Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

Kwamba kumbe hayati JPM alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.

Umoja party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhirifu na wananchi wa kawaida

Kwa nini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Sasa nyankurungu Ccm iogope hicho chama kwani hicho chama kina nini?
 
Magufuli hajawahi kukubalika basi to mnalazimisha Watu waongee uongo. 2015 alipata asilimia 57 Kura chache kuliko mgombea yeyote wa CCM kwenye nafasibya urais. Na 2020 akaamua kuiba na kuharibu uchaguzi na kutokana na hayo dhambi ikabidi karma iondoke naye.
Unajua kufanya tafiti? Ingia mitaani na ufanye tafiti.
 
Nilikuwa nimekosa chama baada ya JPM R.I.P kukataliwa na kusemwa vibaya na chama chake na chadema!

Sasa Mimi rasimi Umoja Party

Wapuuzi tu wanaoubeza upepo wa Hayati JPM

Tayari ccm wanajinyea, chadema ndo kabisaa
Bwana Paulsylvester Chama hata usajiri bado hakijapata tayari kimeshaanza kuogopwa? Kwa lipi? kinakuja na nini?

Ccm chama dola chama dume ndio kiogope Umoja party kweli?
 
Nilikuwa nimekosa chama baada ya JPM R.I.P kukataliwa na kusemwa vibaya na chama chake na chadema!

Sasa Mimi rasimi Umoja Party

Wapuuzi tu wanaoubeza upepo wa Hayati JPM

Tayari ccm wanajinyea, chadema ndo kabisaa

Leo mnaiunganisha chadema na CCM ili mpate milage. Wakati dictator anaipiga chadema mliona sawa mpaka kumpoteza saanane na kumlima risasi Lissu. Leo mnaona aliyofanya Ni mazuri kwa chadema . Sawa.
 
Bwana Paulsylvester Chama hata usajiri bado hakijapata tayari kimeshaanza kuogopwa? Kwa lipi? kinakuja na nini?

Ccm chama dola chama dume ndio kiogope Umoja party kweli?
Ccm wanadhani wasomi pekee ndio kila kitu, wanawatupa wananchi wa chini, wamesahau hata kaulimbiu ya chama chao kuwa ni ccm si chama cha matajiri

Ngoja waione nguvu ya walala hoi wapuuzi hawa!
 
Magufuli hajawahi kukubalika basi to mnalazimisha Watu waongee uongo. 2015 alipata asilimia 57 Kura chache kuliko mgombea yeyote wa CCM kwenye nafasibya urais. Na 2020 akaamua kuiba na kuharibu uchaguzi na kutokana na hayo dhambi ikabidi karma iondoke naye.
Ndugu zako waliokufa karma iliondoka nao kwa dhambi zipi walizotenda?
 
Mwanasiasa anayedhani kuanzisha Chama kipya ndiyo solution ya matatizo waliyonayo Watanzania ni mjinga sisemi ni mpumbavu!
Watanzania wengi hawajitambui hivyo si lazima kuanzisha Chama kipya ndo uwaamushe!
Angalia press ya Waziri Bashe na wale wahindi wa Mbolea juzi ndo utajua ninachoongea!
Waziri Bashe anawabembeleza wale wezi warudishe elfu 30 walizowaibia wakulima kwa kila mfuko wa Mbolea badala ya kutaifisha Mbolea yao yote na kuwatupa lupango kama wahujumu uchumi wengine!
Fight from within is better kuliko kuanzisha tu vyama vya ajabu ajabu!
 
Back
Top Bottom