Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
MaCCM yanamchukia CAG utadhani kawapora mke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inaingia vipi hapa?MaCCM yanamchukia CAG utadhani kawapora mke.
Wewe jamaa akili kubwa sanaKwanza pole sana mchato mwenzangu, hii hali kweli inatuumiza sana wachato yaan kila cku wanapiga makelele tulikua mafisadi kweli? Wakati dunia nzima hakukua na wazalendo kama sisi awamu ya gwara. If you can't fight em then join em!! No way out, BTW unapoweka pesa yako mezani hapo nyumban kwako unaingia kuoga ukitoka unakuta pesa haipo je hapo utasema pesa yako imeenda kutembea then itarud? Au imeibiwa hapo ndan kwako na waliopo? Vitu vingine havihitaj akil kujua unapofanya auditing then unagundua kuna pesa haionekan au matumiz hayaendani na pesa bas kuna wizi humo!!! Wamisha kineh!!
Mpaka CAG anatoa report kwenda kwenye mihimili ujue hoja zimekosa majibu huko zilikokaguliwa. Baada ya ukaguzi huwa kuna exit meeting ambapo mkaguliwa lazma atoe majibu ya queries zote zilizoibuliwa na mkaguzi.Upuuzi ni ile hali ya kutotumia busara muda wote na kujadili ujinga ili hali unatakiwa kujadili masuala ya msingi.
Utaratibu wa kufanya auditting unajulikana dunia nzima. Mkaguzi huibua hoja anapokuwa anafanya kaguzi. Hoja hizi mara nyingi huwa ni mashaka juu ya muamala uliofanyika na mara nyingi huhitaji majibu au masahihisho ili kuweka mambo sawa.
Taarifa aliyosoma CAG hivi majuzi sio conclussive report kuwa kuna ufisadi ulifanyika. Bali ni hoja za kiukaguzi ambazo zinatilia mashaka baadhi ya miamala. Majibu yakikosekana juu ya uhalisia wa kilichofanyika hapo ndipo utapata jibu kuwa ni ufisadi.
Lakini jambo la ajabu unakuta mpumbavu na mpuuzi anag'ag'ania jambo bila kutumia akili na kutumia nguvu nyingi kuropoka upuuzi huku hafahamu lolote.
Acha kukurupuka. Je kamati za bunge zikija kupatiwa majibu sahihi utasemaje?Kimsingi huo ni wizi wa wazi kabisa...cha msingi hapo ni utekelezaji wa mapendekezo yake ikiwemo kuwachukulia hatua wahusika.
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Waliokaguliwa hawana majibu through exit meetings zilizofanyika. Bunge kazi yake ni kupitia na kutoa measuresAcha kukurupuka. Je kamati za bunge zikija kupatiwa majibu sahihi utasemaje?
U need to learn more these things. Before you critisize.Acha kukurupuka. Je kamati za bunge zikija kupatiwa majibu sahihi utasemaje?
Hujui kitu kaa kimya. Kawaulize PAC na LAAC majukumu yao.U need to learn more these things. Before you critisize.
Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Pamoja mkuuWewe jamaa akili kubwa sana
Audit queries ambazo hazielewek or hazina majib always zinakwenda bungeni! Kwanza mbona kama unapamban kuliko uwezo wako ili kulinda legacy? Kuna vitu ambavyo havifichiki mfano..pembe la ng'ombe!! Think about itUnaleta pumba? Hoja hapa ni kama audit querries ni ufisadi we unaleta ngonjera.
Acha PAC na LAAC watoe majibu.Audit queries ambazo hazielewek or hazina majib always zinakwenda bungeni! Kwanza mbona kama unapamban kuliko uwezo wako ili kulinda legacy? Kuna vitu ambavyo havifichiki mfano..pembe la ng'ombe!! Think about it
Utajua hujui shubaaamit!!Acha PAC na LAAC watoe majibu.
Acha kuwa unashabikia upuuzi wa kipumbavu.Utajua hujui shubaaamit!!
Sikia jamaa yangu labda kama hujui kitu,mkaguzi hutoa hoja za kiukaguzi na kuwapa wahusika ili wajibu,wapojibu akiridhika huwa anaondoa hoja hizo,baada ya hapo sasa,ndipo hutoa hadharani ripoti yake,na akishaitoa huwa ni final,kinachobaki ni hatua tu kuchukuliwa na wahusika,hivyo hiyo ripoti ya c.a.g ni final reportUpuuzi ni ile hali ya kutotumia busara muda wote na kujadili ujinga ili hali unatakiwa kujadili masuala ya msingi.
Utaratibu wa kufanya auditting unajulikana dunia nzima. Mkaguzi huibua hoja anapokuwa anafanya kaguzi. Hoja hizi mara nyingi huwa ni mashaka juu ya muamala uliofanyika na mara nyingi huhitaji majibu au masahihisho ili kuweka mambo sawa.
Taarifa aliyosoma CAG hivi majuzi sio conclussive report kuwa kuna ufisadi ulifanyika. Bali ni hoja za kiukaguzi ambazo zinatilia mashaka baadhi ya miamala. Majibu yakikosekana juu ya uhalisia wa kilichofanyika hapo ndipo utapata jibu kuwa ni ufisadi.
Lakini jambo la ajabu unakuta mpumbavu na mpuuzi anag'ag'ania jambo bila kutumia akili na kutumia nguvu nyingi kuropoka upuuzi huku hafahamu lolote.
Nahene mwana malunde!Acha kuwa unashabikia upuuzi wa kipumbavu.