Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

Ufisadi unapingwa kwa vitendo sio maneno..... Mwenyekiti unakuta awe Deo Msukuma ama Mpina?? Hivi hao kweli ni wapinga ufisadi?? Lini bungeni wamewahi bana mafisadi wanaoibuliwa na CAG??

Mnadhani waTanzania ni wajinga eeh? Kama 2020 JPM alikua hai na Lissu aliweza kwenda Geita na kujaza viwanja vya kampeni ndio unadhani hiyo 2025 kivuli Cha JPM kitatoboa???

Msikuze sana vitu, wapinga ufisadi hawawezi kutokea CCM hata siku moja labda filikunjombe kama angekua hai ila waliobali siku wakihama tu madudu Yao yataibuliwa rejea sumaye na member n.k

So hiko chama kitakufa hata kabla ya 2023 in fact ni kama CCK tu kilianzishwa kwa mihemko kikafia njiani
Punguza hofu, najua unaumia sababu unajaribu kumchafua hayati JPM lakini hawezi kuchafuka maana yupo ndani ya mioyo ya mama lishe, wakulima, na wamachinga.

Habari kuwa nani atakuwa ni mwenyekiti sio ishu.

Ishu ni namna watavyotembea na falsafa ya kuwaletea wananchi maendeleo kwa kupinga ufisadi.

Unamtaja Marehemu Filinkunjombe sabau alikuwa rafiki yako?

Mbona husemi wazi namna hayati JPM alivobana mafisadi na kufanya mambo makubwa kwa muda mfupi?
 
Kwani ACT si ilianzishwa kwa nyota ya kufuata azimio la Arusha kurejesha ujamaa wa Nyerere ila kwa kublend na Demokrasia!!! Si ukiona alivyo beba wajinga wengi.... Ila je kweli Zitto ni mjamaa?

Hiyo ni opportunity tu wanatumia ili kuwapata waliokua wafuasi wake kama ambavyo zitto alitaka kupata wafuasi wa kihafidhina wa CCM ya kale.

Politics is a game of opportunity ila haimaanishi Kila opportunity Ina matter au Ina influence Bali unaweza itumia na ukaikuza kuliko uhalisia to your advantage.

Ila kama JPM ana hiyo nguvu mbona alipokua hai Lissu alimpeleka vile kwenye kampeni mpaka akazuiwa asifanye kampeni Mtwara na Lindi? Kama alikua hai na alikua challenged vile then 2025 sioni kama jina lake Lina turufu UNLESS angekua Rais mstaafu so angekuwa anaonekana hadharani kunawapa motisha watu kukipigia kura hiko chama.
Wewe haupo serious kupigania maslahi ya wananchi. Ni kweli ulianza vizuri hasa ulipokuja na mkwara wa Azimio la Tabora ukiwahadaa wananchi upo kijamaa zaidi kumbe mbwembwe tu.
 
Mkuu, hivi mnakumbuka chadema mliwahi kutuuzia mbuzi kwa gunia!?
Mnalituhadaa Lowasa fisadi mkamvuta tena kupitia mlango wa nyuma, kitendo hiko ndicho kiliniondoa chadema, na ukipima tu, nguvu ya chadema ilianza kupoa tokea hapo
Sasa ni kwanini mwaka ule Chadema ndio kilipata kura nyingi na wabunge na madewani wengi zaidi ya chaguzi zilizopita?
 
Hakuna kitu kama hicho, Tanzania vyama ni CCM na CHADEMA tu kusimamisha chama kata zote nchi nzima ni zaidi ya kutembelea jina la mtu.

Unless wangembrand mtu kama Gwajima mapema aache kupayuka awe mtu wa kujenga image ya ukali na udikteta kama JPM ndio watumie kama turufu ya "kurudisha falsafa za JPM 2025 " hapo wangefanikiwa. Ila kwa kuanza A bila watu serious ambao wameshaonesha kuwa practical katika kubeba haiba ya JPM say ukali au kutumbua tumbua n.k then ni kupoteza muda tu.

Hapo wawavute na wale wabunge wenye ushawishi hata 10 hivi wazunguke nchi nzima kukijenga chama maybe tunaweza sema kutakuwa na moto 2025 ila kwa Hawa wachumia tumbo wa CCM kufikia 2025 huyo Gwajima sijui Kabudi say Bashiru watakua kwenye podium kumpigia kampeni


Wewe unafahamu vp kwamba wameanza "A bila watu serious "?

alafu usifikri watu watakwenda huko umoja party kufuata majina kama kina kabudi,Gwajima,Bashiru nk,utakuwa unakosea sana ukifikiri kwa namna hiyo,


Kingine kwani nani asiyejua kwamba CCM na vyama vingine karibu vyote katika nchi hii ni wachumia tumbo tu?
 
Kwamba kumbe hayati JPM alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.

Umoja party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhirifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.

Kwa nini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Hiki chama kiweke kwenye katiba kuwa JPM aliuawa na wana CCM ambao hawakukubaliana na sera zake. The guy was silenced kwa maslahi ya kundi mojawapo ndani ya CCM
 
ukiwatazama vizuri ni kama wamechanganyikiwa sijui na huu ni mwezi ya mvua akifika kiangazi watakuwa wanaongea peke yao njiani
 
Al
Nakuuliza kitu kingine unajibu kitu kingine

hivi unaweza kutumia mtu/kitu kisicho na ushawishi ili kujibrand?/kujitangaza?


Unafahamu kwanini makampuni yanamtumia DIAMOND kutangaza products zao na si OMMY DIMPOZ?


NB:
Kwahiyo wewe unaamini kwamba Lissu alikuwa na nguvu /ushawishi kuliko JPM katika uchaguzi uliopita?

Alikua na nguvu akakimbilia Ubalozi wa Ujerumani! Wenye nguvu ni kina Amolo walioilazimisha serikali ya Kenya ikafanya hand shake nao.

Kuna mtu ambaye hajui CDM na Lissu 2020 walisaidiwa na CCM anti Magufuli?!!
 
Tatizo lako huna mantiki hata kidogo,

Unajua CCM wanafiki alafu unategemea wampinge kinana ili hali wanajua kabisa kinachoendelea na uongozi wa sasa?

Kama kweli nguvu ya JPM haipo,kwanini watu waamue kumtumia yeye kuomba funding au kuingia bungeni?..kwanini wasitumie labda jina la Mkapa ,Nyerere au Maalim Seif?

Tumia akili kuchanganua mambo mkuu!!​
Upepo tu huo kijana. CCJ na CCK viliundwa na watu waliotoswa na JK. Akina Sitta, Nape na wengineo..

Hicho chama chenu kipya kinaundwa na waliotoswa na Samia, upepo utapita tu na wala usijiaminishe kwamba kitaweza kukichallenge hata TLP au NCCR. Njia pekee ya kukijenga hicho chama angalau kiwe hadhi ya NCCR au Chas hapo 2025 ni wale team Magufuli wote ambao wamewatuma hao vijana wawili kusajili Chama wataachia nafasi zao za Ubunge, Uwaziri, Ubalozi na zingine kwenye vyombo vya Dola na kujiunga mapema kukijenga hicho chama kuelekea 2025. Hapo mnaweza kubahatisha Mbunge Mmoja kutoka Usukumani na madiwani wanne​
 
Mkuuu tulia hivyo hivyo,JPM katika kipindi chake alichokuwa madarakani amefanikiwa kupanda mbegu ya mageuzi katika siasa za nchi hii,kamwe hazitarudi kuwa kama mwanzo mtake mistake,

Hawa jamaa wa umoja party kama watakuwa wapo serious na si wachumia tumbo kama wengine,utashangaa kitakachotokea mkuu!!
Huwajui wananchi wa hii nchi wewe.. Huwajui Watanzania
 
Back
Top Bottom