kunogasana
Member
- Nov 10, 2019
- 32
- 11
Kaka naifahamu vema kwani uchaguzi ni dharura si walijua kuwa kuna uchaguzi kwa nini hawakuungana mapema? Sheria haimkabi mtu acha ushabiki mandazi kakaTumeshamalizana na mkuu Ben. Tumeelewana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka naifahamu vema kwani uchaguzi ni dharura si walijua kuwa kuna uchaguzi kwa nini hawakuungana mapema? Sheria haimkabi mtu acha ushabiki mandazi kakaTumeshamalizana na mkuu Ben. Tumeelewana
Anza kwanza kujibu hoja halafu ndio ulete ramli zako chonganishiKwanini mgombea wa ccm hastahili kupewa tena kura zetu?
Sababu za kutompa kura zetu mgombea wa ccm ni hizi zifuatazo.
1. Mauaji ya raia wasio Na hatia,
2. Umeendesha nchi kikabila na kikanda,
3. Umeshiriki katika ufisadi wa kununua ndege nk kama sio kweli tupe mikataba ya ununuzi.
4. Umewatesa sana waliokukosoa mfano hai TUNDU LISU na MDUDE CHADEMA.
5. Kutoa ajira kwa kupendelea wanaccm wenzake.
6. Kuwavunjia nyumba wakazi wa mbezi kinyume na sheria za nchi.
7. Kuuza nyumba za serikali kiholela tena kwa watu ambao hawakuwa watumishi wa serikali wakati zinauzwa.
Ikiona mtimamu ameanza kujibu hoja kwa kuanza na tusi au dharau jua tayarUpumbavu ni kipaji.
Na CCM ya sasa upumbavu ni mtaji.
Wewe ni nani wa kuwasemea Watanzania kuwa mgombea wa Rebeca 83 sio chaguo sahihi la Watanzania?
Kwanini mgombea wa ccm hastahili kupewa tena kura zetu?
Sababu za kutompa kura zetu mgombea wa ccm ni hizi zifuatazo.
1. Mauaji ya raia wasio Na hatia,
2. Umeendesha nchi kikabila na kikanda,
3. Umeshiriki katika ufisadi wa kununua ndege nk kama sio kweli tupe mikataba ya ununuzi.
4. Umewatesa sana waliokukosoa mfano hai TUNDU LISU na MDUDE CHADEMA.
5. Kutoa ajira kwa kupendelea wanaccm wenzake.
6. Kuwavunjia nyumba wakazi wa mbezi kinyume na sheria za nchi.
7. Kuuza nyumba za serikali kiholela tena kwa watu ambao hawakuwa watumishi wa serikali wakati zinauzwa.
Wajengaji hoja wachache sanaIkiona mtimamu ameanza kujibu hoja kwa kuanza na tusi au dharau jua tayar
Umeona hiyo clip kuhusu bajeti ya ununuzi wa ndege na kile mgombea wako anakisema?Miaka mitano mmeshindwa kushughulikia hayo unayoita madudu,tuwaeleweje?Sasa unasema bado mnashughulikia madudu,mpaka lini?Shame!
Kipanga special, comment fupifupi pulizi
Tanzania ina miaka 59 tangu update uhuru wewe na akili yako timamu unaongelea siku moja tu ya maisha halisi?.Miaka mitano mmeshindwa kushughulikia hayo unayoita madudu,tuwaeleweje?Sasa unasema bado mnashughulikia madudu,mpaka lini?Shame!
Huna hoja!Tanzania ina miaka 59 tangu update uhuru wewe na akili yako timamu unaongelea siku moja tu ya maisha halisi?.
Kaka maisha halisi sio sawa na mchezo karata cha muhimu ni kutuliza akili.
Tarehe 28 October nenda kapige kura kama unaamini kuwa hoja zako zina mashiko kwa taifa hili.Huna hoja!
Asante mkuu. Hawa wenye mpango wa kutaka kuturudisha nyuma, tuwakatae kwa hoja. Kutaka Magufuli asiendelee ni uchawi wa kuwanga mchana kweupeeeAsante mkuu Msumari naona umeamua kuweka ushahidi jukwaani. Safi sana.
Asiendelee ili Lissu aende ikulu kuanza upyaa kabisa.Asante mkuu. Hawa wenye mpango wa kutaka kuturudisha nyuma, tuwakatae kwa hoja. Kutaka Magufuli asiendelee ni uchawi wa kuwanga mchana kweupeee
Magufuli atashinda Ila tuhakikishe anapata ushindi mkubwa Sana. Hiyo itakuwa ni salamu zetu watanzania kwa wote wapinga maendeleoAsiendelee ili Lissu aende ikulu kuanza upyaa kabisa.
Ili mlipa hela ambaye ni mzungu aweze kuchagua wimbo autakao akiwa kakunja nne.
Miaka zaidi ya 50 bado mnashughulikia zilizobakiMapungufu yapo
Mfano:
Baadhi ya wateule wa Rais Magufuli hawafanyi kazi zao ipasavyo kwa ubunifu, bidii na uaminifu. Hawa wanapoyumba, wanamyumbisha Rais.
Bado kuna mianya ya ukwepaji wa kodi. Pamoja na ongezeko la makusanyo, bado Kuna mianya ya ukwepaji wa kodi na kuzembea katika kukusanya. Aidha, Kuna muda baadhi ya watumishi wa TRA hawatendi haki na kuchafua kazi nzuri inayofanywa na ndugu Rais
Pamoja na kupungua sana, rushwa bado haijaisha nchini mwetu.
Bado kuna changamoto ya ajira kwa vijana ( hili nitaliandikia panapo uzima). Kuna sehemu vijana tunakosea. Hii sio ishu ya serikali peke yake.
Ndio maana nasisitiza, chagua Magufuli, chagua mbunge na diwani wa CCM ili tuendelee kushughulikia changamoto zilizobaki
"Ashimu Kama Ashimu"Miaka zaidi ya 50 bado mnashughulikia zilizobaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kwa mtutu siwezi chagua jiwe, bora nimpe Ashimu rungwe kama Lissu asingekuwepo
Kama kungekuwa hakuna vya kushughulikia basi serikali zisingekuwepoMiaka zaidi ya 50 bado mnashughulikia zilizobaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kwa mtutu siwezi chagua jiwe, bora nimpe Ashimu rungwe kama Lissu asingekuwepo
Mbona hujajibu hoja??Kupanga Ni kuchagua Rebeca.
Hoja gani?Mbona hujajibu hoja??
Swali lipi?JIbu swali