Hofu yatanda kwa Wabunge wa CCM, baada ya Tulia Ackson sasa Mrisho Gambo ataka jimbo la Arusha ligawanywe

Hofu yatanda kwa Wabunge wa CCM, baada ya Tulia Ackson sasa Mrisho Gambo ataka jimbo la Arusha ligawanywe

we unajua maana ya ukubwa wa jimbo? we akili yako ni km hao nyumbu wa Ngorongoro. Jimbo la Arusha lina wakazi 617,631 na jimbo la Ngorongoro lina wakazi 273,349. Jimbo la Arusha ni zaidi ya mara 2 ya jimbo la Ngorongoro. au umehesabu na wanyama? Hivi kwanini wapumbavu km wewe huwa wanazaliwa? Nimesikitika sana. Hata hivyo sishabikii ugawaji wa majimbo kwani nashangaa mbunge moja anashindwaje kuhudumia wakazi km laki 7.
Kwani anahudumiaje kila mkazi au kila nyumba ya wakazi wa jimbo ? Si hoja wingi wa watu yeye hahudumii mtu mmoja mmoja kama Daktari anavyofanya !!

Mbunge kazi yake ni kupigania hizo huduma za kijamii ziletwe jimboni kwake! Kama maji barabara na vitu kama hivyo !! Anachotakiwa kufanya huyo mbunge ni kuvisemea Hivyo vitu na kufuatilia ili vifanyike basi !!
 
Mbeya mjini,
Arusha mjini,
Bumbuli,
Korogwe vijijini,
Ubungo,
Kawe,
Kibamba,
Kwa yule mlevi mpenda beer,
Hai,
Iringa mjini,
Jimbo la Lissu na
Muheza.
 
Mbeya mjini,
Arusha mjini,
Bumbuli,
Korogwe vijijini,
Ubungo,
Kawe,
Kibamba,
Kwa yule mlevi mpenda beer,
Hai,
Iringa mjini,
Jimbo la Lissu na
Muheza.
Wapigweee tumechoka
Ni aibu sana kwa chama kinacho jinasibu kuongoza taifa kinaogopa uchaguzi.
Kinaengua wapinzani eti kipite bila kupingwa.
Sijawahi wadharau ccm kwa kiwango hiki.
 
Back
Top Bottom