Hoja dhaifu juu ya Gwajima lini alikuwa mwana CCM-usiachie mwiba unawachoma

Hoja dhaifu juu ya Gwajima lini alikuwa mwana CCM-usiachie mwiba unawachoma

Yawezekana wewe ni mfupi na akili yako ikawa hivyo hivyo. Tundu Lissu alikua NCCR Mageuzi mpaka mwaka 2000 hajawahi kua CCM.Mbowe tangu CHADEMA unasaidiwa ndio walikua wanachama wa kwanza kujiunga akiwa kijana mdogo sana, hakuwahi kua CCM.

Hizo pesa mnazolipwa na huyo Askofu wenu fake sijui hamumuonei huruma
Sio kulipwa bablai ila ameongea point sana yani Halima na kikosi chake wana hofu ya kushindwa ndo maana wanatunga tunga hoja dhaifu

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
Mfano mzuri pale unavyokuwa shuleni , kwa sababu unakosoa makosa ya shule haimanishi wewe si mwanafunzi wa shule hiyo. Unapoona kosa halafu ukavumlia juwa kabisa wewe si mzalendo. Gwajima amekua mtu wa tofauti sana awezi kuvumlia ouvu wa aina yoyote.
 
Yawezekana wewe ni mfupi na akili yako ikawa hivyo hivyo. Tundu Lissu alikua NCCR Mageuzi mpaka mwaka 2000 hajawahi kua CCM.Mbowe tangu CHADEMA unasaidiwa ndio walikua wanachama wa kwanza kujiunga akiwa kijana mdogo sana, hakuwahi kua CCM.

Hizo pesa mnazolipwa na huyo Askofu wenu fake sijui hamumuonei huruma
Mbona unapata mshtuko wa moyo tulia kuwa mpole acha kuwa mtu wa kuongea utopolo tu kila siku
 
Wananchaama na wafuasi wengi wa vyama vya upinzani ukiwa msema ukweli na mpinga ufisadi basi wanakuona wewe ni mpinzani na kwa upande mwingine si MWANA CCM kisa tu unasimamia ukweli.

Kama utakuwa mfuatiliaji wa hotuba mbali mbali na makemeo ya Mgombea wa CCM Jimbo la kawe utagundua ujasili wake katika kukemea maovu yanayokwamisha utekelezaji wa Maendeleo ya wananchi hiyo imepelekea kuonekana kuwa ni mpinzania lakini yeye ni mwana CCM zaidi ya wewe ulivyoanza kuwa CHADEMA au CUF au NCCR-Mageuzi maana wengi mtakuwa mlijiunga na upinzani miaka ya 2000 lakini Gwajima ni mwanaCCM kindaki ndaki wa muda mrefu na ameshiriki katika mikakati mbalimbali ya kukipigania chama.

Hivyo niwatowe hofu Gwajima so mpinzani na hajawahi kuwa mpinzani sababu ya uelewa mdogo wa baadhi ya wafuasi wa upinzani wasiojua harakati na historia ya mageuzi watakuwa wanafikiri Kama Gwajima ni mpinzani lakini ukweli si mpinzani.

Ukisema hivyo naomba mtujibu lini Nyalandu, Dr.Wilbrod Slaa, Godbless Lema, Freeman Mbowe, TUNDU LISU wamerudisha kadi za CCM na kujiunga upinzani maana kwenye rekodi bado ni Wana CCM ambao kadi zao hawazilipii kwa muda mrefu

Mfano kwenye rekodi TUNDU LISU kadi yake Mara ya mwisho inaonyesha amekoma kuililia 2002 Sasa huyu tunamuita Mpinzani au kibaraka wa CCM.

Pia kunawakati Dr. WILBROD SLAA alisema kadi take ya CCM na TANU zipo na anazilipia Hadi kesho alitamka akiwa CHADEMA

Hivyo msiyumbe kwa misimamo ya mtu mkayabepa kuwa ni mpinzani

GWAJIMA AMEWASHIKA PABAYA KAWE
[/QUOTE
CCM Oyeee
Gwajima oyeeee
Magufuli oyeeee
 
Hatutaki matapeli wa kiimani na wabaguzi wa watu. Who is Gwajima by the way. CCM hatutaki Watu wa sampuli hii bora tupoteze kura upinzani
 
Maendeleo hayaji kwa maneno, Maendeleo yana kuja kwa vitendo.
ukitaka kujua hayo yote suburi

Wana Kawe tupo na Gwajima na sisi kama wana Kawe hatutaki maneno kama tuliyo yazoea kutoka kwa yule bibi asiye kuwa na wajuku. Kawe na Gwajami
 
MM CCM Ila Gwajima kura yangu hapati. Mliolipwa kumtetea hapa twawajua kwa majina na kwa bahati mbaya sana sio wapiga kura wake
 
Hivi kweli CCM tunataka tumpigie kura Gwajima? Kwa lipi aliblvyochafua chama chetu hivyoo? Fyeekelea mbali na uaskofu wake akachunge kondoo huko
 
Yawezekana wewe ni mfupi na akili yako ikawa hivyo hivyo. Tundu Lissu alikua NCCR Mageuzi mpaka mwaka 2000 hajawahi kua CCM.Mbowe tangu CHADEMA unasaidiwa ndio walikua wanachama wa kwanza kujiunga akiwa kijana mdogo sana, hakuwahi kua CCM.

Hizo pesa mnazolipwa na huyo Askofu wenu fake sijui hamumuonei huruma
Wananchaama na wafuasi wengi wa vyama vya upinzani ukiwa msema ukweli na mpinga ufisadi basi wanakuona wewe ni mpinzani na kwa upande mwingine si MWANA CCM kisa tu unasimamia ukweli.

Kama utakuwa mfuatiliaji wa hotuba mbali mbali na makemeo ya Mgombea wa CCM Jimbo la kawe utagundua ujasili wake katika kukemea maovu yanayokwamisha utekelezaji wa Maendeleo ya wananchi hiyo imepelekea kuonekana kuwa ni mpinzania lakini yeye ni mwana CCM zaidi ya wewe ulivyoanza kuwa CHADEMA au CUF au NCCR-Mageuzi maana wengi mtakuwa mlijiunga na upinzani miaka ya 2000 lakini Gwajima ni mwanaCCM kindaki ndaki wa muda mrefu na ameshiriki katika mikakati mbalimbali ya kukipigania chama.

Hivyo niwatowe hofu Gwajima so mpinzani na hajawahi kuwa mpinzani sababu ya uelewa mdogo wa baadhi ya wafuasi wa upinzani wasiojua harakati na historia ya mageuzi watakuwa wanafikiri Kama Gwajima ni mpinzani lakini ukweli si mpinzani.

Ukisema hivyo naomba mtujibu lini Nyalandu, Dr.Wilbrod Slaa, Godbless Lema, Freeman Mbowe, TUNDU LISU wamerudisha kadi za CCM na kujiunga upinzani maana kwenye rekodi bado ni Wana CCM ambao kadi zao hawazilipii kwa muda mrefu

Mfano kwenye rekodi TUNDU LISU kadi yake Mara ya mwisho inaonyesha amekoma kuililia 2002 Sasa huyu tunamuita Mpinzani au kibaraka wa CCM.

Pia kunawakati Dr. WILBROD SLAA alisema kadi take ya CCM na TANU zipo na anazilipia Hadi kesho alitamka akiwa CHADEMA

Hivyo msiyumbe kwa misimamo ya mtu mkayabepa kuwa ni mpinzani

GWAJIMA AMEWASHIKA PABAYA KAWE
Gwajima oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, Kawe mpya oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, Maendeleo oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Gwajima oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, Kawe mpya oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, Maendeleo oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
CCM hsty
CCM hatuchagu Gwajima. Mchague huko huko kanisani anakokutuma. 2025 tutaweka mtu sahihi bora sasa Mdee aendelee
 
Back
Top Bottom