Uchaguzi 2020 Hoja tatu ni kwanini wapinzani hawatoshi kwenye Uchaguzi huu

Uchaguzi 2020 Hoja tatu ni kwanini wapinzani hawatoshi kwenye Uchaguzi huu

Kwanini mgombea wa ccm hastahili kupewa tena kura zetu?

Sababu za kutompa kura zetu mgombea wa ccm ni hizi zifuatazo.

1. Mauaji ya raia wasio Na hatia,

2. Umeendesha nchi kikabila na kikanda,

3. Umeshiriki katika ufisadi wa kununua ndege nk kama sio kweli tupe mikataba ya ununuzi.

4. Umewatesa sana waliokukosoa mfano hai TUNDU LISU na MDUDE CHADEMA.

5. Kutoa ajira kwa kupendelea wanaccm wenzake.

6. Kuwavunjia nyumba wakazi wa mbezi kinyume na sheria za nchi.

7. Kuuza nyumba za serikali kiholela tena kwa watu ambao hawakuwa watumishi wa serikali wakati zinauzwa.
Anza kwanza kujibu hoja halafu ndio ulete ramli zako chonganishi
 
Kwanini mgombea wa ccm hastahili kupewa tena kura zetu?

Sababu za kutompa kura zetu mgombea wa ccm ni hizi zifuatazo.

1. Mauaji ya raia wasio Na hatia,

2. Umeendesha nchi kikabila na kikanda,

3. Umeshiriki katika ufisadi wa kununua ndege nk kama sio kweli tupe mikataba ya ununuzi.

4. Umewatesa sana waliokukosoa mfano hai TUNDU LISU na MDUDE CHADEMA.

5. Kutoa ajira kwa kupendelea wanaccm wenzake.

6. Kuwavunjia nyumba wakazi wa mbezi kinyume na sheria za nchi.

7. Kuuza nyumba za serikali kiholela tena kwa watu ambao hawakuwa watumishi wa serikali wakati zinauzwa.
 
Miaka mitano mmeshindwa kushughulikia hayo unayoita madudu,tuwaeleweje?Sasa unasema bado mnashughulikia madudu,mpaka lini?Shame!
Umeona hiyo clip kuhusu bajeti ya ununuzi wa ndege na kile mgombea wako anakisema?
 
Miaka mitano mmeshindwa kushughulikia hayo unayoita madudu,tuwaeleweje?Sasa unasema bado mnashughulikia madudu,mpaka lini?Shame!
Tanzania ina miaka 59 tangu update uhuru wewe na akili yako timamu unaongelea siku moja tu ya maisha halisi?.

Kaka maisha halisi sio sawa na mchezo karata cha muhimu ni kutuliza akili.
 
Asante mkuu. Hawa wenye mpango wa kutaka kuturudisha nyuma, tuwakatae kwa hoja. Kutaka Magufuli asiendelee ni uchawi wa kuwanga mchana kweupeee
Asiendelee ili Lissu aende ikulu kuanza upyaa kabisa.

Ili mlipa hela ambaye ni mzungu aweze kuchagua wimbo autakao akiwa kakunja nne.
 
Asiendelee ili Lissu aende ikulu kuanza upyaa kabisa.

Ili mlipa hela ambaye ni mzungu aweze kuchagua wimbo autakao akiwa kakunja nne.
Magufuli atashinda Ila tuhakikishe anapata ushindi mkubwa Sana. Hiyo itakuwa ni salamu zetu watanzania kwa wote wapinga maendeleo
 
Mapungufu yapo

Mfano:

Baadhi ya wateule wa Rais Magufuli hawafanyi kazi zao ipasavyo kwa ubunifu, bidii na uaminifu. Hawa wanapoyumba, wanamyumbisha Rais.

Bado kuna mianya ya ukwepaji wa kodi. Pamoja na ongezeko la makusanyo, bado Kuna mianya ya ukwepaji wa kodi na kuzembea katika kukusanya. Aidha, Kuna muda baadhi ya watumishi wa TRA hawatendi haki na kuchafua kazi nzuri inayofanywa na ndugu Rais

Pamoja na kupungua sana, rushwa bado haijaisha nchini mwetu.

Bado kuna changamoto ya ajira kwa vijana ( hili nitaliandikia panapo uzima). Kuna sehemu vijana tunakosea. Hii sio ishu ya serikali peke yake.

Ndio maana nasisitiza, chagua Magufuli, chagua mbunge na diwani wa CCM ili tuendelee kushughulikia changamoto zilizobaki
Miaka zaidi ya 50 bado mnashughulikia zilizobaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kwa mtutu siwezi chagua jiwe, bora nimpe Ashimu rungwe kama Lissu asingekuwepo
 
Miaka zaidi ya 50 bado mnashughulikia zilizobaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kwa mtutu siwezi chagua jiwe, bora nimpe Ashimu rungwe kama Lissu asingekuwepo
"Ashimu Kama Ashimu"
 
Miaka zaidi ya 50 bado mnashughulikia zilizobaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata kwa mtutu siwezi chagua jiwe, bora nimpe Ashimu rungwe kama Lissu asingekuwepo
Kama kungekuwa hakuna vya kushughulikia basi serikali zisingekuwepo
 
Back
Top Bottom