Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Je, ni kweli ataweza kuvumilia aendelee kukifuga kifungu cha kutoshtakiwa watangulizi wake?!
Je, ni kweli wanaopitisha vipengere vya hovyo kwenye MIKATABA ajaye anaweza kuwavumilia na kuwatangazia msamaha?!
Mwenzenu ninayo hofu kuu iliyo wazi kuhusu ajaye kutokuyavumilia hayo hapo juu!
MWENZENU NINAYO HOFU KUU HUENDA MSTAAFU AJAYE AKAISHIA LUPANGO!
Dalili si rafiki tena na mazingira yatamlazimisha ajaye kushindwa kuhimili kupuuza kwa sababu ya nyakati. Na ole yake itakuwa usoni pake endapo atalazimisha kupuuza!
Naanza kuhisi huenda unono na utamu wa kuwatumia mamburula kupitisha agenda zetu zinaelekea ukingoni kwa hisani japo kiduchu ya SEKONDARI ZA KATA.
Ama kweli zama huja na kuondoka!
Je, ni kweli wanaopitisha vipengere vya hovyo kwenye MIKATABA ajaye anaweza kuwavumilia na kuwatangazia msamaha?!
Mwenzenu ninayo hofu kuu iliyo wazi kuhusu ajaye kutokuyavumilia hayo hapo juu!
MWENZENU NINAYO HOFU KUU HUENDA MSTAAFU AJAYE AKAISHIA LUPANGO!
Dalili si rafiki tena na mazingira yatamlazimisha ajaye kushindwa kuhimili kupuuza kwa sababu ya nyakati. Na ole yake itakuwa usoni pake endapo atalazimisha kupuuza!
Naanza kuhisi huenda unono na utamu wa kuwatumia mamburula kupitisha agenda zetu zinaelekea ukingoni kwa hisani japo kiduchu ya SEKONDARI ZA KATA.
Ama kweli zama huja na kuondoka!