Ukoja party CCM- DTatizo lenu ni CHADEMA sio CCM mnarudia kosa la ACT 2015, mwisho wakambulia Kura za urais 90,000 nchi nzima na nafasi moja ya ubunge. Siku mtakapoanza kupimwa na dola ndio mtajua kwanini chadema ni chama Kikuu Cha Upinzani nchini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukoja party CCM- DTatizo lenu ni CHADEMA sio CCM mnarudia kosa la ACT 2015, mwisho wakambulia Kura za urais 90,000 nchi nzima na nafasi moja ya ubunge. Siku mtakapoanza kupimwa na dola ndio mtajua kwanini chadema ni chama Kikuu Cha Upinzani nchini.
Ccm wamenikoroga vibaya mno kumsema vibaya MTU ambaye kwa mapenzi ya chama chao walituletea wao wenyewe, halafu wanamtukana na wakati pia alijizolea umarufu na kupendwa na wengi mno na ccm wanalijua hili.Lakini wewe ni mwanaccm pia mbona unawatukana wenzako? wamekufanya nini?
Unashangilia hewa! Huijui vyema ccm Yako uliyokuwa unaiabudu kuliko Muumba wako! Mtapigwa na kitu kizito ku kichwa hamtaamini!Nasubiri mwongozo mkuu, mbona kitaani huku ni ndelemoo!!!
Woyoo woyoo!!
Mbona unajibu kinyonge sana?Watu wanaidharau chadema na kufikiri kupambana na CCM Ni jambo la siku moja, haya Bwana yetu macho. Maana ili mchukue dola lazima mpambane na CCM sio CHADEMA.
Usiishi kwa kukariri, hakuna anayeweza kuizidi nguvu ya umma.Unashangilia hewa! Huijui vyema ccm Yako uliyokuwa unaiabudu kuliko Muumba wako! Mtapigwa na kitu kizito ku kichwa hamtaamini!
Twende wapi sasa mkuu, acha tuenda huko huko, madamu kuna picha ya mwamba niliyemkubali sana, potelea poteUnashangilia hewa! Huijui vyema ccm Yako uliyokuwa unaiabudu kuliko Muumba wako! Mtapigwa na kitu kizito ku kichwa hamtaamini!
Mkuu, hivi mnakumbuka chadema mliwahi kutuuzia mbuzi kwa gunia!?
Mnalituhadaa Lowasa fisadi mkamvuta tena kupitia mlango wa nyuma, kitendo hiko ndicho kiliniondoa chadema, na ukipima tu, nguvu ya chadema ilianza kupoa tokea hapo
Mtafanya watu wahare nyie.Nilikuwa nimekosa chama baada ya JPM R.I.P kukataliwa na kusemwa vibaya na chama chake na chadema!
Sasa Mimi rasimi Umoja Party
Wapuuzi tu wanaoubeza upepo wa Hayati JPM
Tayari ccm wanajinyea, chadema ndo kabisaa
Bora umehamia rasmi umoja party (Sgang party)🤸Nilikuwa nimekosa chama baada ya JPM R.I.P kukataliwa na kusemwa vibaya na chama chake na chadema!
Sasa Mimi rasimi Umoja Party
Wapuuzi tu wanaoubeza upepo wa Hayati JPM
Tayari ccm wanajinyea, chadema ndo kabisaa
Tunamgokea atakayekisajjili tumwone...ilikuja CCK ya Nape makaratasi yakachakalia kwemye Bahasa.Kwamba kumbe hayati JPM alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.
Umoja party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhirifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.
Kwa nini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Acheni kukuza mambo, hivi hiyo nguvu si ingedhihirika bungeni au ndani ya CCM? Mbona Kinana alishinda kwa 100% kama kweli wanaopenda JPM wapo wengi CCM!!Kwamba kumbe hayati JPM alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.
Umoja party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhirifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.
Kwa nini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Si kweli.ccm ndio inaogopa
Hata DRC kuna chama kilisimama na Lumumba in fact mgombea Urais alikua kijana wa Lumumba but walianguka mbali sana.Wapuuzi tu wanaoubeza upepo wa Hayati JPM
Kuna uzi nilianzisha mwezi haujapita nikiwatahadharisha ccm ku handle issue ya Magufuli with care kwa ustawi wao ndo kwanzaaa mama anaupiga mwingi kwa kumbagaza.Ccm wamenikoroga vibaya mno kumsema vibaya MTU ambaye kwa mapenzi ya chama chao walituletea wao wenyewe, halafu wanamtukana na wakati pia alijizolea umarufu na kupendwa na wengi mno na ccm wanalijua hili.
Wanajidai kusahaulishwa na majambazi machache ndani ya chama yaliyokuwa yamebanwa mbavu na kiongozi asiyependa ujingaujinga
Huyu pumbavu kwanini hakuzikwa na Maalim seif Sharrif? Ina maana alikuwa hampendi?
Huyu kabwela mbona hazikwi Pemba na Maalim seif Sharrif? Acheni unyumbu.Ushauri [emoji205][emoji116]
Zitto: Wanaompenda Magufuli wakazikwe naye Chato, alikuwa Rais fisadi zaidi kuwahi kutokea Tanzania
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo amesema wale wanaompenda sana Magufuli waende Chato wakachimbe kaburi pembeni ya kaburi la Magufuli kisha wajizike Zitto amesema zamani watu ambao ni walikuwa ni viherehere wanaojidai wanawapenda sana wafalme au watemi walikuwa wakizikwa pamoja na wafalme...www.jamiiforums.com