Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Anawajua Umoja party?Wakati huo huo usisahau kufata ushauri wa Mzito Kabwela.
Kivipi? Fafanua.Hakuna mwenye hofu na umoja party ila tunashangaa muundo wake wahusika waliomo🤔
Ina mafungamani na inayoitwa SgangKivipi? Fafanua.
Babu yenu aliwaambia mkiita wenzenu nyumbu na nyie mtaitwa fisi🐅Nyumbu watanyooka tu
Sasa hofu ya nini?Ina mafungamani na inayoitwa Sgang
Sasa hofu ya nini juu ya Umoja party?Ni mazombie tu ndiyo yalimkubali huyo ibilisi wa kihutu
Ushauri 🐒👇Wakati huo huo usisahau kufata ushauri wa Mzito Kabwela.
Ushauri 🐒👇
Zitto: Wanaompenda Magufuli wakazikwe naye Chato, alikuwa Rais fisadi zaidi kuwahi kutokea Tanzania
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo amesema wale wanaompenda sana Magufuli waende Chato wakachimbe kaburi pembeni ya kaburi la Magufuli kisha wajizike Zitto amesema zamani watu ambao ni walikuwa ni viherehere wanaojidai wanawapenda sana wafalme au watemi walikuwa wakizikwa pamoja na wafalme...www.jamiiforums.com
Ni wajinga wachache na wewe ukiwamo waliombeza JPM, kama sio muuza ngada, utakuwa vyeti feki, kama sio hivyo, basi utakuwa fisadi mjinga weweNi mazombie tu ndiyo yalimkubali huyo ibilisi wa kihutu
Anaijua misukule ya yule dhalim wa kihutu aliyeko motoni
Jibu lake ni hilo la umoja Party
Unatapatapa kama nyumbu.Sukuma Gang mnanyooshwa na Msoga Gang kinoma
Wewe na nyumbu wenzakoNani ana hofu na kitu ambacho hakipo?
Nyuzi gani zinamhusu ibilisi?Wewe ndiye unatapatapa unaazisha nyuzi kibao kuhusu ibilisi aliyeko motoni,utakuwa taahira kabisa wewe
Kwamba kumbe hayati JPM alikuwa anakubalika na wengi. The majority ya wananchi wanyonge ambao hata mumchafue vipi kwao yeye hachafuki maana wanajua kazi aliyoifanya kwa taifa lake.
Umoja party tayari imeshazichanga karata na inakwenda kuzoa lundo la wafuasi wapinga ufisadi na ubadhirifu na wananchi wa kawaida
Kwa nini mnaanza kutapatapa mapema namna hii?