Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
- #121
Sasa hofu ya nini?Siyo ibilisi paa see, bali ni mtoto wa ibilisi aliyekuwa kakalia kiti cha urais wa Tanzania kwa njia haramu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hofu ya nini?Siyo ibilisi paa see, bali ni mtoto wa ibilisi aliyekuwa kakalia kiti cha urais wa Tanzania kwa njia haramu.
Kwahiyo unashauri tuwanya'ganye asali wale wachache wanaojinadi kulamba asali kwa sasa na tuwatupe lupango!Mwanasiasa anayedhani kuanzisha Chama kipya ndiyo solution ya matatizo waliyonayo Watanzania ni mjinga sisemi ni mpumbavu!
Watanzania wengi hawajitambui hivyo si lazima kuanzisha Chama kipya ndo uwaamushe!
Angalia press ya Waziri Bashe na wale wahindi wa Mbolea juzi ndo utajua ninachoongea!
Waziri Bashe anawabembeleza wale wezi warudishe elfu 30 walizowaibia wakulima kwa kila mfuko wa Mbolea badala ya kutaifisha Mbolea yao yote na kuwatupa lupango kama wahujumu uchumi wengine!
Fight from within is better kuliko kuanzisha tu vyama vya ajabu ajabu!
Huu ni uwongo wa mchana. Magufuli 2015 hakushinda uchaguzi bali ni akina Team Masakii (Kinana, Januari, Nape) na Modest Kapilimba walivyo cheza na mtandao wakaiba kura za Lowassa na kumhamishia Magufuli.Kwamba kumbe Hayati Magufuli alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.
Umoja Party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhirifu na wananchi wa kawaida wenye uchungu na taifa lao.
Kwanini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?
Kwa mara ya kwanza ndiyo naanza kuona nguvu ys JPM
Huwajui wananchi wa hii nchi wewe.. Huwajui Watanzania
Mimi nisingeweza Kwa kuwa SII sehemu ya genge lenu🤔sasa ulitaka uwemwanzilishi wewe?
Siku zote mgambo mbele Jeshi nyuma!
Kwakuwa Ina viashiria ya mirengo ya ubaguzi wa kiitikadi za kisiasa,kikanda na hata chembechembe za ukabila🤔Sasa hofu ya nini?
Labda ulikuwa ndani ya CCM kwahiyo huwajui vizuri. Waulize Chadema ndio wanawajua vizuri, na Mange KimambiMe mwenyewe ni Mtanzania sasa iweje nisiwajue WaTanzania?
Stroke umeonaa?Kumekuchaaa.
Acha kukariri. Muda huamua lolote.Upepo tu huo kijana. CCJ na CCK viliundwa na watu waliotoswa na JK. Akina Sitta, Nape na wengineo..
Hicho chama chenu kipya kinaundwa na waliotoswa na Samia, upepo utapita tu na wala usijiaminishe kwamba kitaweza kukichallenge hata TLP au NCCR. Njia pekee ya kukijenga hicho chama angalau kiwe hadhi ya NCCR au Chas hapo 2025 ni wale team Magufuli wote ambao wamewatuma hao vijana wawili kusajili Chama wataachia nafasi zao za Ubunge, Uwaziri, Ubalozi na zingine kwenye vyombo vya Dola na kujiunga mapema kukijenga hicho chama kuelekea 2025. Hapo mnaweza kubahatisha Mbunge Mmoja kutoka Usukumani na madiwani wanne
Labda ulikuwa ndani ya CCM kwahiyo huwajui vizuri. Waulize Chadema ndio wanawajua vizuri, na Mange Kimambi
Kila la kheri mkuu.. Iko siku utakumbuka haya maneno yanguHaaah haaaaaah!
Sikuwahi kuwa ndani ya chama chochote tangu nizaliwe mkuu,ila safari hii kama hawa jamaa watakuwa serious kweli,basi nipo tayari kuwa mstari wa mbele!!
Do you think sisiemu ni wajinga? Hiko chama kekufa kabla hakujaanzishwa.Ccm walijidanganya saana, kubeza wanyonge na kumsema hovyo mtetezi wao, R.I.P JPM
Kivipi? Fafanua.
Kurudi tena kwa watu nyie, du!Sasa hofu ya nini juu ya Umoja party?
Acha turudi ili tulete maendeleo kwa watanzania.Kurudi tena kwa watu nyie, du!
Hapo palitakiwa kuwa na picha ya jpm na nyerere