Uchaguzi 2020 Hoja fikirishi: CHADEMA kwanini mnadai Uhuru wa Vyombo vya Habari huku mkivinyima haki, kufukuza na kuvidhalilisha!?


..hicho unachozungumzia wewe ni kufanya editting.

..lakini TBC walikuwa wanafanya kitu kipya kabisa, sijui hata utaita nini.

..kile walichokuwa wanafanya was very UNPROFESSIONAL, nadhani ni afadhali walivyozuiliwa wasiendelee.

..historia ya TBC huko nyuma nayo ilichangia yaliyotokea leo.
 
Lissu kawaharibu Chadema. Lissu anaidharau Tanzania, anadharau rasilimali, tunu, tamaduni zetu kama taifa na mbaya sana anatudharau watanzania!!! Chadema wamemfuata kwenye hili la dharau!
 
Bavicha huwa wanatamba Mbowe ni tajiri tangu enzi za Nyerere lakini kila unapofika uchaguzi Chadema huwa hoi sana kipesa kwenye kampeni!!

Mfano uzinduzi wa kampeni leo ni hovyo kabisa na ni dhahiri chadema hawana pesa.

Je utajiri wa Mbowe una manufaa gani kwa Chadema??
 
hujasikia mwenyekiti wa tume kasema kwenye kampeni msitumie pesa nyingi
 
Ndugu yangu chadema na tbc uliwahi ona wapi au wewe c mtanzania hujui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…