Sio kulipwa bablai ila ameongea point sana yani Halima na kikosi chake wana hofu ya kushindwa ndo maana wanatunga tunga hoja dhaifuYawezekana wewe ni mfupi na akili yako ikawa hivyo hivyo. Tundu Lissu alikua NCCR Mageuzi mpaka mwaka 2000 hajawahi kua CCM.Mbowe tangu CHADEMA unasaidiwa ndio walikua wanachama wa kwanza kujiunga akiwa kijana mdogo sana, hakuwahi kua CCM.
Hizo pesa mnazolipwa na huyo Askofu wenu fake sijui hamumuonei huruma
Mbona unapata mshtuko wa moyo tulia kuwa mpole acha kuwa mtu wa kuongea utopolo tu kila sikuYawezekana wewe ni mfupi na akili yako ikawa hivyo hivyo. Tundu Lissu alikua NCCR Mageuzi mpaka mwaka 2000 hajawahi kua CCM.Mbowe tangu CHADEMA unasaidiwa ndio walikua wanachama wa kwanza kujiunga akiwa kijana mdogo sana, hakuwahi kua CCM.
Hizo pesa mnazolipwa na huyo Askofu wenu fake sijui hamumuonei huruma
Wananchaama na wafuasi wengi wa vyama vya upinzani ukiwa msema ukweli na mpinga ufisadi basi wanakuona wewe ni mpinzani na kwa upande mwingine si MWANA CCM kisa tu unasimamia ukweli.
Kama utakuwa mfuatiliaji wa hotuba mbali mbali na makemeo ya Mgombea wa CCM Jimbo la kawe utagundua ujasili wake katika kukemea maovu yanayokwamisha utekelezaji wa Maendeleo ya wananchi hiyo imepelekea kuonekana kuwa ni mpinzania lakini yeye ni mwana CCM zaidi ya wewe ulivyoanza kuwa CHADEMA au CUF au NCCR-Mageuzi maana wengi mtakuwa mlijiunga na upinzani miaka ya 2000 lakini Gwajima ni mwanaCCM kindaki ndaki wa muda mrefu na ameshiriki katika mikakati mbalimbali ya kukipigania chama.
Hivyo niwatowe hofu Gwajima so mpinzani na hajawahi kuwa mpinzani sababu ya uelewa mdogo wa baadhi ya wafuasi wa upinzani wasiojua harakati na historia ya mageuzi watakuwa wanafikiri Kama Gwajima ni mpinzani lakini ukweli si mpinzani.
Ukisema hivyo naomba mtujibu lini Nyalandu, Dr.Wilbrod Slaa, Godbless Lema, Freeman Mbowe, TUNDU LISU wamerudisha kadi za CCM na kujiunga upinzani maana kwenye rekodi bado ni Wana CCM ambao kadi zao hawazilipii kwa muda mrefu
Mfano kwenye rekodi TUNDU LISU kadi yake Mara ya mwisho inaonyesha amekoma kuililia 2002 Sasa huyu tunamuita Mpinzani au kibaraka wa CCM.
Pia kunawakati Dr. WILBROD SLAA alisema kadi take ya CCM na TANU zipo na anazilipia Hadi kesho alitamka akiwa CHADEMA
Hivyo msiyumbe kwa misimamo ya mtu mkayabepa kuwa ni mpinzani
GWAJIMA AMEWASHIKA PABAYA KAWE
[/QUOTE
CCM Oyeee
Gwajima oyeeee
Magufuli oyeeee
Hahaha unataka na wewe uje ulipwe auHivi wewe unalipwa kiasi gani, mbona unahangaika sana?
Nampigia kura Magufuli lakini siyo huyu Askofu fake anayetukana na kubagua watu. Mswaada CCM tusikoseeGwajima baba laooooooooo,jani ningumu na huwezi kumjua huyu jamaa akili yake wapinzani wamepagawa hawana hata hoja.
Yawezekana wewe ni mfupi na akili yako ikawa hivyo hivyo. Tundu Lissu alikua NCCR Mageuzi mpaka mwaka 2000 hajawahi kua CCM.Mbowe tangu CHADEMA unasaidiwa ndio walikua wanachama wa kwanza kujiunga akiwa kijana mdogo sana, hakuwahi kua CCM.
Hizo pesa mnazolipwa na huyo Askofu wenu fake sijui hamumuonei huruma
Gwajima oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, Kawe mpya oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, Maendeleo oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeWananchaama na wafuasi wengi wa vyama vya upinzani ukiwa msema ukweli na mpinga ufisadi basi wanakuona wewe ni mpinzani na kwa upande mwingine si MWANA CCM kisa tu unasimamia ukweli.
Kama utakuwa mfuatiliaji wa hotuba mbali mbali na makemeo ya Mgombea wa CCM Jimbo la kawe utagundua ujasili wake katika kukemea maovu yanayokwamisha utekelezaji wa Maendeleo ya wananchi hiyo imepelekea kuonekana kuwa ni mpinzania lakini yeye ni mwana CCM zaidi ya wewe ulivyoanza kuwa CHADEMA au CUF au NCCR-Mageuzi maana wengi mtakuwa mlijiunga na upinzani miaka ya 2000 lakini Gwajima ni mwanaCCM kindaki ndaki wa muda mrefu na ameshiriki katika mikakati mbalimbali ya kukipigania chama.
Hivyo niwatowe hofu Gwajima so mpinzani na hajawahi kuwa mpinzani sababu ya uelewa mdogo wa baadhi ya wafuasi wa upinzani wasiojua harakati na historia ya mageuzi watakuwa wanafikiri Kama Gwajima ni mpinzani lakini ukweli si mpinzani.
Ukisema hivyo naomba mtujibu lini Nyalandu, Dr.Wilbrod Slaa, Godbless Lema, Freeman Mbowe, TUNDU LISU wamerudisha kadi za CCM na kujiunga upinzani maana kwenye rekodi bado ni Wana CCM ambao kadi zao hawazilipii kwa muda mrefu
Mfano kwenye rekodi TUNDU LISU kadi yake Mara ya mwisho inaonyesha amekoma kuililia 2002 Sasa huyu tunamuita Mpinzani au kibaraka wa CCM.
Pia kunawakati Dr. WILBROD SLAA alisema kadi take ya CCM na TANU zipo na anazilipia Hadi kesho alitamka akiwa CHADEMA
Hivyo msiyumbe kwa misimamo ya mtu mkayabepa kuwa ni mpinzani
GWAJIMA AMEWASHIKA PABAYA KAWE
CCM hstyGwajima oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, Kawe mpya oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, Maendeleo oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
wewe kama yuda utasaliti na bado utaongizwa tu. kipi kizuri kura au kuongozwa ππππππMM CCM Ila Gwajima kura yangu hapati. Mliolipwa kumtetea hapa twawajua kwa majina na kwa bahati mbaya sana sio wapiga kura wake
Mie nalipa, sutegemei kulipwa, ndio maana niko huruHahaha unataka na wewe uje ulipwe au
Kuna watu wao wakiamka tu asubuhi yaani huwa wamepagawa wewe aujioni kwenyeilo kundiπππππππππEti Gwajima awe mbunge wa KAWE ππ