[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Hivi nivichekeshi jamaan... Mm sio mwana CCM ila navokijua CCM hakuna mtu ambae anauwezo wakukivunja au mkubwa zaidi ya CCM Kama Chama... Wakina lowasa pamoja na ushawishi wao ambao sioni hata mwanasiasa wa Sasa ndani ya CCM kwa Sasa mwenye mabavu kama ya lowasa..... Jamn magufuli alishapumzika na kubalini tu siasa ni karata ambae hayupo nalake alipo.. CCM huwa wanakumbuka falsafa za walio husika kuki asisi tu Hawa wengine wote w atapita kama wengine wote wasasa na wajao...