To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Ikitokea vita watapona wao siye na wanetu tutaangamia mkuuNdo viongozi wajifunze kwa watawala wa hizo nchi walikosoea, waache upuuzi na ujinga ili yaliyotokea huko yasitokee hapa kwetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikitokea vita watapona wao siye na wanetu tutaangamia mkuuNdo viongozi wajifunze kwa watawala wa hizo nchi walikosoea, waache upuuzi na ujinga ili yaliyotokea huko yasitokee hapa kwetu
Kabisaila huyu mama hafai jamani khaaah
😔DaahDelila delila mkuu.
Nikumbushe siku anachaguliwa kuwa chini ya mkuu wa Tz ,
Uti tulumanye🤒Tufwile!!
Kwani watawala wa hizo nchi ulizotaja hatma za viongozi na familia zao zilikuwaje?Ikitokea vita watapona wao siye na wanetu tutaangamia mkuu
😁😁Uti tulumanye🤒
Mbombo ngafu fijoUti tulumanye🤒
Wanapeana kwa connectionKaka hii ndio nchi ilipiganiwa uhuru upatikane waibe angalia history ya viongozi wana peana tu kama ubuyu
Ndio ivi mimi nije kuwa kiongozi hapa tz labda nimwage mpunga mezani tena wakutoshsWanapeana kwa connection
Humjui wanayemwabudu?Nilichojifunza wamama wa visiwa vile ni wapigaji kuliko Mr wao.
Na usoni ukiwaangalia hawaa nusu ya aibu?
Na sijui wanamwabudu mungu yupi?
Ukoo wa panya ni wa panya tu, hawezi kuzaliwa paka humo.Je, ni kweli ataweza kuvumilia aendelee kukifuga kifungu cha kutoshtakiwa watangulizi wake?!
Je, ni kweli wanaopitisha vipengere vya hovyo kwenye MIKATABA ajaye anaweza kuwavumilia na kuwatangazia msamaha?!
Mwenzenu ninayo hofu kuu iliyo wazi kuhusu ajaye kutokuyavumilia hayo hapo juu!
MWENZENU NINAYO HOFU KUU HUENDA MSTAAFU AJAYE AKAISHIA LUPANGO!
Dalili si rafiki tena na mazingira yatamlazimisha ajaye kushindwa kuhimili kupuuza kwa sababu ya nyakati. Na ole yake itakuwa usoni pake endapo atalazimisha kupuuza!
Naanza kuhisi huenda unono na utamu wa kuwatumia mamburula kupitisha agenda zetu zinaelekea ukingoni kwa hisani japo kiduchu ya SEKONDARI ZA KATA.
Ama kweli zama huja na kuondoka!
Hivi alikuwa mama siti au ni yule Khadija?Watanzania ni waoga sana. Tunachokifanya sasa tutatutia miaka miwili ijayo tukisema ni ccm ni ccm kumbe sisi wenyewe ni tatizo.
Tunamsimamia asiyejua kutuongoza njia wakati yeye mwenyewe hajui?
Awamu ya pili mama siti alisumbua nchi hadi tukachanganyikiwa leo kaja mama siti mwingine wabongo wameshasahau yule mama siti wa awamu ya pili !!
Saa100 na mama siti tofauti ni umri ila upigaji ni ule ule.
askofu gani mi sio mkatoliki mkuu jitahidi kuwa na breki na vituoKwaiyo tumpe nchi askofu wenu pppengo anaewapa bando mtukane serikali