Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

Kwamba kumbe Hayati Magufuli alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.

Umoja Party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhirifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.

Kwanini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Kwa hiyo umoja party ni ya magufuli? Hao wanyonge ni akina nani wakati jpm alikua anawaambia watu nchi yao ni tajiri. Kuna tajiri mnyoge? Umssikini wa kufikiri.
 
Kwa hiyo umoja party ni ya magufuli? Hao wanyonge ni akina nani wakati jpm alikua anawaambia watu nchi yao ni tajiri. Kuna tajiri mnyoge? Umssikini wa kufikiri.
Umekunywa nini mda huu?

Nchi kuwa tajiri na wananchi kuwa tajiri ni vitu sawa?

Tanzania ni nchi ya pili kwa vivutio vya utalii kwa maelezo yako ilitakiwa
iwe ya pili kwa utalii lakini ni ya 120++.

Tanzania ni nchi ya pili kwa mifugo Africa lakini ni nchi inayoongoza kwa kuagiza ngozi.

Tanzania imezungukwa na maziwa, mabwawa na mito bila kusahau bahari lakini tunaagiza samaki.

Nadhani umeona utofauti wa nchi kuwa tajiri na watu wake kuwa matajiri.
 
Pythagoras usisahau kuwa Mh. Zitto alilia na kutoa machozi bungeni akilalamika Mama yake kusemwa watu waliheshimu wakamuacha, ila kaa hili dude kaliamsha watu wanasema kama ndiyo hivyo basi Mh. Zitto na yeye aende akazikwe na Mama yake huko Mwandiga na ikiwezekana asijilize maana kufa kwa Mama yake wahanga wa uchawi wake walishangilia kifo cha Mama yake
Mkuu umeshajiunga umoja Party? Nasikia ndio chama chenu kipya kupambana na Chama dola Ccm, je mtaweza?
 
Ccm ni baba lao. Mtapoteza muda na pesa zenu bure
Hujasoma historia wewe..
Kuliwa na Alexander the great, kulikuwa na ottoman empire.
Kulikuwa na kina Nimrod..
CCM ni kama mtoto mchanga ukiiinganisha na hao lakini walianguka.
NB:"Sheria zote huwa zinabadilika isipo kuwa sheria ya mabadiliko".
Kidumcho ni mabadiliko tu ndg, miaka 60 tu mnaona CCM imefaulu the test of time.
 
Hawa ni wanafiki tu, wanataka watembelee jina la magufuli baada ya kuona hawana chao tena ndani ya ccm na ukiangalia waliompenda magufuli ni wale wenye roho mbaya wale waliofurahi wenye navyo kunyanyaswa na magufuli lakini kiuhalisia kwenye utawala wa magufuli umasikini ulishamiri sana.
nakubaliana na wewe. Hao wanaoitwa wanyonge zaidi ya kudanganywa na kujidanganya huku wakifurahia matajiri kuwa maskini hakuna walichopata
 
Hujasoma historia wewe..
Kuliwa na Alexander the great, kulikuwa na ottoman empire.
Kulikuwa na kina Nimrod..
CCM ni kama mtoto mchanga ukiiinganisha na hao lakini walianguka.
NB:"Sheria zote huwa zinabadilika isipo kuwa sheria ya mabadiliko".
Kidumcho ni mabadiliko tu ndg, miaka 60 tu mnaona CCM imefaulu the test of time.
🤣🤣Good insight.

Marekebisho tu: Alexander the great alikuwa mfalme wa Uyunani ya kale akiangusha dola ya Umedi na uajemi na sio wakati wa Ottoman.
 
nakubaliana na wewe. Hao wanaoitwa wanyonge zaidi ya kudanganywa na kujidanganya huku wakifurahia matajiri kuwa maskini hakuna walichopata
Wanyonge wakideki barabara Lowasa na ukawa walishangilia.
Machinga walipotumiwa na ufipa kuandamana mlishangilia na wakati
huo hatukisikia kuwa ni watu wenye choyo.
Kama ni kweli wanaroho mbaya na hawapendi matajiri walimpa vipi ushirikiano Mbowe licha ya kuwa tajiri??
Au wameanza kuwa na roho mbaya walipo msupport Magufuli??
 
🤣🤣Good insight.

Marekebisho tu: Alexander the great alikuwa mfalme wa Uyunani ya kale akiangusha dola ya Umedi na uajemi na sio wakati wa Ottoman.
"Kulikuwa na Alexander the great, kulikuwa na ottoman empire"
hapo hujaelewa nini licha ya huo mkato??
I am standing still your mind is what moves.
 
Wanyonge wakideki barabara Lowasa na ukawa walishangilia.
Machinga walipotumiwa na ufipa kuandamana mlishangilia na wakati
huo hatukisikia kuwa ni watu wenye choyo.
Kama ni kweli wanaroho mbaya na hawapendi matajiri walimpa vipi ushirikiano Mbowe licha ya kuwa tajiri??
Au wameanza kuwa na roho mbaya walipo msupport Magufuli??
Hilo swali ungejijibu wewe mnyonge. Mimi siko kundi la wanyonge myfriend🤣
 
Hawa ni wanafiki tu, wanataka watembelee jina la magufuli baada ya kuona hawana chao tena ndani ya ccm na ukiangalia waliompenda magufuli ni wale wenye roho mbaya wale waliofurahi wenye navyo kunyanyaswa na magufuli lakini kiuhalisia kwenye utawala wa magufuli umasikini ulishamiri sana.
Pole mkuu
 
Jamani mmesema CCM imerudi kwa wenyewe tumekubali wacha tujaribu Umoja Party kelele tayari hao mnaowaita sukuma gang ni taifa kubwa sivyo mnavyodhani. Anzia Tabora, nenda Geita, Shinyanga, Mwanza, Musoma na Bukoba yote hiyo ndio Sukuma gang. Usisahau kwamba Sukuma na Wanyamwezi ndio wengi ukirudi nyuma na kuwasomba majeruhi Ndugai, Profesa Pala na wengineo unapata think tankers wa uhakika. Wapitishe usajili wa muda waone ndani ya mwezi mmoja kama hawatasajili milioni kumi
Bila Kusahau Rukwa na Katavi
 
Chama cha siasa siyo kundi la watu wanaofuatana kinyumbunyumbu, lazima kiwe na itiikadi na sera zinazoeleweka kwa mustakabali mwema wa taifa.
Kutofautiana kwa uongozi kwa sababu ya maslahi au mapenzi ya kikundi kidogo ndani ya chama siyo sababu ya kuanzisha chama kingine.
Kama umoja party imeanzishwa kwa sababu tu ya ufuasi wa Magufuli basi hicho kitakuwa siyo chama chanye watu wenye kuona mbali.
Utajua mwenyewe lililopo sasa ni kwamba chama kinasubiriwa na mamilioni ya watanzania
 
Haujawahi kuwa na msimamo hata siku moja, wewe ulihama ccm kwenda Chadema kumfuata Lowasa, mlipokosa mlichofuata wote mkarudi ccm, na huko ccm chama kimerudi mikononi mwa wenyewe sasa mmekuwa kama malaya mnatapatapa tu.

Hopeless kabisa.
Sawa tu
 
Wakati wa Nuhu.
Nuhu alipokuwa akijenga safina watu walimpuuza sana lakini siku iliponyesha mvua na maji yakajaa kila kona ndipo watu akili zilipowakaa vizuri watu wa wakati ule.

Tangu atutoke JPM, Baba, mambo yanakwenda ovyo kabisa. Kila watu wakijaribu kupiga kelele kukemea mwenendo wa ovyo unaoendelea sasa, watu wanakuja na majibu mepesi kama manyoya.
Sasa chama kipya ( Umoja Party) kimeshaanzishwa.
Chama hiki kitakuwa na wafuasi wengi haijapata kutokea.
Uko sahihi sana ndugu yangu
 
Mimi ni raia mwenye fikra huru, najiunga na chama kwa sababu ya itiikadi na sera kwa ajili ya vizazi vijavyo. Kukiwa na chama kipya, chenye itiikadi na sera bora kuliko vingine...
Tuliza mshono. Chama kipya ndio hicho kinakuja.
 
kwakina itafakari hao watu serious wakowapi wakati CCM imejaa mafisadi.... Akijiondoa tu watamuanika madudu yote na ndio maana kina Membe na Sumaye walirudi coz maslahi yaliguswa so hakuna mwenye ujasiri wa kupambana na CCM kama ameshanufaika na mfumo.

Then CCM ni wanafiki mnoo niamini Mimi zaidi ya 70% ndani ya CCM walikua hawakubali JPM akiwemo aliyekua makamu wake ila walikua wanamchekea na kumpamba kinafiki tu. So usitegemee eti kuna so called sukuma gang.... wote njaa tu watamsifia Mama Samia then akitoka naye watamkashifu and on and on ndio CCM hiyo.

Then unasema CCM n CHADEMA ni wachumia tumbo it's fine ila kaa ukijua hivyo vyama vimetumia Zaidi ya miaka 30 kujijenga Kila kitongoji Tanzania. Unadhani now mpka 2025 hiko chama hewa kinaweza kufika huko kote na kupitia misuko suko ya CHADEMA bila kuyumba?? Hivi Mwenyekiti wake akipewa kesi ya ugaidi chama kitasurvive?

Kama founding members wote wa ACT walihamia CCM then hiki chama nacho kabla ya 2025 wote watakua CCM wakisubiri teuzi tu.
Utajua mwenyewe sisi mbele kwa mbele na UP
 
Ninaachaje chama kinachohubiri "UMOJA"?? kule kijani wabaki wanaojiita wenye chama,walamba asali. Sisi wanyonge na malofa jahazi letu limeshatia nanga
Azimio la umoja Kenya limefika huku. Falsafa ile ile
 
Back
Top Bottom