Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naogopa,somalia,congo na Libya walianzaga ivivi mkuu😔
Kwa utawala huu tena kuelekea 2025 hata tukisali mungu hatasikia sala zetu kwani tuliyataka wenyewe.Naogopa,somalia,congo na Libya walianzaga ivivi mkuu😔
Kwann tuliyataka wenyewe mkuu?Kwa utawala huu tena kuelekea 2025 hata tukisali mungu hatasikia sala zetu kwani tuliyataka wenyewe.
Mr wake anawashangaa na kuwaangalia tu. Shauri yenuila huyu mama hafai jamani khaaah
Rais ajaye baada ya Samia ni January au RidhiwanJe, ni kweli ataweza kuvumilia aendelee kukifuga kifungu cha kutoshtakiwa watangulizi wake?!
Je, ni kweli wanaopitisha vipengere vya hovyo kwenye MIKATABA ajaye anaweza kuwavumilia na kuwatangazia msamaha?!
Mwenzenu ninayo hofu kuu iliyo wazi kuhusu ajaye kutokuyavumilia hayo hapo juu!
MWENZENU NINAYO HOFU KUU HUENDA MSTAAFU AJAYE AKAISHIA LUPANGO!
Dalili si rafiki tena na mazingira yatamlazimisha ajaye kushindwa kuhimili kupuuza kwa sababu ya nyakati. Na ole yake itakuwa usoni pake endapo atalazimisha kupuuza!
Naanza kuhisi huenda unono na utamu wa kuwatumia mamburula kupitisha agenda zetu zinaelekea ukingoni kwa hisani japo kiduchu ya SEKONDARI ZA KATA.
Ama kweli zama huja na kuondoka!
Niwe mkweli bora 100 Magufuli kuliko tulikofikia.
Dalili si njema.
Tunaongozwa na mtu asiyejulikana lakini matendo yake yanaonekana.
Kwaiyo tumpe nchi askofu wenu pppengo anaewapa bando mtukane serikaliila huyu mama hafai jamani khaaah
Tufwile!!Rais ajaye baada ya Samia ni January au Ridhiwan
Delila delila mkuu.Kwann tuliyataka wenyewe mkuu?
Yule PhD wa singida namuona hapa anakushangaa sanaRais ajaye baada ya Samia ni January au Ridhiwan
KivpNaughty by nature weka akiba ya maneno.
Ndo viongozi wajifunze kwa watawala wa hizo nchi walikosoea, waache upuuzi na ujinga ili yaliyotokea huko yasitokee hapa kwetuNaogopa,somalia,congo na Libya walianzaga ivivi mkuu😔
Masaburi ni yako,toa tuhTufwile!!