kwakina itafakari
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 618
- 1,258
Al
Alikua na nguvu akakimbilia Ubalozi wa Ujerumani! Wenye nguvu ni kina Amolo walioilazimisha serikali ya Kenya ikafanya hand shake nao.
Kuna mtu ambaye hajui CDM na Lissu 2020 walisaidiwa na CCM anti Magufuli?!!
Huwa wanapenda tu kujifurahisha na kujifariji humu mitandaoni,ila ndani ya nafsi zao ukweli wanaujua!!