Hatutaki wabaguzi tunataka watakaotuletea MaendeleoKuna watu wao wakiamka tu asubuhi yaani huwa wamepagawa wewe aujioni kwenyeilo kundiššššššššš
Ndiyo hiyo ansyoifufua kila siku.
Hatutakiiiiiiiiiiiiiiiiii nenda mwenyweeeKAWE Twendeni na Halima Mdeeeeeee!!
woyowyooooooooo!
JUMA njoo ujibu hoja hapaCheki hiyo kitu yaani Gwajima anakuambia CCM ni dudu hakipendi analichukia.
View attachment 1586657
KAWE hatutaki wabaguzi wa kiimani na kikabila. Tunataka mtetezi wetu
Ndio maana Mungu akatupa Gwajima mchapa KaziKAWE hatutaki wabaguzi wa kiimani na kikabila. Tunataka mtetezi wetu
Yaan kama Gwajima angekuwa Mtu wa maneno bisi Kawe wasinge mchaguNdio maana Mungu akatupa Gwajima mchapa Kazi
Naona kazi yako ni kuanzisha uzi na kukimbilia kutumia ID nyingine kuja kujijibuš!Gwajima ni mtu wa maendeleo lazima nimpe kura yangu
Gwajima oyeeeeeeeeeeNdio maana Mungu akatupa Gwajima mchapa Kazi