Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

Hofu yenu kwa Umoja Party ni jibu tosha

Mwanasiasa anayedhani kuanzisha Chama kipya ndiyo solution ya matatizo waliyonayo Watanzania ni mjinga sisemi ni mpumbavu!
Watanzania wengi hawajitambui hivyo si lazima kuanzisha Chama kipya ndo uwaamushe!
Angalia press ya Waziri Bashe na wale wahindi wa Mbolea juzi ndo utajua ninachoongea!
Waziri Bashe anawabembeleza wale wezi warudishe elfu 30 walizowaibia wakulima kwa kila mfuko wa Mbolea badala ya kutaifisha Mbolea yao yote na kuwatupa lupango kama wahujumu uchumi wengine!
Fight from within is better kuliko kuanzisha tu vyama vya ajabu ajabu!
Kwahiyo unashauri tuwanya'ganye asali wale wachache wanaojinadi kulamba asali kwa sasa na tuwatupe lupango!
 
Kwamba kumbe Hayati Magufuli alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.

Umoja Party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhirifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.

Kwanini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Huu ni uwongo wa mchana. Magufuli 2015 hakushinda uchaguzi bali ni akina Team Masakii (Kinana, Januari, Nape) na Modest Kapilimba walivyo cheza na mtandao wakaiba kura za Lowassa na kumhamishia Magufuli.

Mwaka 2020 Magufuli hakusubiri kura zihesabiwe kwa sababu asingeweza kumshinda Tundu Lissu. Kimsingi mwaka 2020 alipata kwa nguvu ya TISS, POLICE na NEC.

Sasa utashindaje uchaguzi kwa kuwa muumini wa Magufuli ambaye hajawahi kushinda uchaguzi wowote?
 
Mnajidanganya sana aisee..mnaenda na upepo..hili pia likibuma mtakuja na mengine..unganeni wote halafu 2025 mtajua hamjui.
 
Upepo tu huo kijana. CCJ na CCK viliundwa na watu waliotoswa na JK. Akina Sitta, Nape na wengineo..

Hicho chama chenu kipya kinaundwa na waliotoswa na Samia, upepo utapita tu na wala usijiaminishe kwamba kitaweza kukichallenge hata TLP au NCCR. Njia pekee ya kukijenga hicho chama angalau kiwe hadhi ya NCCR au Chas hapo 2025 ni wale team Magufuli wote ambao wamewatuma hao vijana wawili kusajili Chama wataachia nafasi zao za Ubunge, Uwaziri, Ubalozi na zingine kwenye vyombo vya Dola na kujiunga mapema kukijenga hicho chama kuelekea 2025. Hapo mnaweza kubahatisha Mbunge Mmoja kutoka Usukumani na madiwani wanne​
Acha kukariri. Muda huamua lolote.
 
Labda ulikuwa ndani ya CCM kwahiyo huwajui vizuri. Waulize Chadema ndio wanawajua vizuri, na Mange Kimambi


Haaah haaaaaah!

Sikuwahi kuwa ndani ya chama chochote tangu nizaliwe mkuu,ila safari hii kama hawa jamaa watakuwa serious kweli,basi nipo tayari kuwa mstari wa mbele!!
 
Haaah haaaaaah!

Sikuwahi kuwa ndani ya chama chochote tangu nizaliwe mkuu,ila safari hii kama hawa jamaa watakuwa serious kweli,basi nipo tayari kuwa mstari wa mbele!!
Kila la kheri mkuu.. Iko siku utakumbuka haya maneno yangu
 
Kurudi tena kwa watu nyie, du!
Acha turudi ili tulete maendeleo kwa watanzania.
image_search_1650390393141.jpg
 
Back
Top Bottom