Chama kama hakina sapoti ya matajiri kitakua kama TADEA tu au APPT maendeleo.Ccm wanadhani wasomi pekee ndio kila kitu, wanawatupa wananchi wa chini, wamesahau hata kaulimbiu ya chama chao kuwa ni ccm si chama cha matajiri
Ngoja waione nguvu ya walala hoi wapuuzi hawa!