Hoja kwa Gwajima: Barabara ya Tegeta Nyuki hadi Baobab Sekondari huisemei na utatudai kura 2025? Tukutane 2025 Mchungaji

Hoja kwa Gwajima: Barabara ya Tegeta Nyuki hadi Baobab Sekondari huisemei na utatudai kura 2025? Tukutane 2025 Mchungaji

Rais akija kuanza ziara mkoa wa Dar hususa jimboni Kawe tutabeba Mabango yenye ujumbe kuwa migogoro ya ardhi Rais ingilia kati wewe mwenyewe wawakilishi/watendaji unaotwgemea wameshindwa kuleta ufumbuzi.

Na tutaomba Maiki tupaze sauti.

Hususa kule Magwepande Mbopo.
 
Nipo Bunju Beach huku tuna kijiwe kipya kinaitwa Java Point jirani na Moga shuleni cha ukweli sana very classic makuti huwa nakuwepo sana
Oh hapo nakujaga sana. Yawezekana tulishaonana basi tu mambo ya JF. Kuna wadau walitokea hapo mausiku ya hatari wakapata mzinga hapo njia panda ya Mianzini ... wakadedi watano.

Tangu siku hiyo sijakanyaga tena hapo
 
Oh hapo nakujaga sana. Yawezekana tulishaonana basi tu mambo ya JF. Kuna wadau walitokea hapo mausiku ya hatari wakapata mzinga hapo njia panda ya Mianzini ... wakadedi watano.

Tangu siku hiyo sijakanyaga tena hapo
Hapo mianzini junction ajali kawaida hasa usiku watu wanabutuana sana zikipigwa double road itakuwa rahisi kuweka traffic lights pale
 
Acha niendelee kuifunga akili yangu. Maana wewe mleta hoja umeona hoja yako ina maana ila mimi akili yangu imefungwa. Kwamba aliechapisha hii sledi ni crocodile not a human being. Tukutane mtoni.
Huwezi mjadala wa hoja wewe...

Hili unalithibitisha mwenyewe, kuwa, umeanzisha mjadala lakini cha ajabu unashindwa kukabiliana na hoja mbadala za wanajukwaa wenzako dhidi yako..!

I pity you..

Nikufundishe kitu kimoja.

Soma hoja za watu. Na ukiwa huna la kusema au kujibu, basi sema sentensi hii fupi;

"...Asante kwa mchango wako, I appreciate it..."

Asante, nakutakia kila la kheri unapojiaandaa kum - knock down 👎👎👎 Rev Josephat Gwajima ili wewe uwe mbunge wa Kawe kisha ujenge barabara inayokusumbua...!!
 
Huwezi mjadala wa hoja wewe...

Hili unalithibitisha mwenyewe, kuwa, umeanzisha mjadala lakini cha ajabu unashindwa kukabiliana na hoja mbadala za wanajukwaa wenzako dhidi yako..!

I pity you..

Nikufundishe kitu kimoja.

Soma hoja za watu. Na ukiwa huna la kusema au kujibu, basi sema sentensi hii fupi;

"...Asante kwa mchango wako, I appreciate it..."

Asante, nakutakia kila la kheri unapojiaandaa kum - knock down [emoji107][emoji107][emoji107] Rev Josephat Gwajima ili wewe uwe mbunge wa Kawe kisha ujenge barabara inayokusumbua...!!
Sawa we unaeweza endelea kujadili...sie wengine we talk less and act hugely
 
Uliona wap Awamu hii wakijenga Barabara? Hawajajenga hata 1km, WANAKOPA Ili kujenga vyoo na madarasa ya shule, WANAKOPA kufidia ONGEZEKO la Bei za mafuta.

Mtapata mwakilishi mwingine muda ukifika, Huyo atapewa KAZI KUBWA zaidi ya hiyo Ili asimamie KAMPUNI yote. Amen
Acha uwongo
 
Najua mtapambana sana kujaribu kumshusha kama mlivoanza, bt Mungu akiamua iwe hayupo mwanadamu wa kupinga.Ngoja tuandike kitabu kwanza ili Njia yake iwe smooth.

Msoga!!!! Watch and see.
Zama zimeisha hakuna ganda la ndizi sasa Sgang wepesi mnooo kaa nyoya
 
Sawa we unaeweza endelea kujadili...sie wengine we talk less and act hugely

In this forum we just talk through writings. One can not see any action...

However, your words is a mirror that shows who you're. Your words can easily define you to the public..

And I can boldly tell you that YOU ARE NOT A PERSON OF ACTIONS rather you're a gossiper and gallanter..!!
 
In this forum we just talk through writings. One can not see any action...

However, your words is a mirror that shows who you're. Your words can easily define you to the public..

And I can boldly tell you that YOU ARE NOT A PERSON OF ACTIONS rather you're a gossiper and gallanter..!!
Sharp minds talk less, emotional minds talk much with less output, I'm not in here to wrangle with illogical sentiments traded by emotionals who love non yielding athletic-like game of words . Mine and my team is action beyond much talking! We're enroute to oust your self-proclaimed pastor from politics he'd be go tame bwana's lambs than us who aren't easily hoodwinked by mere gimmicks
 
Hiyo barabara ina km ngapi mpaka uilete hapa aacha deko, muone diwani au mtendaji wa kata.
 
N'yadikwa you are fighting the wrong enemy..

Hebu acha kujadili mambo haya emotionally. Let argue kwa hoja na kuyatazama mambo ktk uhalisia na ukweli. Hebu acha kutumia mazoea kujadili mambo magumu yanayohitaji utumie akili yako sawasawa ktk kufikiri..

Nakuhakikishia jambo moja ndugu N'yadikwa..

Kwamba, kwa mfumo wa utawala wa nchi hii hata kama Rev. Josephat Gwajima amue leo kukupa wewe huo unaoitwa "ubunge" bure tu bila hata kupigiwa kura, barabara hiyo hutaijenga leo wala kesho hata kama utaongea bungeni huku ukiwa umevua nguo zako zote, uwe uchi..!

Kwa mfumo wetu wa utawala uliojisimika chini ya "imperial president" mnaweza kujengewa barabara hiyo hata ndani ya mwezi mmoja tu iwapo Rais mwenyewe ataamua hivyo kwa sharti moja tu...

Nalo ni kwa wewe mbunge kumjudia na kulamba miguu yake huyo mtu mwenye cheo cha "u-Rais" na uzini naye spiritually ili akupe utakacho...!

Likely hujanielewa. Ngoja nikupe mfano huu, labda akili yako itafunguka na kuanza kuelewa:

Kule mkoani Manyara kuna jimbo linaitwa Mbulu na mbunge wa sasa ni Flatei Massay wa CCM...

Huko kuna barabara moja very strategic kiuchumi na kiutalii. Inaanzia Karatu [Arusha] - Mbulu - Hydom [Manyara] - inapita Mkalama [Singida] - Meatu [Simiyu] na ina - connect eneo moja linaitwa Kolandoto [Shinyanga] kisha inaelekea Mwanza..

Kwa miaka zaidi ya 20 wabunge wa maeneo haya wamekuwa wakilia bungeni ili ijengwe kwa kiwango cha lami...

Na siku mbili au tatu zilizopita mbunge wa jimbo la Mbulu alizungumza bungeni mpaka akatoa machozi na kubinuka sarakasi ili kumuomba Rais aijenge barabara hiyo, lakini NO BODY CARES..!

Wakati huohuo, kuna maeneo hata yasiyo kipaumbele kabisa barabara zinajengwa, viwanja vya ndege vinajengwa tena bila hata mbunge/wabunge wa maeneo hayo kusema lolote bungeni. Reference ni Chato International Airport..

Why?

Ni kwa sababu kwa ilivyo sasa, practically ubunge hauna maana hiyo unayodhania wewe...

Ubunge ni ajira tu kama ajira nyingine. Na wewe kama unataka kum - knock out Gwajima kwa sbb hii, basi do it right away ili upate ajira hiyo na ukapate posho na marupurupu mengine, ule ushibe kisha usubiri kufa kesho...!

Lakini nakuhakikishia jambo moja, kuwa, kwa mfumo huu wa utawala ambao uko "centralized", pengine wewe ndiye unaweza kuwa mbunge HOPELESS na USIYE NA MAANA kuliko hata Rev. Josephat Gwajima au yule aliyepita Halima Mdee - CHADEMA..

Fungua akili yako. Elewa unataka nini. Kisha dai mfumo mpya wa utawala unaotoa mamlaka ya moja kwa moja kwa watu/wananchi ktk local communities zao i.e kitongoji, kijiji/mtaa, kata, wilaya, mkoa au jimbo kuamua wenyewe juu ya matumizi ya raslimali za maeneo yao kwa maendeleo yao. Hili linawezekana kwa sisi sote kukaa chini na kuamua na kisha ku - document maamuzi yetu kwenye document ya kisheria inayoitwa itwa KATIBA. Ndo kusema madai ya katiba mpya ya wananchi is an undisputed fact kwa sasa...!

But as it is for now, ni kujidanganya ndani ya nafsi yako kudhani kuwa, mbunge anaweza kuwatatulia changamoto za kimaendeleo katika maeneo yenu, kwa mfano eti awajengee barabara..!!
IMG-20220525-WA0099.jpg

Ya Mbulu mpaka Kolandoto ipo mbioni kùjengwa
 
Hata migogoro ya ardhi hana habari nayo , ndio kwanza kama vile anawatetea wavamizi wa maeneo ya watu.

Yani jamaa haeleweki.

Mimi nimuunga mkono sana wakati wa kampeni ya uchaguzi Mkuu ulopita,

Nilikuwa na matarajio naye makubwa sana ya kiutendaji na kusimamia haki,

Lakini naona imekuwa kinyume,

Nasikitika kuandika haya.

Gwajima unashindwa kuwasisitiza kina RC na DC Kinondoni kutafuta ufumbuzi wa migogoro ya ardhi ikaisha ibaki historia?

Rais alishawaambia shughikieni migogoro ya ardhi na kero nyingine lakini hali iko vile vile hakuna ufumbuzi wa wale walofanyiwa dhuruma na wahuni.

Wahuni ndio kwanza wanajimwambafai.

In this forum we just talk through writings. One can not see any action...

However, your words is a mirror that shows who you're. Your words can easily define you to the public..

And I can boldly tell you that YOU ARE NOT A PERSON OF ACTIONS rather you're a gossiper and gallanter..!!
Amen. I know who you are according to the way you write.
 
N'yadikwa you are fighting the wrong enemy..

Hebu acha kujadili mambo haya emotionally. Let argue kwa hoja na kuyatazama mambo ktk uhalisia na ukweli. Hebu acha kutumia mazoea kujadili mambo magumu yanayohitaji utumie akili yako sawasawa ktk kufikiri..

Nakuhakikishia jambo moja ndugu N'yadikwa..

Kwamba, kwa mfumo wa utawala wa nchi hii hata kama Rev. Josephat Gwajima amue leo kukupa wewe huo unaoitwa "ubunge" bure tu bila hata kupigiwa kura, barabara hiyo hutaijenga leo wala kesho hata kama utaongea bungeni huku ukiwa umevua nguo zako zote, uwe uchi..!

Kwa mfumo wetu wa utawala uliojisimika chini ya "imperial president" mnaweza kujengewa barabara hiyo hata ndani ya mwezi mmoja tu iwapo Rais mwenyewe ataamua hivyo kwa sharti moja tu...

Nalo ni kwa wewe mbunge kumjudia na kulamba miguu yake huyo mtu mwenye cheo cha "u-Rais" na uzini naye spiritually ili akupe utakacho...!

Likely hujanielewa. Ngoja nikupe mfano huu, labda akili yako itafunguka na kuanza kuelewa:

Kule mkoani Manyara kuna jimbo linaitwa Mbulu na mbunge wa sasa ni Flatei Massay wa CCM...

Huko kuna barabara moja very strategic kiuchumi na kiutalii. Inaanzia Karatu [Arusha] - Mbulu - Hydom [Manyara] - inapita Mkalama [Singida] - Meatu [Simiyu] na ina - connect eneo moja linaitwa Kolandoto [Shinyanga] kisha inaelekea Mwanza..

Kwa miaka zaidi ya 20 wabunge wa maeneo haya wamekuwa wakilia bungeni ili ijengwe kwa kiwango cha lami...

Na siku mbili au tatu zilizopita mbunge wa jimbo la Mbulu alizungumza bungeni mpaka akatoa machozi na kubinuka sarakasi ili kumuomba Rais aijenge barabara hiyo, lakini NO BODY CARES..!

Wakati huohuo, kuna maeneo hata yasiyo kipaumbele kabisa barabara zinajengwa, viwanja vya ndege vinajengwa tena bila hata mbunge/wabunge wa maeneo hayo kusema lolote bungeni. Reference ni Chato International Airport..

Why?

Ni kwa sababu kwa ilivyo sasa, practically ubunge hauna maana hiyo unayodhania wewe...

Ubunge ni ajira tu kama ajira nyingine. Na wewe kama unataka kum - knock out Gwajima kwa sbb hii, basi do it right away ili upate ajira hiyo na ukapate posho na marupurupu mengine, ule ushibe kisha usubiri kufa kesho...!

Lakini nakuhakikishia jambo moja, kuwa, kwa mfumo huu wa utawala ambao uko "centralized", pengine wewe ndiye unaweza kuwa mbunge HOPELESS na USIYE NA MAANA kuliko hata Rev. Josephat Gwajima au yule aliyepita Halima Mdee - CHADEMA..

Fungua akili yako. Elewa unataka nini. Kisha dai mfumo mpya wa utawala unaotoa mamlaka ya moja kwa moja kwa watu/wananchi ktk local communities zao i.e kitongoji, kijiji/mtaa, kata, wilaya, mkoa au jimbo kuamua wenyewe juu ya matumizi ya raslimali za maeneo yao kwa maendeleo yao. Hili linawezekana kwa sisi sote kukaa chini na kuamua na kisha ku - document maamuzi yetu kwenye document ya kisheria inayoitwa itwa KATIBA. Ndo kusema madai ya katiba mpya ya wananchi is an undisputed fact kwa sasa...!

But as it is for now, ni kujidanganya ndani ya nafsi yako kudhani kuwa, mbunge anaweza kuwatatulia changamoto za kimaendeleo katika maeneo yenu, kwa mfano eti awajengee barabara..!!
Unajisumbua, mtoa hoja amejinasibu kutumwa na msg gang Ili kumshusha gboy. Katiba mpya ni sasa. Amen
 
Back
Top Bottom