Ndugu
TODAYS;
Haiko hivyo. Na bahati mbaya na wewe huyafahamu mambo haya na hata hukuielewa hoja yangu..
Theoritically iko hivyo. Lakini practically Kwa mfumo wa utawala wa nchi yetu, yaani demokrasia ya uwakilishi (representative democracy) haifanyi kazi ingalau hata kwa 10% tu..!
Tanzania specific, yenye "Imperial presidential system" ndiyo tatizo zaidi, kwa sababu Rais ndiye kila kitu na kamwe hadhibitiwi na taasisi nyingine yoyote si bunge wala mahakama...!
Ukitaka kuthibitisha hili, muulize mbunge wa Mbulu Mh. Flatei Massay ambaye kwa miaka zaidi kumi anapiga kelele barabara fulani ya jimbo lake ijengwe lakini hakuna aliyemsikia..!
Why?
Bunge haliamui chochote. Lipo kinadharia. Na practically haliwezi kumfanya lolote Rais na wasaidizi wake unless ameamua yeye kuwa..!