Mtutu wa bunduki
Senior Member
- Jul 6, 2020
- 171
- 31
kipofu awezi kumuongoza kipofu mwenzakeKAWE Twendeni na Halima Mdeeeeeee!!
woyowyooooooooo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kipofu awezi kumuongoza kipofu mwenzakeKAWE Twendeni na Halima Mdeeeeeee!!
woyowyooooooooo!
Ukiwa wewe mmoja wapoAkafufue MISUKULE huko
Woyoooooooo!Wananchaama na wafuasi wengi wa vyama vya upinzani ukiwa msema ukweli na mpinga ufisadi basi wanakuona wewe ni mpinzani na kwa upande mwingine si MWANA CCM kisa tu unasimamia ukweli.
Kama utakuwa mfuatiliaji wa hotuba mbali mbali na makemeo ya Mgombea wa CCM Jimbo la kawe utagundua ujasili wake katika kukemea maovu yanayokwamisha utekelezaji wa Maendeleo ya wananchi hiyo imepelekea kuonekana kuwa ni mpinzania lakini yeye ni mwana CCM zaidi ya wewe ulivyoanza kuwa CHADEMA au CUF au NCCR-Mageuzi maana wengi mtakuwa mlijiunga na upinzani miaka ya 2000 lakini Gwajima ni mwanaCCM kindaki ndaki wa muda mrefu na ameshiriki katika mikakati mbalimbali ya kukipigania chama.
Hivyo niwatowe hofu Gwajima so mpinzani na hajawahi kuwa mpinzani sababu ya uelewa mdogo wa baadhi ya wafuasi wa upinzani wasiojua harakati na historia ya mageuzi watakuwa wanafikiri Kama Gwajima ni mpinzani lakini ukweli si mpinzani.
Ukisema hivyo naomba mtujibu lini Nyalandu, Dr.Wilbrod Slaa, Godbless Lema, Freeman Mbowe, TUNDU LISU wamerudisha kadi za CCM na kujiunga upinzani maana kwenye rekodi bado ni Wana CCM ambao kadi zao hawazilipii kwa muda mrefu
Mfano kwenye rekodi TUNDU LISU kadi yake Mara ya mwisho inaonyesha amekoma kuililia 2002 Sasa huyu tunamuita Mpinzani au kibaraka wa CCM.
Pia kunawakati Dr. WILBROD SLAA alisema kadi take ya CCM na TANU zipo na anazilipia Hadi kesho alitamka akiwa CHADEMA
Hivyo msiyumbe kwa misimamo ya mtu mkayabepa kuwa ni mpinzani
GWAJIMA AMEWASHIKA PABAYA KAWE
Gwajima anatufaa saaana wanakawe ,yaan 28 sitaki kufanya makosa naelekeza kura yangu kwa Gwajima
Mkuu kwani na wewe ni laghai na tapeli?GWAJIMA AMEWASHIKA PABAYA KAWE
Hiyo kadi ya TANU alikuwa anailipia kwa nani labda!Pia kunawakati Dr. WILBROD SLAA alisema kadi take ya CCM na TANU zipo na anazilipia Hadi kesho alitamka akiwa CHADEMA
GWAJIMA AMEWASHIKA PABAYA KAWE
Ni maovu gani yaliwahi kukemewa na mzee wa sanaa, mzee wa misukule?Wananchaama na wafuasi wengi wa vyama vya upinzani ukiwa msema ukweli na mpinga ufisadi basi wanakuona wewe ni mpinzani na kwa upande mwingine si MWANA CCM kisa tu unasimamia ukweli.
Kama utakuwa mfuatiliaji wa hotuba mbali mbali na makemeo ya Mgombea wa CCM Jimbo la kawe utagundua ujasili wake katika kukemea maovu yanayokwamisha utekelezaji wa Maendeleo ya wananchi hiyo imepelekea kuonekana kuwa ni mpinzania lakini yeye ni mwana CCM zaidi ya wewe ulivyoanza kuwa CHADEMA au CUF au NCCR-Mageuzi maana wengi mtakuwa mlijiunga na upinzani miaka ya 2000 lakini Gwajima ni mwanaCCM kindaki ndaki wa muda mrefu na ameshiriki katika mikakati mbalimbali ya kukipigania chama.
Hivyo niwatowe hofu Gwajima so mpinzani na hajawahi kuwa mpinzani sababu ya uelewa mdogo wa baadhi ya wafuasi wa upinzani wasiojua harakati na historia ya mageuzi watakuwa wanafikiri Kama Gwajima ni mpinzani lakini ukweli si mpinzani.
Ukisema hivyo naomba mtujibu lini Nyalandu, Dr.Wilbrod Slaa, Godbless Lema, Freeman Mbowe, TUNDU LISU wamerudisha kadi za CCM na kujiunga upinzani maana kwenye rekodi bado ni Wana CCM ambao kadi zao hawazilipii kwa muda mrefu
Mfano kwenye rekodi TUNDU LISU kadi yake Mara ya mwisho inaonyesha amekoma kuililia 2002 Sasa huyu tunamuita Mpinzani au kibaraka wa CCM.
Pia kunawakati Dr. WILBROD SLAA alisema kadi take ya CCM na TANU zipo na anazilipia Hadi kesho alitamka akiwa CHADEMA
Hivyo msiyumbe kwa misimamo ya mtu mkayabepa kuwa ni mpinzani
GWAJIMA AMEWASHIKA PABAYA KAWE