Hoja alizoibua CAG sio ufisadi mpaka zikose majibu

Hoja alizoibua CAG sio ufisadi mpaka zikose majibu

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Upuuzi ni ile hali ya kutotumia busara muda wote na kujadili ujinga ili hali unatakiwa kujadili masuala ya msingi.

Utaratibu wa kufanya auditting unajulikana dunia nzima. Mkaguzi huibua hoja anapokuwa anafanya kaguzi. Hoja hizi mara nyingi huwa ni mashaka juu ya muamala uliofanyika na mara nyingi huhitaji majibu au masahihisho ili kuweka mambo sawa.

Taarifa aliyosoma CAG hivi majuzi sio conclussive report kuwa kuna ufisadi ulifanyika. Bali ni hoja za kiukaguzi ambazo zinatilia mashaka baadhi ya miamala. Majibu yakikosekana juu ya uhalisia wa kilichofanyika hapo ndipo utapata jibu kuwa ni ufisadi.

Lakini jambo la ajabu unakuta mpumbavu na mpuuzi anag'ag'ania jambo bila kutumia akili na kutumia nguvu nyingi kuropoka upuuzi huku hafahamu lolote.
 
Ng'wana malunde, omisha mhola? CAG huwa anakuwa na kikao na anayekaguliwa kabla ya kuagana, analeta hoja pale ili kama majibu yapo yaletwe, hilo unalijua (exit meeting)
Hii ripoti aliyosoma ndio final conclussive report?
 
Upuuzi ni ile hali ya kutotumia busara muda wote na kujadili ujinga ili hali unatakiwa kujadili masuala ya msingi.

Utaratibu wa kufanya auditting unajulikana dunia nzima. Mkaguzi huibua hoja anapokuwa anafanya kaguzi. Hoja hizi mara nyingi huwa ni mashaka juu ya muamala uliofanyika na mara nyingi huhitaji majibu au masahihisho ili kuweka mambo sawa.

Taarifa aliyosoma CAG hivi majuzi sio conclussive report kuwa kuna ufisadi ulifanyika. Bali ni hoja za kiukaguzi ambazo zinatilia mashaka baadhi ya miamala. Majibu yakikosekana juu ya uhalisia wa kilichofanyika hapo ndipo utapata jibu kuwa ni ufisadi.

Lakini jambo la ajabu unakuta mpumbavu na mpuuzi anag'ag'ania jambo bila kutia akili na kutumia nguvu nyingi kuropoka upuuzi huku hafahamu lolote.
Wewe ndiye hujui kitu. Audit queries zilizokosa majibu ya kutosheleza ndiyo zimepelekwa Bungeni kwa hatua zaidi. Usitetee ujinga. Jitu lenu lilikuwa fisadi papa
 
Upuuzi ni ile hali ya kutotumia busara muda wote na kujadili ujinga ili hali unatakiwa kujadili masuala ya msingi.

Utaratibu wa kufanya auditting unajulikana dunia nzima. Mkaguzi huibua hoja anapokuwa anafanya kaguzi. Hoja hizi mara nyingi huwa ni mashaka juu ya muamala uliofanyika na mara nyingi huhitaji majibu au masahihisho ili kuweka mambo sawa.

Taarifa aliyosoma CAG hivi majuzi sio conclussive report kuwa kuna ufisadi ulifanyika. Bali ni hoja za kiukaguzi ambazo zinatilia mashaka baadhi ya miamala. Majibu yakikosekana juu ya uhalisia wa kilichofanyika hapo ndipo utapata jibu kuwa ni ufisadi.

Lakini jambo la ajabu unakuta mpumbavu na mpuuzi anag'ag'ania jambo bila kutia akili na kutumia nguvu nyingi kuropoka upuuzi huku hafahamu lolote.
Kwanza pole sana mchato mwenzangu, hii hali kweli inatuumiza sana wachato yaan kila cku wanapiga makelele tulikua mafisadi kweli? Wakati dunia nzima hakukua na wazalendo kama sisi awamu ya gwara. If you can't fight em then join em!! No way out, BTW unapoweka pesa yako mezani hapo nyumban kwako unaingia kuoga ukitoka unakuta pesa haipo je hapo utasema pesa yako imeenda kutembea then itarud? Au imeibiwa hapo ndan kwako na waliopo? Vitu vingine havihitaj akil kujua unapofanya auditing then unagundua kuna pesa haionekan au matumiz hayaendani na pesa bas kuna wizi humo!!! Wamisha kineh!!
 
Kwanza pole sana mchato mwenzangu, hii hali kweli inatuumiza sana wachato yaan kila cku wanapiga makelele tulikua mafisadi kweli? Wakati dunia nzima hakukua na wazalendo kama sisi awamu ya gwara. If you can't fight em then join em!! No way out, BTW unapoweka pesa yako mezani hapo nyumban kwako unaingia kuoga ukitoka unakuta pesa haipo je hapo utasema pesa yako imeenda kutembea then itarud? Au imeibiwa hapo ndan kwako na waliopo? Vitu vingine havihitaj akil kujua unapofanya auditing then unagundua kuna pesa haionekan au matumiz hayaendani na pesa bas kuna wizi humo!!! Wamisha kineh!!
Umeandika nini sasa?
 
Wewe ndiye hujui kitu. Audit queries zilizokosa majibu ya kutosheleza ndiyo zimepelekwa Bungeni kwa hatua zaidi. Usitetee ujinga. Jitu lenu lilikuwa fisadi papa
Hii hoja hapa mezani inahusiana vipi na hayati JPM? Hapa tunazungumzia utaratibu wa Auditing.
 
Upuuzi ni ile hali ya kutotumia busara muda wote na kujadili ujinga ili hali unatakiwa kujadili masuala ya msingi.

Utaratibu wa kufanya auditting unajulikana dunia nzima. Mkaguzi huibua hoja anapokuwa anafanya kaguzi. Hoja hizi mara nyingi huwa ni mashaka juu ya muamala uliofanyika na mara nyingi huhitaji majibu au masahihisho ili kuweka mambo sawa.

Taarifa aliyosoma CAG hivi majuzi sio conclussive report kuwa kuna ufisadi ulifanyika. Bali ni hoja za kiukaguzi ambazo zinatilia mashaka baadhi ya miamala. Majibu yakikosekana juu ya uhalisia wa kilichofanyika hapo ndipo utapata jibu kuwa ni ufisadi.

Lakini jambo la ajabu unakuta mpumbavu na mpuuzi anag'ag'ania jambo bila kutumia akili na kutumia nguvu nyingi kuropoka upuuzi huku hafahamu lolote.
Sawa,ila nini kuashiria Cha mashaka mengi na makubwa🤔
 
Upuuzi ni ile hali ya kutotumia busara muda wote na kujadili ujinga ili hali unatakiwa kujadili masuala ya msingi.

Utaratibu wa kufanya auditting unajulikana dunia nzima. Mkaguzi huibua hoja anapokuwa anafanya kaguzi. Hoja hizi mara nyingi huwa ni mashaka juu ya muamala uliofanyika na mara nyingi huhitaji majibu au masahihisho ili kuweka mambo sawa.

Taarifa aliyosoma CAG hivi majuzi sio conclussive report kuwa kuna ufisadi ulifanyika. Bali ni hoja za kiukaguzi ambazo zinatilia mashaka baadhi ya miamala. Majibu yakikosekana juu ya uhalisia wa kilichofanyika hapo ndipo utapata jibu kuwa ni ufisadi.

Lakini jambo la ajabu unakuta mpumbavu na mpuuzi anag'ag'ania jambo bila kutumia akili na kutumia nguvu nyingi kuropoka upuuzi huku hafahamu lolote.
Hoja yako ina tofauti gani na lile swala la Jiwe kuwa "Eti kuwa pesa zimeibiwa?"
 
Mod ameharibu kila kitu.
Ndio uwezo wako wa akili ulipoishia, siku nyingine usijihusishe na mjadala wa mambo mazito, uwe unasubiri mada zinazohusu singeli na ngoma ya ubogobogo, pamoja na bhagika na bhagalu
 
Ndio uwezo wako wa akili ulipoishia, siku nyingine usijihusishe na mjadala wa mambo mazito, uwe unasubiri mada zinazohusu singeli na ngoma ya ubogobogo, pamoja na bhagika na bhagalu
😜
We dogo akili yako ndogo sana.
 
Back
Top Bottom