Hoja kwa Gwajima: Barabara ya Tegeta Nyuki hadi Baobab Sekondari huisemei na utatudai kura 2025? Tukutane 2025 Mchungaji

Hoja kwa Gwajima: Barabara ya Tegeta Nyuki hadi Baobab Sekondari huisemei na utatudai kura 2025? Tukutane 2025 Mchungaji

Ndugu TODAYS;
Haiko hivyo. Na bahati mbaya na wewe huyafahamu mambo haya na hata hukuielewa hoja yangu..

Theoritically iko hivyo. Lakini practically Kwa mfumo wa utawala wa nchi yetu, yaani demokrasia ya uwakilishi (representative democracy) haifanyi kazi ingalau hata kwa 10% tu..!

Tanzania specific, yenye "Imperial presidential system" ndiyo tatizo zaidi, kwa sababu Rais ndiye kila kitu na kamwe hadhibitiwi na taasisi nyingine yoyote si bunge wala mahakama...!

Ukitaka kuthibitisha hili, muulize mbunge wa Mbulu Mh. Flatei Massay ambaye kwa miaka zaidi kumi anapiga kelele barabara fulani ya jimbo lake ijengwe lakini hakuna aliyemsikia..!

Why?

Bunge haliamui chochote. Lipo kinadharia. Na practically haliwezi kumfanya lolote Rais na wasaidizi wake unless ameamua yeye kuwa..!
All to all bado mwananchi hana nguvu ya kuamua hususani mwananchi huyu Mtanzania.
 
Mchungaji Gwajima hii barabara ni muhimu sana. Tumeshaisemea sana SISI WANANCHI WA jimbo la Kawe hasa tunaoishi huku Bunju.

Asubuhi inakuwa kero sana kufika mjini ila sasa wizara ya Ujenzi imeleta bajeti yake hatukuoni ukiitetea ili tupate double lane muendelezo wa iliyoishia njiapanda ya Tegeta Nyuki.

Mzee baba fanya uwaambie Wizara tunahitaji double lane hapa, tunaopanga kukupinga 2025 hii tutaitumia kama pointi ya kukuchallenge.

Act accordingly Mheshimiwa.
Yaani hela zote wamehamishia mbweni anakojenga mama na makamu, PM na cs na wengineo.
Hata barabsra iliyokua inajengwa ununio vs mbweni hadi club ya simba imesimama

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Mchungaji Gwajima hii barabara ni muhimu sana. Tumeshaisemea sana SISI WANANCHI WA jimbo la Kawe hasa tunaoishi huku Bunju.

Asubuhi inakuwa kero sana kufika mjini ila sasa wizara ya Ujenzi imeleta bajeti yake hatukuoni ukiitetea ili tupate double lane muendelezo wa iliyoishia njiapanda ya Tegeta Nyuki.

Mzee baba fanya uwaambie Wizara tunahitaji double lane hapa, tunaopanga kukupinga 2025 hii tutaitumia kama pointi ya kukuchallenge.

Act accordingly Mheshimiwa.
Hivi ile treni aliyo sema ataagiza pamoja na boat watu wa Kawe watumie zimesha fika Kawe?
 
Ilikuwa zamani huko unakokutaja walikuwa watu muhimu za kizazi cha kwanza. Kizazi cha viongozi wa nchi hii wengi hapa dar kwa sasa kimejenga Bunju, Mabwepande, Mbweni nk ukitaka kuelewa nenda kwenye eneo la makazi la Mbweni Oysterbay na Masaki hazioni ndani watu wamefumua vitu vikali na kuna paved streets saafi ila barabara kuu tatizo...Huku kuna Makatibu Wakuu, Wakuu wa Majeshi, Rais, Watoto wa Marais, Wabunge wengi, Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama, Makao ya vyombo vya ulinzi na usalama nk
Kwa ufupi sana Nchi ipo ukanda ule! Mbishi ni yule ambaye anapita tu Bagamoyo Road
 
Ilikuwa zamani huko unakokutaja walikuwa watu muhimu za kizazi cha kwanza. Kizazi cha viongozi wa nchi hii wengi hapa dar kwa sasa kimejenga Bunju, Mabwepande, Mbweni nk ukitaka kuelewa nenda kwenye eneo la makazi la Mbweni Oysterbay na Masaki hazioni ndani watu wamefumua vitu vikali na kuna paved streets saafi ila barabara kuu tatizo...Huku kuna Makatibu Wakuu, Wakuu wa Majeshi, Rais, Watoto wa Marais, Wabunge wengi, Wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama, Makao ya vyombo vya ulinzi na usalama nk
Kweli kabisa huko ni kama Beverly Hills.
 
Nadhank wakati wa Magufuli iliwahi kusikika kwamba barabara hii itapanuliwa kuwa njia nne.

Ni wakati sahihi tujaribu kuleta Contractor wanaoleweka kama Konoike, Strabag na wengineo hawa wachina wanatoa bahasha za kaki kwa wingi hawajengi kwa viwango njia ya bagamoyo ina mizigo mingi ya kati michanga,kokoto, cement na sasa imekuwa transit road ya kwenda Arusha.

Inashangaza na kustaajabisha mkandarasi wa kichovu anabandua rami halafu anaweka lami yenye laye hafifu kwa uzito unaobeba barabara hii haitadumu miaka 5.

Hebu wizara ya ujenzi nendeni Zambia au Rwanda maana kenya lami zao ni balaa haswa hii new Expressway ya kulipia lami kweli sio viraka vya kuweka na makoleo.

Gwajima mtumishi naona amepoa sana tunahitaji mihemuko kama ya Halima mdee sauti ya zege mjengoni. Hii mitaa korofi kama shopperz to makonde mbona.lami zinachelewa sana. Baobab to kibaha mkeka ulitakiwa uwe tayari. Hakika tutakumiss msukuma JPM. Wengine tuliota hata mitaa midogo ingepigwa lami sio anasa ni maendeleo
 
Wewe unataka isemewe au ijengwe?

Waambie wananchi wenzako mdai ujenzi wa barabara yenu moja kwa moja serikalini na siyo kuwahimiza wenzako kudai "maneno ya mbunge" kwa sbb yana little impacts ya mkitakacho.

Wapo viongozi wengi tu wa serikali tu ktk maeneo yenu mf. DC, MED, Meneja TARURA, Meneja TANROAD, Rais ama waziri ambao ndio watendaji na siyo watu wa maneno. Wadaini hao mtakacho na siyo mbunge.

Ni ujinga kudhani kuwa kelele tu za mbunge zinaweza kuwapeni barabara unless muwe hamjui serikali inafanya vipi kazi zake.

Mwisho, kumbuka kuwa, ni wajibu wa serikali kutoa huduma za kijamii ikiwemo barabara, elimu/shule, afya nk nk kwa wananchi wake wa kila eneo bila kujali eneo hilo lina mbunge au halina; AMESEMA au HAJASEMA ; lina diwani au halina; AMESEMA au HAJASEMA.
Yote uliyouliza ni majibu. Nataka ISEMEWE na IJENGWE. Period. Mwambie ndugu yako Gwajima tunajiandaa kumpiga knock-out moja ya millennium sababu ya hii Road. Hataacha kuona rangi zote asubiri
 
Kwani Gwajima alichaguliwa na wana Kawe au alipewa Ubunge na JPM. Sidhani kama anajali!
Whichever way and case it might be; sisi tunamsubiri tu kwenye kona. Time will tell. Naona kawa mbunge wa kitaifa!
 
Uliona wap Awamu hii wakijenga Barabara? Hawajajenga hata 1km, WANAKOPA Ili kujenga vyoo na madarasa ya shule, WANAKOPA kufidia ONGEZEKO la Bei za mafuta.

Mtapata mwakilishi mwingine muda ukifika, Huyo atapewa KAZI KUBWA zaidi ya hiyo Ili asimamie KAMPUNI yote. Amen
Day dreams hizi!
 
Katika kosa alilofanya mzee wa msoga ni kutotengeneza double road ya tegeta nyuki baobab. Yaani siku nyingine tuteue wanaokaa bunju au mbweni huyu anayekaa salasala hatufai kitu.
Naunga mkono hoja bora yule jamaa wa Mabwe awe Mbunge 2025 kuliko mfufuaji. Mfufuaji hajali kabisa.
 
Mchungaji Gwajima hii barabara ni muhimu sana. Tumeshaisemea sana SISI WANANCHI WA jimbo la Kawe hasa tunaoishi huku Bunju.

Asubuhi inakuwa kero sana kufika mjini ila sasa wizara ya Ujenzi imeleta bajeti yake hatukuoni ukiitetea ili tupate double lane muendelezo wa iliyoishia njiapanda ya Tegeta Nyuki.

Mzee baba fanya uwaambie Wizara tunahitaji double lane hapa, tunaopanga kukupinga 2025 hii tutaitumia kama pointi ya kukuchallenge.

Act accordingly Mheshimiwa.
Mzee baba Bunju ipi unakaa? Tusijeibiana michepuko bila shuruti...

Karibu Makuti baa siku moja tupige gambe
 
Watu potential una maana gani?

Watu potential ni wakulima na wafugaji ambao wala hawakai dar

Naomba tuendelee kuzalisha mali na tusiyumbishwe na hao wachuuzi wa hapo mzizima
Kwanini hao wakulima wawe potential na hawa anaowazungumza huyu jamaa wasiwe potential. Unaweza kufafanua zaidi!?
 
Back
Top Bottom