Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

Upinzani upi? CHADEMA bungeni hawana simile walipigania maslahi ya waTz kwenye Kila bunge na miswada Hilo liko wazi kabisa na ndio iliibeba CHADEMA.

Hao Umoja Wana track record Gani? Huyo Seif Maalim ndio wakuing'oa CCM 😆😆😆.

Unanikimbusha zile kelele za Membe Membe.... Mwisho wa siku hakua hta na watu 50 kwenye kampeni!!!
Kama dr Slaa atakuwa katibu au mwenyekiti chama hicho kitakuwa moto ili mradi awapate pia covid 19 na ccm bushiri
 
Kama dr Slaa atakuwa katibu au mwenyekiti chama hicho kitakuwa moto ili mradi awapate pia covid 19 na ccm bushiri

Yaani hata Magu angefufuka na kuwa mwenyekiti na Slaa katibu mkuu, bado hilo tawi la ccm litakuwa na wakati mgumu.
 
kwakina itafakari hao watu serious wakowapi wakati CCM imejaa mafisadi.... Akijiondoa tu watamuanika madudu yote na ndio maana kina Membe na Sumaye walirudi coz maslahi yaliguswa so hakuna mwenye ujasiri wa kupambana na CCM kama ameshanufaika na mfumo.

Then CCM ni wanafiki mnoo niamini Mimi zaidi ya 70% ndani ya CCM walikua hawakubali JPM akiwemo aliyekua makamu wake ila walikua wanamchekea na kumpamba kinafiki tu. So usitegemee eti kuna so called sukuma gang.... wote njaa tu watamsifia Mama Samia then akitoka naye watamkashifu and on and on ndio CCM hiyo.

Then unasema CCM n CHADEMA ni wachumia tumbo it's fine ila kaa ukijua hivyo vyama vimetumia Zaidi ya miaka 30 kujijenga Kila kitongoji Tanzania. Unadhani now mpka 2025 hiko chama hewa kinaweza kufika huko kote na kupitia misuko suko ya CHADEMA bila kuyumba?? Hivi Mwenyekiti wake akipewa kesi ya ugaidi chama kitasurvive?

Kama founding members wote wa ACT walihamia CCM then hiki chama nacho kabla ya 2025 wote watakua CCM wakisubiri teuzi tu.




Mkuu umeongea mengi ila between the lines ni dhahiri kwamba wewe hupendezwi na ujio wa hiki chama,sasa sijajua ni kwa nini ipo hivyo?


alafu kingine unachopaswa kufahamu ni kwamba kwenye maisha safari za mafanikio sio lazima zifanane kwa kila mtu,sio kwa sababu nyie CDM mmepitia magumu kufika hapo basi na wengine wote lazima iwe hivyo au watumie muda kama huo!!
 
Umekunywa nini mda huu?

Nchi kuwa tajiri na wananchi kuwa tajiri ni vitu sawa?

Tanzania ni nchi ya pili kwa vivutio vya utalii kwa maelezo yako ilitakiwa
iwe ya pili kwa utalii lakini ni ya 120++.

Tanzania ni nchi ya pili kwa mifugo Africa lakini ni nchi inayoongoza kwa kuagiza ngozi.

Tanzania imezungukwa na maziwa, mabwawa na mito bila kusahau bahari lakini tunaagiza samaki.

Nadhani umeona utofauti wa nchi kuwa tajiri na watu wake kuwa matajiri.
Ulanzi tu ndugu yangu. Sasa huyo mnayempamba kila siku alishindwa nini kutumia vitu vyote hivyo? Kama mabwawa na mito imejaa mbona njaa haikuisha miaka yote mitano? Nayo ni mabeberu? Kama tuna vivutio mbona hakuleta watalii tupate mabilioni ila akawa anaruka na dreamliner kwenda chato kisalimia? Mna bahari na maziwa miaka yote mitano aliwanunulia meli au boti au mashua ngapi za kuvua samaki?
 
Wanyonge wakideki barabara Lowasa na ukawa walishangilia.
Machinga walipotumiwa na ufipa kuandamana mlishangilia na wakati
huo hatukisikia kuwa ni watu wenye choyo.
Kama ni kweli wanaroho mbaya na hawapendi matajiri walimpa vipi ushirikiano Mbowe licha ya kuwa tajiri??
Au wameanza kuwa na roho mbaya walipo msupport Magufuli??
Ulimsikia Lowasa au kiongozi yeyote wa chadema akiwaita watu wanyonge. Watu walikua wanadeki kwa mapenzi yao na kushangilia kwa sababu walitambulia utu wao. Sio nyie mnaita watu wanyonge ili wawaabudu na kuwapigia magoti. Hadi profesa wa chuo kikuu anaita chuo ni jalala. Kisa tu aonekane mnyonge.
 
Tatizo Elimu ndogo huwezi elewa, alikua sana uchumi wa muda mrefu maana mzunguko wa pesa (Currency in circulation + Demand Deposits) zilishuka sana kwa sababu ya biashara kufungwa na serikali kuingilia private sector na pia kufanya biashara rejea kulazimu TTCL na Air Tz ziwe competitors.

Alifanya contractive monetary policy iliyobana fedha kushuka chini so alipata Hela za kujenga madaraja ila mtu wa CHINI alikosa pesa coz alipunguza govt expenditure ambayo ni component kubwa kwenye GDP.

Alitumia TBA kujenga meaning private entities zikafa kwa kukosa tender za serikali. Kuhamisha account za wizara huko commercial banks na kuzirundika BOT ambapo hazizai kuliwanyima benki credit creation.

Alipandisha Reserve ratio requirement ya BOT hivyo pesa ikabaki serikalini tu.


Then Miradi Kila mtu anafanya mbona JK akileta Bomba la gesi, barabara nchi nzima, Kinyerezi 1 and 2 zilianzia kujengwa kipindi chake, alipanua airport ya DSM, alijenga mwendokasi, Akileta maji kutoka ziwa Victoria na ssa yamefikia nzega etc tatizo mnamkuza sana JPM as if waliopita hawakufanya kitu!!

In fact Miradi ya JPM inaendeshwa kwa mkopo ssa Samia akikopa mnapiga kelele ingekua pesa za ndani sawa ila kukopa nani hawezi??

Kweli CCM imejaa vilaza
Umeeleza kisomi zaidi inahitaji mtu alie timam vya kutosha kukuelewa
 
Kwamba kumbe Hayati Magufuli alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.

Umoja Party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhilifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.

Kwanini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Ripoti ya cag itawagalagaza
 
Kwamba kumbe Hayati Magufuli alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.

Umoja Party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhilifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.

Kwanini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Hii itakufa kama CCJ
 
Naombeni uanachma tumnyooshe muuaji wa msoga
 
Ulanzi tu ndugu yangu. Sasa huyo mnayempamba kila siku alishindwa nini kutumia vitu vyote hivyo? Kama mabwawa na mito imejaa mbona njaa haikuisha miaka yote mitano? Nayo ni mabeberu? Kama tuna vivutio mbona hakuleta watalii tupate mabilioni ila akawa anaruka na dreamliner kwenda chato kisalimia? Mna bahari na maziwa miaka yote mitano aliwanunulia meli au boti au mashua ngapi za kuvua samaki?
Miaka yote mitano aliyoongoza hakukuwa na njaa. Au ulikuwa haupo Tanzania ?
 
Kwamba kumbe Hayati Magufuli alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.

Umoja Party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhilifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.

Kwanini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Ujinga ganitena huu umeandika najisi kwa watz halali tafadhali futa
 
Back
Top Bottom