Uchaguzi 2020 Hoja binafsi: Jaji Kaijage apongezwe kwa busara zake zilizombeba Tundu Lissu, busara zaidi itumike kuepuka sintofahamu za makusudi kwenye Uchaguzi

Hata Lisu Baada ya kutangazwa mgombea body language ya uso wake haikuwa na furaha kabisa Kama ilivyo kawaida yake akishinda kitu alikuwa Hana furaha kabisa akionyesha uso as if something is missing somewhere wataalamu wa body language pitieni ile video yake Baada ya kutangazwa
 
Mkuu sheria inasema zipite huko au ni utaratibu tu wa kimazoea waliojiwekea wanaccm maana naona hiyo tweet ya Chadema na maelezo yako haviendani
Kama ameshindwa hata kuelewa kilichoandikwa kwenye Tweet hapo juu utamuelewesha nini hadi aelewe?
 
Hivi Lisu aliwezaje kupita huko alikopita kutafuta wadhamini kwa msafara?

Au hizo hela zilizotumika ulizitoa wewe?
 
Kwel we n zumbukuku
 
Usitufanye wajinga, inamaana tulikuwa hatumuoni?
Kwani uliwahi kumuona au kumsikia kwamba leo kaenda Tanga,Arusha, Mbeya, Mara,Kagera kutafuta wadhamini? Miimi siwafanyi wajinga kama Lissu anavyowafanya wajinga kwa kujifanya yeye tu ndo anaona Magufuli alichofanikiwa ni Kujenga Uwanja wa Ndege Chato na kuanzisha mbuga ya anyama Buligi wakati Watanzania wote tunaona yote aliyoyafanya ambayo hayaelezeki
 
Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA mhe Tundu Lissu jambo ambalo kikanuni lilipaswa kufanyika kwenye ofisi za majimbo za Tume ya uchaguzi basi ni dhahiri Lissu alitakiwa kutopitishwa na Tume.
Uhakiki unaweza kufanyika both at NEC HQ or regional offices of returning officers! I stand to be corrected if i am wrong!
 
Unaandika meengi lkn takataka tu, ungeandika hata mistari miwili.
 
sasa kilichowaweka mpaka ucku wa manane mmebanaaa mmeachia sasa hiyo busara ni ipi lengo lenu tulilijua tangu mwanzo ila mmechemka shwain nyie
 
Acha uongo .kwa maelezo ya msemaji wa Tume wagombea nafasi ya Uraisi walitakiwa kuhakikiwa kwenye majimbo au moja kwa moja Tume ya uchagzi kuanzia tarehe21 mpaka25 wahiyo hakuna tatizo
 
Kuna wakati nilikuwa namsikia Bw Zitto Kabwe akisema Chadema na ACT-Wazalendo watasimamisha mgombea mmoja tu wa Uraisi wa Tanzania.Na amekuwa anarudia rudia mara kwa mara.
Kumbe Plan B walikuwa nayo.Sasa katika masaa yaliobaki labda kuna Plan C.
Kuna mtihani mkubwa kwa Lissu kusuka upya safu nzima ya mashambulizi.Awatafute akina Professor Safari,na Professor Baregu wampe mikoba ya utu wazima.
 
Magufuli alikwenda lini mikoani kuhakiki form zake?
 
maelekezo ya Tume ndiyo yaliwaelekeza ifuatavyo:
4.7. Msimamizi wa Uchaguzi Kuthibitisha Wadhamini wa Mgombea

Wagombea au wadhamini wao watawasilisha fomu zao kwa Wasimamizi

wa Uchaguzi wa jimbo ili watoe uthibitisho wa wadhamini. Hivyo, Tume

inamwelekeza Msimamizi wa Uchaguzi katika kila jimbo ambalo

wadhamini wametoka kutoa uthibitisho wa wadhamini hao kwa kujaza

sehemu husika katika Fomu Na. 8A kwa kuweka jina kamili, saini na

muhuri wa Msimamizi wa Uchaguzi.
Hakuna sheria inapotamka hivyo, ila ni vizuri kuhakiki wadhamini, ila wahakikiwe wapi, ni maelekezo ya tume. Kuna mahali nilisikia wanasema Chadema wame-opt kuhakikiwa na tume na ndiyo maana wakachukua muda mrefu, Wengine wali -opt kuhakikiwa kwa wasimamizi wa uchaguzi (majimboni). Nadhani indiyo maana tume iliona hilo lisiwe pingamizi la kutomteua mgombea, Kosa ni kama hana wadhamini, lakini kwamba anao ila hawakuhakikiwa kwenye majimbo! Isiwe nongwa
 
Mzee wa kupindisha habari... kamwe hawakuambii kinachoendelea.

Ila watajitokeza kwa vyombo vya habari na kutangaza wanaonewa. Afadhali Mbowe ana busara.
 
Kanuni gani unazozizungumzia? Hebu tuwekee
 
Wewe mburukenge una unafiki uliovuka mipaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…