Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

Tunahitaji kuwa watu wanaofikiri, kuamua na kutenda kwa sababu ya maslahi mapana ya jamii yetu na taifa kwa ujumla.
Demokrasia sawa, pia akili zetu zitumike katika hiyo demokrasia.
Siasa za ufuasi wa kinyumbunyumbu ziepukwe. Umasikini wa taifa unatokana na kukosa fikra sahihi.
Ukimaliza kupost kapime sukari na pressure naona ujio wa UMOJA umekusababishia maradhi
 
Mod nilinde naona wananchi wenye haisra kali wameanza kunivamia
Labda mbadili ID, lakini si kwa ID hizi hizi za kugangia njaa mtegemee kuja kulaghai watu wenye akili timamu.

Nitakuweka uchi hapa na post zako kama house girl wa Lowasa.

Mwenzanko Msalani kabadiri ID, bora Paskali Mayalla yeye tunamjuwa vizuri ni popo si ndege wala si mnyama.
 
Wakati wa Nuhu.
Nuhu alipokuwa akijenga safina watu walimpuuza sana lakini siku iliponyesha mvua na maji yakajaa kila kona ndipo watu akili zilipowakaa vizuri watu wa wakati ule.

Tangu atutoke JPM, Baba, mambo yanakwenda ovyo kabisa. Kila watu wakijaribu kupiga kelele kukemea mwenendo wa ovyo unaoendelea sasa, watu wanakuja na majibu mepesi kama manyoya.
Sasa chama kipya ( Umoja Party) kimeshaanzishwa.
Chama hiki kitakuwa na wafuasi wengi haijapata kutokea.
 
Wakati wa Nuhu.
Nuhu alipokuwa akijenga safina watu walimpuuza sana lakini siku iliponyesha mvua na maji yakajaa kila kona ndipo watu akili zilipowakaa vizuri watu wa wakati ule.

Tangu atutoke JPM, Baba, mambo yanakwenda ovyo kabisa. Kila watu wakijaribu kupiga kelele kukemea mwenendo wa ovyo unaoendelea sasa, watu wanakuja na majibu mepesi kama manyoya.
Sasa chama kipya ( Umoja Party) kimeshaanzishwa.
Chama hiki kitakuwa na wafuasi wengi haijapata kutokea.
Kupata vichekesho vingine kama hivi tunabonyeza ngapi? 😄😄
 
Upumbavu ni kipaji, Sukuma gang ni wapumbavu.

Tena inaonekana masukuma gang hamjawahi kujuwa Nyerere alikuwa ni mzalendo wa viwango gani.
 

Attachments

  • VID-20211014-WA0011.mp4
    1.7 MB
Ukimaliza kupost kapime sukari na pressure naona ujio wa UMOJA umekusababishia maradhi
Mimi ni raia mwenye fikra huru, najiunga na chama kwa sababu ya itiikadi na sera kwa ajili ya vizazi vijavyo.
Kukiwa na chama kipya, chenye itiikadi na sera bora kuliko vingine, nitakiunga mkono na kukipigania kwa nguvu zangu zote kama naona chama changu kimepoteza muelekeo kwa ajili ya vizazi vijavyo.
We have to think, behave and act as citizens of our nation Tanzania.
 
Upumbavu ni kipaji, Sukuma gang ni wapumbavu.

Tena inaonekana masukuma gang hamjawahi kujuwa Nyerere alikuwa ni mzalendo wa viwango gani.
Tatizo unatumia nguvu kubwa sana kutaka kuizima hoja ya chama kipya, tatizo nini mkulungwa?
 
Kwamba kumbe Hayati Magufuli alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.

Umoja Party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhirifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.

Kwanini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Ndio chama pekee ambacho kitaleta upinzani wa kweli. Sio hawa chadema wanashirikiana na CCM kuturnish image ya Magufuli.
 
kwakina itafakari hao watu serious wakowapi wakati CCM imejaa mafisadi.... Akijiondoa tu watamuanika madudu yote na ndio maana kina Membe na Sumaye walirudi coz maslahi yaliguswa so hakuna mwenye ujasiri wa kupambana na CCM kama ameshanufaika na mfumo.

Then CCM ni wanafiki mnoo niamini Mimi zaidi ya 70% ndani ya CCM walikua hawakubali JPM akiwemo aliyekua makamu wake ila walikua wanamchekea na kumpamba kinafiki tu. So usitegemee eti kuna so called sukuma gang.... wote njaa tu watamsifia Mama Samia then akitoka naye watamkashifu and on and on ndio CCM hiyo.

Then unasema CCM n CHADEMA ni wachumia tumbo it's fine ila kaa ukijua hivyo vyama vimetumia Zaidi ya miaka 30 kujijenga Kila kitongoji Tanzania. Unadhani now mpka 2025 hiko chama hewa kinaweza kufika huko kote na kupitia misuko suko ya CHADEMA bila kuyumba?? Hivi Mwenyekiti wake akipewa kesi ya ugaidi chama kitasurvive?

Kama founding members wote wa ACT walihamia CCM then hiki chama nacho kabla ya 2025 wote watakua CCM wakisubiri teuzi tu.
 
Ndio chama pekee ambacho kitaleta upinzani wa kweli. Sio hawa chadema wanashirikiana na CCM kuturnish image ya Magufuli.
Upinzani upi? CHADEMA bungeni hawana simile walipigania maslahi ya waTz kwenye Kila bunge na miswada Hilo liko wazi kabisa na ndio iliibeba CHADEMA.

Hao Umoja Wana track record Gani? Huyo Seif Maalim ndio wakuing'oa CCM 😆😆😆.

Unanikimbusha zile kelele za Membe Membe.... Mwisho wa siku hakua hta na watu 50 kwenye kampeni!!!
 
Nakuuliza kitu kingine unajibu kitu kingine

hivi unaweza kutumia mtu/kitu kisicho na ushawishi ili kujibrand?/kujitangaza?


Unafahamu kwanini makampuni yanamtumia DIAMOND kutangaza products zao na si OMMY DIMPOZ?


NB:
Kwahiyo wewe unaamini kwamba Lissu alikuwa na nguvu /ushawishi kuliko JPM katika uchaguzi uliopita?
Nimeshakwambia in politics every event is an opportunity kama uta take advantage na utaikuza suala lolote like kubwa.

Mfano Ben saanane alikua famous nje ya CHADEMA?. Lakini CHADEMA walibeba Bango kiasi kwamba hata ambaye alikua hamfahamu aka sympathize na CHADEMA na kuwapa mtaji wa kisiasa kwa zile kura za huruma kuwa "wanaonewa".

So hata JPM as much as influence yake ni ndogo ila unaweza tumia kifo chake kama mtaji wa kujijenga kisiasa na kuichonganisha serikali na wananchi. So it's not about branding Bali taking advantage of Minor issues then exaggerate them to boost your relevance and media coverage for future political gains.
 
Mbona husemi wazi namna hayati JPM alivobana mafisadi na kufanya
Tatizo Elimu ndogo huwezi elewa, alikua sana uchumi wa muda mrefu maana mzunguko wa pesa (Currency in circulation + Demand Deposits) zilishuka sana kwa sababu ya biashara kufungwa na serikali kuingilia private sector na pia kufanya biashara rejea kulazimu TTCL na Air Tz ziwe competitors.

Alifanya contractive monetary policy iliyobana fedha kushuka chini so alipata Hela za kujenga madaraja ila mtu wa CHINI alikosa pesa coz alipunguza govt expenditure ambayo ni component kubwa kwenye GDP.

Alitumia TBA kujenga meaning private entities zikafa kwa kukosa tender za serikali. Kuhamisha account za wizara huko commercial banks na kuzirundika BOT ambapo hazizai kuliwanyima benki credit creation.

Alipandisha Reserve ratio requirement ya BOT hivyo pesa ikabaki serikalini tu.


Then Miradi Kila mtu anafanya mbona JK akileta Bomba la gesi, barabara nchi nzima, Kinyerezi 1 and 2 zilianzia kujengwa kipindi chake, alipanua airport ya DSM, alijenga mwendokasi, Akileta maji kutoka ziwa Victoria na ssa yamefikia nzega etc tatizo mnamkuza sana JPM as if waliopita hawakufanya kitu!!

In fact Miradi ya JPM inaendeshwa kwa mkopo ssa Samia akikopa mnapiga kelele ingekua pesa za ndani sawa ila kukopa nani hawezi??

Kweli CCM imejaa vilaza
 
Kweli wameshindwa kuja na strategy mpya...eti wanataka kupitia nyota ya Magufuli??? Mwacheni baba wa watu apumzike kwa amani, kusema Magufuli na Wanyonge ni kapu moja...
Hawa ni wanafiki tu, wanataka watembelee jina la magufuli baada ya kuona hawana chao tena ndani ya ccm na ukiangalia waliompenda magufuli ni wale wenye roho mbaya wale waliofurahi wenye navyo kunyanyaswa na magufuli lakini kiuhalisia kwenye utawala wa magufuli umasikini ulishamiri sana.
 
Kwamba kumbe Hayati Magufuli alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.

Umoja Party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhirifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.

Kwanini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Wajinga wa jiwe umebakia weye na ngedere wenzio wachache.Haya,mkatambike kaburini sasa.
 
Tatizo Elimu ndogo huwezi elewa, alikua sana uchumi wa muda mrefu maana mzunguko wa pesa (Currency in circulation + Demand Deposits) zilishuka sana kwa sababu ya biashara kufungwa na serikali kuingilia private sector na pia kufanya biashara rejea kulazimu TTCL na Air Tz ziwe competitors...
Kwa mazingira ya kipindi kile ulitarajia nini? Maana sekta binafsi ilikuwa imeoza. Kampuni inalipwa mabil ya pesa bila hata kufanya kazi

Kwa ufupi hata kama alifanya makosa kuwabana watu wa sekta binafsi lakini ilikuwa kwa nia njema

Ni kweli kila rais alifanya miradi ila kama unafanya miradi kwa umma yenye ufisadi ni bora hata usifanye.
 
Back
Top Bottom