Hofu yangu ni kwa Rais ajaye!

Possibly jambo still ni Ngumu sana, Magufuli amewaachia somo Kubwa sana hawa wenye Mikono Mirefu, Ni ngumu tena kurudia kosa tena kwa kipindi kifupi ivi
 
Rais ajaye baada ya Samia ni January au Ridhiwan
 
Naogopa,somalia,congo na Libya walianzaga ivivi mkuu😔
Ndo viongozi wajifunze kwa watawala wa hizo nchi walikosoea, waache upuuzi na ujinga ili yaliyotokea huko yasitokee hapa kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…