Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

Hata DRC kuna chama kilisimama na Lumumba in fact mgombea Urais alikua kijana wa Lumumba but walianguka mbali sana.

Mtu akishakufa ameenda zake huwezi ukatembelea kivuli chake kwamba na wwe utaweza fanya alichofanya!! Eti atokee mtu aseme anaendeleza Unyerere wakati huna charisma au character zake utaweza wapi??

Hao wameona fursa tu ya kupata funding na kuingia bungeni kwa mgongo wa kufufua sera za JPM but on the real sense Hilo haliwezekani Kila mtu ana leadership character zake binafsi ambazo ni unique kwa mwingine.



Sasa wewe kinachokuumiza nini mkuu ,,? alafu jiulize kwanini wameamua kutembelea upepo wa Hayati JPM ili kupata hizo funding na kuingia bungeni na si mwingine?
 
Sasa wewe kinachokuumiza nini mkuu ,,? alafu jiulize kwanini wameamua kutembelea upepo wa Hayati JPM ili kupata hizo funding na kuingia bungeni na si mwingine?
Yaani opportunists kama tu mtu aseme anaanzisha chama Cha kupigania korosho kusini au Pamba Kanda ya ziwa obvious anatafuta funding kwa matajiri wa eneo Hilo na NGOs za Huko nje kwa kigezo Cha "kupigania" sera za hayo makundi.

Ila hiyo nguvu ya JPM haipo maana ingedhihirika kwenye kupitisha spika wa bunge, bunge la bajeti wangepigania initiative za JPM peke yake, ama wangemkataa kInana Ili Bashiru arudishwe n.k

Kote huko tuliona kimya na JPM kafariki mwaka Jana tu.... Ndio sembuse ifike 2025? CCM imejaa wanafiki tu hakuna mtu yupo tayari kurisk maslahi yake eti kumpigania mtu aliyepo kaburini!! Hizo ni ndoto tu ndio maana nikasema hao ni opportunists tu
 
Acheni kukuza mambo, hivi hiyo nguvu si ingedhihirika bungeni au ndani ya CCM? Mbona Kinana alishinda kwa 100% kama kweli wanaopenda JPM wapo wengi CCM!!

Then ukifuata upepo wa JPM what's next? Kwamba 2025 ndio JPM anakua mgombea Urais ama inakuaje? CCM imejaa wanafiki hakuna atakayehama eti akaanzishe chama kuipinga CCM ya Samia!!! Watalalamika ila ikifia 2025 sio kabudi sio Mpina watakua front seat kumpigia kampeni Samia.

2015-20 ni Nyalandu tu ndio alikua na ujasiri wa kuhama wengine wote walibaki ndani hata kama hawakumkubali JPM. so punguzeni mihemko hakuna mzalendo CCM huko mwenye huo ujasiri wote ni wezi tu na wanajua siku wakihama madudu yote yanaanikwa
Kwanza pole sana, maana unatumika kumchafua hayati JPM na umekwama, maana wananchi Nwanatambua kazi aaliyofanya.

Hoja hapa ni kuwa Umoja party itapata sapoti kubwa sababu tu itamuenzi hayati JPM kwa kupinga ufisadi.

Kinana kushinda kwa 100% ndio nini? Hii sio sababu kuwa anakubalika wa wananchi wa kawaida ambao ndio wenye mamlaka ya kuweka chama kwenye dola.

2025, sababu Umoja party wataenzi falsafa za hayati JPM watapiga bao.
 
Ingekuwa ni rahisi hivyo NCCR na Chadema zingeshakamata hii nchi kitambo sana..
 
Yaani opportunists kama tu mtu aseme anaanzisha chama Cha kupigania korosho kusini au Pamba Kanda ya ziwa obvious anatafuta funding kwa matajiri wa eneo Hilo na NGOs za Huko nje kwa kigezo Cha "kupigania" sera za hayo makundi.

Ila hiyo nguvu ya JPM haipo maana ingedhihirika kwenye kupitisha spika wa bunge, bunge la bajeti wangepigania initiative za JPM peke yake, ama wangemkataa kInana Ili Bashiru arudishwe n.k

Kote huko tuliona kimya na JPM kafariki mwaka Jana tu.... Ndio sembuse ifike 2025? CCM imejaa wanafiki tu hakuna mtu yupo tayari kurisk maslahi yake eti kumpigania mtu aliyepo kaburini!! Hizo ni ndoto tu ndio maana nikasema hao ni opportunists tu



Tatizo lako huna mantiki hata kidogo,

Unajua CCM wanafiki alafu unategemea wampinge kinana ili hali wanajua kabisa kinachoendelea na uongozi wa sasa?

Kama kweli nguvu ya JPM haipo,kwanini watu waamue kumtumia yeye kuomba funding au kuingia bungeni?..kwanini wasitumie labda jina la Mkapa ,Nyerere au Maalim Seif?

Tumia akili kuchanganua mambo mkuu!!
 
Hoja hapa ni kuwa Umoja party itapata sapoti kubwa sababu tu itamuenzi hayati JPM kwa kupinga ufisadi
Ufisadi unapingwa kwa vitendo sio maneno..... Mwenyekiti unakuta awe Deo Msukuma ama Mpina?? Hivi hao kweli ni wapinga ufisadi?? Lini bungeni wamewahi bana mafisadi wanaoibuliwa na CAG??

Mnadhani waTanzania ni wajinga eeh? Kama 2020 JPM alikua hai na Lissu aliweza kwenda Geita na kujaza viwanja vya kampeni ndio unadhani hiyo 2025 kivuli Cha JPM kitatoboa???

Msikuze sana vitu, wapinga ufisadi hawawezi kutokea CCM hata siku moja labda filikunjombe kama angekua hai ila waliobali siku wakihama tu madudu Yao yataibuliwa rejea sumaye na member n.k

So hiko chama kitakufa hata kabla ya 2023 in fact ni kama CCK tu kilianzishwa kwa mihemko kikafia njiani
 
Ingekuwa ni rahisi hivyo NCCR na Chadema zingeshakamata hii nchi kitambo sana..


Mkuuu tulia hivyo hivyo,JPM katika kipindi chake alichokuwa madarakani amefanikiwa kupanda mbegu ya mageuzi katika siasa za nchi hii,kamwe hazitarudi kuwa kama mwanzo mtake mistake,

Hawa jamaa wa umoja party kama watakuwa wapo serious na si wachumia tumbo kama wengine,utashangaa kitakachotokea mkuu!!
 
Kama kweli nguvu ya JPM haipo,kwanini watu waamue kumtumia yeye kuomba funding au kuingia bungeni?..kwanini wasitumie labda jina la Mkapa ,Nyerere au Maalim Seif?
Kwani ACT si ilianzishwa kwa nyota ya kufuata azimio la Arusha kurejesha ujamaa wa Nyerere ila kwa kublend na Demokrasia!!! Si ukiona alivyo beba wajinga wengi.... Ila je kweli Zitto ni mjamaa?

Hiyo ni opportunity tu wanatumia ili kuwapata waliokua wafuasi wake kama ambavyo zitto alitaka kupata wafuasi wa kihafidhina wa CCM ya kale.

Politics is a game of opportunity ila haimaanishi Kila opportunity Ina matter au Ina influence Bali unaweza itumia na ukaikuza kuliko uhalisia to your advantage.

Ila kama JPM ana hiyo nguvu mbona alipokua hai Lissu alimpeleka vile kwenye kampeni mpaka akazuiwa asifanye kampeni Mtwara na Lindi? Kama alikua hai na alikua challenged vile then 2025 sioni kama jina lake Lina turufu UNLESS angekua Rais mstaafu so angekuwa anaonekana hadharani kunawapa motisha watu kukipigia kura hiko chama.
 
Lile libaba lilifanikiwa kutengeneza ukabila ila hao sukumagang hawatafika kokote kwa sababu ya umbumbu wao wa kutegemea waganga
 
Mkuuu tulia hivyo hivyo,JPM katika kipindi chake alichokuwa madarakani amefanikiwa kupanda mbegu ya mageuzi katika siasa za nchi hii,kamwe hazitarudi kuwa kama mwanzo mtake mistake,

Hawa jamaa wa umoja party kama watakuwa wapo serious na si wachumia tumbo kama wengine,utashangaa kitakachotokea mkuu!!
Hakuna kitu kama hicho, Tanzania vyama ni CCM na CHADEMA tu kusimamisha chama kata zote nchi nzima ni zaidi ya kutembelea jina la mtu.

Unless wangembrand mtu kama Gwajima mapema aache kupayuka awe mtu wa kujenga image ya ukali na udikteta kama JPM ndio watumie kama turufu ya "kurudisha falsafa za JPM 2025 " hapo wangefanikiwa. Ila kwa kuanza A bila watu serious ambao wameshaonesha kuwa practical katika kubeba haiba ya JPM say ukali au kutumbua tumbua n.k then ni kupoteza muda tu.

Hapo wawavute na wale wabunge wenye ushawishi hata 10 hivi wazunguke nchi nzima kukijenga chama maybe tunaweza sema kutakuwa na moto 2025 ila kwa Hawa wachumia tumbo wa CCM kufikia 2025 huyo Gwajima sijui Kabudi say Bashiru watakua kwenye podium kumpigia kampeni Mama Samia!!!!
 
Kwani ACT si ilianzishwa kwa nyota ya kufuata azimio la Arusha kurejesha ujamaa wa Nyerere ila kwa kublend na Demokrasia!!! Si ukiona alivyo beba wajinga wengi.... Ila je kweli Zitto ni mjamaa?

Hiyo ni opportunity tu wanatumia ili kuwapata waliokua wafuasi wake kama ambavyo zitto alitaka kupata wafuasi wa kihafidhina wa CCM ya kale.

Politics is a game of opportunity ila haimaanishi Kila opportunity Ina matter au Ina influence Bali unaweza itumia na ukaikuza kuliko uhalisia to your advantage.

Ila kama JPM ana hiyo nguvu mbona alipokua hai Lissu alimpeleka vile kwenye kampeni mpaka akazuiwa asifanye kampeni Mtwara na Lindi? Kama alikua hai na alikua challenged vile then 2025 sioni kama jina lake Lina turufu UNLESS angekua Rais mstaafu so angekuwa anaonekana hadharani kunawapa motisha watu kukipigia kura hiko chama.


Nakuuliza kitu kingine unajibu kitu kingine

hivi unaweza kutumia mtu/kitu kisicho na ushawishi ili kujibrand?/kujitangaza?


Unafahamu kwanini makampuni yanamtumia DIAMOND kutangaza products zao na si OMMY DIMPOZ?


NB:
Kwahiyo wewe unaamini kwamba Lissu alikuwa na nguvu /ushawishi kuliko JPM katika uchaguzi uliopita?
 
Back
Top Bottom