Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Kwamba kumbe Hayati Magufuli alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.

Umoja Party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhilifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.

Kwanini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
 
Wakati huo huo usisahau kufata ushauri wa Mzito Kabwela.
Ushauri 🐒👇

 
Ushauri 🐒👇

20220419_125510.jpg
 
Kwamba kumbe hayati JPM alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.

Umoja party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhirifu na wananchi wa kawaida

Kwa nini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?

Magufuli hajawahi kukubalika basi to mnalazimisha Watu waongee uongo. 2015 alipata asilimia 57 Kura chache kuliko mgombea yeyote wa CCM kwenye nafasibya urais. Na 2020 akaamua kuiba na kuharibu uchaguzi na kutokana na hayo dhambi ikabidi karma iondoke naye.
 
Back
Top Bottom