Hoja dhaifu juu ya Gwajima lini alikuwa mwana CCM-usiachie mwiba unawachoma

KAMA GWAJIMA ALIWEZA KUSHAWISHI MAELFU YA WATU WAKAOKOKA BASI NINA IMANI KUBWA SANA WANA KAWE WATASAIDIWA SANA ,KAWE IMEOENDELEWA SANA NA CCM
 
Kawe TUNAENDA NA GWAJIMA ,
HATUTAKI KUFANYA UPUUZI TENA
TUNAFANYA KWELI
 
YANI SISI TUNACHOJUA GWAJIMA NI MWANA CCM NA TAREHE 28 TUNAMCHAGUA
KWANI NYIE MAMBO YA CCM YANAWAHUSU NINI
 
Woyoooooooo!
Gwajima oyeeeeeeee!
Wataweza kweli? Ah wapi
 
Pia kunawakati Dr. WILBROD SLAA alisema kadi take ya CCM na TANU zipo na anazilipia Hadi kesho alitamka akiwa CHADEMA

GWAJIMA AMEWASHIKA PABAYA KAWE
Hiyo kadi ya TANU alikuwa anailipia kwa nani labda!
 
Ni maovu gani yaliwahi kukemewa na mzee wa sanaa, mzee wa misukule?
 
Labda wewe mwenyewe!
Kijani miaka yote maneno tu ila matumbo yao yanazidi kuvimba leo utuambie Gwajiboy! No way! Angalau angekuwa mwingine!
 
Nina hakika Gwajiboy hawezi kupata asili mia kumi Kawe labda kama tumelazwa usingizi!
Hata afanye campaign ngapi haitasaidia!
Ila akikupa hela kula na mpe kura Halima, Tundu na madiwani wa cdm!
We need change after almost 60 years!
Hamuoni kuwa we are suffocating????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…