni waoga sana. Tunachokifanya sasa tutatutia miaka miwili ijayo tukisema ni ccm ni ccm kumbe sisi wenyewe ni tatizo.

Tunamsimamia asiyejua kutuongoza njia wakati yeye mwenyewe hajui?

Awamu ya pili mama siti alisumbua nchi hadi tukachanganyikiwa leo kaja mama siti mwingine wabongo wameshasahau yule mama siti wa awamu ya pili !!

Saa100 na mama siti tofauti ni umri ila upigaji ni ule ule.
 
peno hasegawa, kila nyakati na yawayo yake.

Jiulize, ni mjadala upi ulishawahi kudumu kuongelewa kwa zaidi ya mwezi sasa kama huo wa MKATABA wa BANDARI?

Ndugu yangu, mjadala huu kudumu kwa mda mrefu ukizingumziwa kwa namna ya kuhojiwa kila uchwao wakati mwingine na usiowatarajia kabisa kuhoji basi itoshe kukupa mwanga kwamba tuendako si salama tena kwa blah blah.
 
Je, ni kweli ataweza kuvumilia aendelee kukifuga kifungu cha kutoshtakiwa watangulizi wake?!

Je, ni kweli wanaopitisha vipengere vya hovyo kwenye MIKATABA ajaye anaweza kuwavumilia na kuwatangazia msamaha?!

Mwenzenu ninayo hofu kuu iliyo wazi kuhusu ajaye kutokuyavumilia hayo hapo juu!

MWENZENU NINAYO HOFU KUU HUENDA MSTAAFU AJAYE AKAISHIA LUPANGO!

Dalili si rafiki tena na mazingira yatamlazimisha ajaye kushindwa kuhimili kupuuza kwa sababu ya nyakati. Na ole yake itakuwa usoni pake endapo atalazimisha kupuuza!

Naanza kuhisi huenda unono na utamu wa kuwatumia mamburula kupitisha agenda zetu zinaelekea ukingoni kwa hisani japo kiduchu ya SEKONDARI ZA KATA.

Ama kweli zama huja na kuondoka!
Nakwambia Sam100, Jk wasubirie kufia jela.
Ya Zambia yatahamia kwetu
 
Je, ni kweli ataweza kuvumilia aendelee kukifuga kifungu cha kutoshtakiwa watangulizi wake?!

Je, ni kweli wanaopitisha vipengere vya hovyo kwenye MIKATABA ajaye anaweza kuwavumilia na kuwatangazia msamaha?!

Mwenzenu ninayo hofu kuu iliyo wazi kuhusu ajaye kutokuyavumilia hayo hapo juu!

MWENZENU NINAYO HOFU KUU HUENDA MSTAAFU AJAYE AKAISHIA LUPANGO!

Dalili si rafiki tena na mazingira yatamlazimisha ajaye kushindwa kuhimili kupuuza kwa sababu ya nyakati. Na ole yake itakuwa usoni pake endapo atalazimisha kupuuza!

Naanza kuhisi huenda unono na utamu wa kuwatumia mamburula kupitisha agenda zetu zinaelekea ukingoni kwa hisani japo kiduchu ya SEKONDARI ZA KATA.

Ama kweli zama huja na kuondoka!
Tabia wanazozifanya ccm kwa sasa zitazalisha Magufuli mwingine mjeuri kuliko Magufuli og.
 
Je, ni kweli ataweza kuvumilia aendelee kukifuga kifungu cha kutoshtakiwa watangulizi wake?!

Je, ni kweli wanaopitisha vipengere vya hovyo kwenye MIKATABA ajaye anaweza kuwavumilia na kuwatangazia msamaha?!

Mwenzenu ninayo hofu kuu iliyo wazi kuhusu ajaye kutokuyavumilia hayo hapo juu!

MWENZENU NINAYO HOFU KUU HUENDA MSTAAFU AJAYE AKAISHIA LUPANGO!

Dalili si rafiki tena na mazingira yatamlazimisha ajaye kushindwa kuhimili kupuuza kwa sababu ya nyakati. Na ole yake itakuwa usoni pake endapo atalazimisha kupuuza!

Naanza kuhisi huenda unono na utamu wa kuwatumia mamburula kupitisha agenda zetu zinaelekea ukingoni kwa hisani japo kiduchu ya SEKONDARI ZA KATA.

Ama kweli zama huja na kuondoka!
Rais ajaye akiwa na hulka ama haiba ya kama Tundu Lisu, hatakwepa kuwa "benevolent dictator" kwa ajili ya maslahi mapana ya taifa letu la Tanganyika.
tapatalk_jpeg_1521037927414.jpg
 
Vijana walioko vyuo vikuu wamepiga kimya baada ya kuongezewa bumu.
Tulieni mmalize vyuo na bumu lisitishwe mtokee uraiani mkute kila kitu kimehamia Dubai mtajua hakunaga.

Wasomi walitakiwa wawe wa kwanza kupiga kelele sasa kuweni wapole mtaona mafao ya uongozi wa Saa100 PhD UDSM

Baada ya Wasomi kushindwa kujitetea na kutetea mkataba wa ajabu wa DP World, sasa hawa hapa wapo kazini kutetea Mkataba wa DP World 😳
 

Attachments

  • IMG_0935.MP4
    5.1 MB
Back
Top Bottom