Hoja ipi kati ya zifuatazo ina ukweli ndani yake

Hoja ipi kati ya zifuatazo ina ukweli ndani yake

SheriaE

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2018
Posts
606
Reaction score
447
Habari za uzima ndugu zangu.

Naomba mkipata muda mtaniambia ni hoja ipi kati ya zifuatazo inaukweli ndani yake :

1.Inasemekana wanawake wengi wamepewa uwezo mkubwa na Mungu wa kutunza fedha kuliko wanaume ,

2.Hali ngumu za kimaisha zimewafanya watu wengi wasiabudu

3.Inasemekana kwamba mtaji wa kufanya biashara au shughuli yeyote ya kiuchumi ni kikwazo kwa wengi kuto jiajiri

4.Wema ni akiba

5.Kuto salimu watu barabaran ni dalili ya kuwa na kiburi

6.Kwa sehemu kubwa umaskin umesababishwa na uvivu

7.Kuto jiamin ni chanzo mojawapo cha kumfanya mtu asifanikiwe kwa jambo lolote katika maisha.


Karibuni wakuu!
 
Namb 1 sio kwel na ni kweli tabia yao ya ubinafs imewafanya kuonekn ni watunzaji wazur
 
Back
Top Bottom