Zamu yako inakujaTunachofurahia dikteta uchwara wa kihutu yuko motoni sasa hivi hayo mengine mtajua wenyewe wajane na yatima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamu yako inakujaTunachofurahia dikteta uchwara wa kihutu yuko motoni sasa hivi hayo mengine mtajua wenyewe wajane na yatima
Ccm watajidai hawastuki lakini ukweli wafuasi wa magufuli wakijitenga kuanzisha chama chao kama inavyoonekana ccm itaanguka chali tumbo juu. Hao wataalam wao wa kuiba kura nape nnauwe na makamba kipara ngoto wstashindwa kuiba mamilioni ya kura kupata ushindi. Hapo ndipo tutaona ccm ikianza kutawala bila ridhaa ya wananchi kama hawatakua na ustaarabu kukabidhi dola.Kwamba kumbe Hayati Magufuli alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.
Umoja Party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhilifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.
Kwanini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Kitaogopwa kwa Sera nzuri zenye kubeba maslahi ya wananchi na nchi yenyewe.Bwana Paulsylvester Chama hata usajiri bado hakijapata tayari kimeshaanza kuogopwa? Kwa lipi? kinakuja na nini?
Ccm chama dola chama dume ndio kiogope Umoja party kweli?
We nae na Elimu yako kumbe brainwash tu.Tatizo Elimu ndogo huwezi elewa, alikua sana uchumi wa muda mrefu maana mzunguko wa pesa (Currency in circulation + Demand Deposits) zilishuka sana kwa sababu ya biashara kufungwa na serikali kuingilia private sector na pia kufanya biashara rejea kulazimu TTCL na Air Tz ziwe competitors.
Alifanya contractive monetary policy iliyobana fedha kushuka chini so alipata Hela za kujenga madaraja ila mtu wa CHINI alikosa pesa coz alipunguza govt expenditure ambayo ni component kubwa kwenye GDP.
Alitumia TBA kujenga meaning private entities zikafa kwa kukosa tender za serikali. Kuhamisha account za wizara huko commercial banks na kuzirundika BOT ambapo hazizai kuliwanyima benki credit creation.
Alipandisha Reserve ratio requirement ya BOT hivyo pesa ikabaki serikalini tu.
Then Miradi Kila mtu anafanya mbona JK akileta Bomba la gesi, barabara nchi nzima, Kinyerezi 1 and 2 zilianzia kujengwa kipindi chake, alipanua airport ya DSM, alijenga mwendokasi, Akileta maji kutoka ziwa Victoria na ssa yamefikia nzega etc tatizo mnamkuza sana JPM as if waliopita hawakufanya kitu!!
In fact Miradi ya JPM inaendeshwa kwa mkopo ssa Samia akikopa mnapiga kelele ingekua pesa za ndani sawa ila kukopa nani hawezi??
Kweli CCM imejaa vilaza
Hao wahusika waliomo umewajuaje? Hata kama kweli umewajua, tatizo liko wapi kwani mtu ana uhuru wa kujiunga na chama akitakacho. Aidha, hakuna sababu ya kushangaa muundo wa chama kwa kuwa walioanzisha wanataka muundo huo. Wewe ridhika na muundo wa chama chako na hao waachie mambo yao.Hakuna mwenye hofu na umoja party ila tunashangaa muundo wake wahusika waliomo🤔
Kosoa kwa hoja wewe mwenye Elimu kubwa!!We nae na Elimu yako kumbe brainwash tu.
Alikuwepo mwenyewe 2020 na CCM haikutawala kwa ridhaa ya wananchi ndio iwe sasa ambapo hata aliyekua makamu wake anamsagia kunguni😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Hizi ndoto za mchana muwe mnasimuliana wenyewe huko chato.Ccm watajidai hawastuki lakini ukweli wafuasi wa magufuli wakijitenga kuanzisha chama chao kama inavyoonekana ccm itaanguka chali tumbo juu. Hao wataalam wao wa kuiba kura nape nnauwe na makamba kipara ngoto wstashindwa kuiba mamilioni ya kura kupata ushindi. Hapo ndipo tutaona ccm ikianza kutawala bila ridhaa ya wananchi kama hawatakua na ustaarabu kukabidhi dola.
Tofauti na uzushi wa chadema hapo ndio mtaiona ccm iliyoiba matokeo.
CCM inayopuuza itikadi yake ya kutetea maslahi ya umma lazima ianguke toka madarakani.
Nilikuwa nakosa pa kupeleka kura yangu mkuu but hata kikipita lazima tukachukue kadi, fomu tugombee nafasi mbalimbali.Nilikuwa nimekosa chama baada ya JPM R.I.P kukataliwa na kusemwa vibaya na chama chake na chadema!
Sasa Mimi rasimi Umoja Party
Wapuuzi tu wanaoubeza upepo wa Hayati JPM
Tayari ccm wanajinyea, chadema ndo kabisaa
Wanaenzi falsafa ya magufuli, mauaji, kuteka kuua kulawiti kutukana kupora na roho mbayaKwamba kumbe Hayati Magufuli alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.
Umoja Party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhilifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.
Kwanini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Tupo amerika royal your tunarecodi muvi ya kumkashifu ibilisi, nduli mwendakuzimu aliyekufa kwa uzembeKwamba kumbe Hayati Magufuli alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.
Umoja Party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhilifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.
Kwanini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Baada ya hapo, unamkomoa Nani mkuu!Tupo amerika royal your tunarecodi muvi ya kumkashifu ibilisi, nduli mwendakuzimu aliyekufa kwa uzembe