Uchaguzi 2020 Hoja tatu ni kwanini wapinzani hawatoshi kwenye Uchaguzi huu

Uchaguzi 2020 Hoja tatu ni kwanini wapinzani hawatoshi kwenye Uchaguzi huu

Tumia lugha za kistaarabu pia dhibiti hasira yako unapokuwa kwenye mijadala ya JF.

Uwezo wa kukopa na kurejesha ni masuala ya muda tu.

Nchi inafunguka kwa ujumla wake na kadri miundo mbinu inavyosambaa ndivyo fursa
zinavyofunguka.

Ukitazama shida za maisha ya mijini unaweza kudhani maisha ni ya humu mijini tu kumbe Tanzania ni mpaka huko vijijini.
Basi ndio ujue katika awamu hii ni gumble kukopa fedha na kufanya biashara na kuwa na uwezo wa kurejesha,hiyo ndio tafsiri yake kwa maana ya mzunguko wa fedha kushuka sana!
Unasema pia fursa zipo vijijini,hizo firsa zimekuwepo tu miaka nenda rudi!Tatizo ni mazingira wezeshi!Kama sekta ya kilimo bajeti inaenda chini ya 40%,unategemea nini kwa wakulima huko vijijini?Hata wanapojitutumia kulima basi hata masoko ni tatizo!
Maeneo kama hayo ndio yalitakiwa yawekewe mkazo ili kuwagusa watanzania wengi!Lakini huyu mgombea kila anakopita ni flyover,ndege,umeme na madaraja!
No way,miaka 5 imetosha!
Bado suala la ajira ambalo ndio kilio kikubwa cha vijana kwa sasa!
Yaani nchi hii utafikiri mambo mengine yamesimama kupisha ujenzi!
 
Basi ndio ujue katika awamu hii ni gumble kukopa fedha na kufanya biashara na kuwa na uwezo wa kurejesha,hiyo ndio tafsiri yake kwa maana ya mzunguko wa fedha kushuka sana!
Unasema pia fursa zipo vijijini,hizo firsa zimekuwepo tu miaka nenda rudi!Tatizo ni mazingira wezeshi!Kama sekta ya kilimo bajeti inaenda chini ya 40%,unategemea nini kwa wakulima huko vijijini?Hata wanapojitutumia kulima basi hata masoko ni tatizo!
Maeneo kama hayo ndio yalitakiwa yawekewe mkazo ili kuwagusa watanzania wengi!Lakini huyu mgombea kila anakopita ni flyover,ndege,umeme na madaraja!
No way,miaka 5 imetosha!
Bado suala la ajira ambalo ndio kilio kikubwa cha vijana kwa sasa!
Yaani nchi hii utafikiri mambo mengine yamesimama kupisha ujenzi!
Utaelewa taratibu. Kama Prof Kitila, Nassari, Lijualikali, Mama Mghwira, Patrobas na wengine wengi wameelewa, basi ni jambo la wakati tuu
 
He is, Kilimo,Afya,Elimu...kasome tena ilani yao...he has got vision, has got pragmatic approach to our problems,Magufuli hana vision,na matatizo yetu watanzania yale common hayajui, A+B might be C but how do you derive C??,one will use this approach and other will use another method,which is more quick and efficient. Mimi sio kwamba simpendi Magu ila hizo ndege zinatosha yaani alivyosema ataongeza mi ndege yake ambayo hamna tija zaidi ya pride yake,ndio nikaona huyu si mwenzetu.....yaani watanzania wateseke tena miaka mitano TENA,kisa mkuu wa CHATO ananunua ndege nyingine...Kwa kweli hapana!!!...na aache kuita wenzake mafisadi...wakati yeye hatuelewi ile Trillion 1.5 sijui kaiminyia wapi?
Kupanga Ni kuchagua Rebeca.
 
Basi ndio ujue katika awamu hii ni gumble kukopa fedha na kufanya biashara na kuwa na uwezo wa kurejesha,hiyo ndio tafsiri yake kwa maana ya mzunguko wa fedha kushuka sana!
Unasema pia fursa zipo vijijini,hizo firsa zimekuwepo tu miaka nenda rudi!Tatizo ni mazingira wezeshi!Kama sekta ya kilimo bajeti inaenda chini ya 40%,unategemea nini kwa wakulima huko vijijini?Hata wanapojitutumia kulima basi hata masoko ni tatizo!
Maeneo kama hayo ndio yalitakiwa yawekewe mkazo ili kuwagusa watanzania wengi!Lakini huyu mgombea kila anakopita ni flyover,ndege,umeme na madaraja!
No way,miaka 5 imetosha!
Bado suala la ajira ambalo ndio kilio kikubwa cha vijana kwa sasa!
Yaani nchi hii utafikiri mambo mengine yamesimama kupisha ujenzi!
Hawa madiwani wanaoombewa kura kazi yao
Ni kuwa karibu na kero za wananchi.

Sekta nyingine zinaendelea kama kawaida lakini ujenzi ni muhimu sana kwani unazo fursa nyingi siku zijazo.
 
Hawa madiwani wanaoombewa kura kazi yao
Ni kuwa karibu na kero za wananchi.

Sekta nyingine zinaendelea kama kawaida lakini ujenzi ni muhimu sana kwani unazo fursa nyingi siku zijazo.
Unajua mchakato wa bajeti unaanzia wapi?Basi kama hujui unaanzia kwenye ngazi ya chini kabisa na ndio kwa hao madiwani unaowataja!Mchakato unaenda kumalizikia bungeni ambapo bunge hupitisha bajeti husika!Sasa kama kilimo ambacho ndio kinawagusa wananchi wengi kinapata chini ya 40%,unategemea nini?
Kupanga ni kuchagua!Hiyo miradi hata ikija kuwa na tija lakini kama tungeenda taratibu na kuweka nguvu pia kwenye mambo kama kilimo,uvuvi,ufugaji,elimu,afya na uwezeshaji ingekuwa na tija zaidi kwa watanzania!
Ndio maana nasema Ethiopia wana miradi hiyo yote mikubwa tuliyonayo ila wananchi wake asilimia kubwa ni mafukara na kutwa wanakimbia nchi yao!
Kupanga ni kuchagua!
 
Utaelewa taratibu. Kama Prof Kitila, Nassari, Lijualikali, Mama Mghwira, Patrobas na wengine wengi wameelewa, basi ni jambo la wakati tuu
Kwa akili zenu watu kujiunga na CCM ndio kuelewa?Hao ni watafuta fursa za matumbo yao!Wala sishangai hata wewe yawezekana una njaa na unauza utu wako kujaza hilo tumbo!
Msigwa aliwahi kusema kuna maprofesa wakisimama bungeni akili zao ni kama za darasa za pili maana huwa wanaziweka mfukoni na kubaki mabox kichwani!
Hata Nape,Makamba wote wawili,Kinana wanaamini JPM ni mshamba na aliyechanganyikiwa!Ila kwasababu ya matumbo yao wamekubali kuchutama!Akisemacho mwanasiasa akiwa chumbani hicho ndio cha kweli!
Kwangu mimi JPM hapana,namuona kama kiongozi aliye desperate!So kura yangu siwezi kumpa,kamwe!
 
Unajua mchakato wa bajeti unaanzia wapi?Basi kama hujui unaanzia kwenye ngazi ya chini kabisa na ndio kwa hao madiwani unaowataja!Mchakato unaenda kumalizikia bungeni ambapo bunge hupitisha bajeti husika!Sasa kama kilimo ambacho ndio kinawagusa wananchi wengi kinapata chini ya 40%,unategemea nini?
Kupanga ni kuchagua!Hiyo miradi hata ikija kuwa na tija lakini kama tungeenda taratibu na kuweka nguvu pia kwenye mambo kama kilimo,uvuvi,ufugaji,elimu,afya na uwezeshaji ingekuwa na tija zaidi kwa watanzania!
Ndio maana nasema Ethiopia wana miradi hiyo yote mikubwa tuliyonayo ila wananchi wake asilimia kubwa ni mafukara na kutwa wanakimbia nchi yao!
Kupanga ni kuchagua!
Taratibu tutafika mkuu. Hatuwezi tukawa vizuri katika kila sekta kwa wakati mmoja.

Rome was not built in a day, lazima tuvumilie ukuaji wa taratibu wa baadhi ya sekta za kiuchumi.
 
Kwa akili zenu watu kujiunga na CCM ndio kuelewa?Hao ni watafuta fursa za matumbo yao!Wala sishangai hata wewe yawezekana una njaa na unauza utu wako kujaza hilo tumbo!
Msigwa aliwahi kusema kuna maprofesa wakisimama bungeni akili zao ni kama za darasa za pili maana huwa wanaziweka mfukoni na kubaki mabox kichwani!
Hata Nape,Makamba wote wawili,Kinana wanaamini JPM ni mshamba na aliyechanganyikiwa!Ila kwasababu ya matumbo yao wamekubali kuchutama!Akisemacho mwanasiasa akiwa chumbani hicho ndio cha kweli!
Kwangu mimi JPM hapana,namuona kama kiongozi aliye desperate!So kura yangu siwezi kumpa,kamwe!

Hao ambao hawapo desperate na wao walikutana na lawama kutoka kwa wenye mitazamo tofauti na wa kwako.

Ndio uhalisia wa mambo ulivyo,kazi ya urais ni ngumu sana kwa nchi hizi za Afrika.
 
Taratibu tutafika mkuu. Hatuwezi tukawa vizuri katika kila sekta kwa wakati mmoja.

Rome was not built in a day, lazima tuvumilie ukuaji wa taratibu wa baadhi ya sekta za kiuchumi.
Naona umeanza kuongea kitu nilichokuwa nasema ila hujajielewa tu!
Msemo huo Roma ulipaswa umgeukie JPM mwenyewe!Kuendea miradi inayochukua fedha nyingi kwa pupa ndio kunafanya sekta kama ya kilimo inayobeba maisha ya watanzania wengi kuzorota!
 
Upumbavu ni kipaji.
Haiwezekani kupata maziwa lita 10 asuhuhi na lita 10 jioni kwa ng'ombe unayempa maji tu kama chakula.
 
Hela za tetemeko Bukoba na viwanda elfu 8 mkivionyesha basi njia ya kwenda ikulu ninyeupe.
 
Mods tafadhalini,naomba mtuondoee huu upuuzi wa kujinukuu kwa hoja zisizolingana na uzi husika.
 
Huwa najiuliza kati ya majimbo yanayoongozwa na CCM VS upinzani ni majimbo yapi yana watu fukara?
hiyo ni 50 kwa 50 bro hakuna kiongozi atakaye kuondolea umaskini wako isipokuwa wewe mwenyewe, cha msingi rudi kwenye hoja ya kwa nini CHADEMA isiendeleee kusugua bechi had mwaka 2050
 
Ben rafiki yangu, uko nje ya mada. Hukustahili heshima ya kujibiwa, ila nitakujibu.

Mapingamizi yapo kwa mujibu wa sheria. Vyama vyote vinayo haki ya kumwekea mgombea mwingine pingamuzi.

Kwa mfano: pamoja na mambo mengine, sheria inamtaka mgombea aweke picha kwenye fomu zake. Inapotokea mgombea hakuweka na mgombea mwingine akamuwekea pingamizi (kumbuka wagombea wanaruhusiwa kukagua fomu za wagombea wengine). Mgombea asiyeambatanisha picha akienguliwa Kuna uonevu?

Wewe zingatia sababu za kuenguliwa. Baadhi ya wagombea wenu wanakosa umakini kwenye ujazaji was fomu na mchakato mzima wa Uchaguzi
Narudia tena kusema,upumbavu ni kipaji.
Hoja yako ya tatu umeandika kuwa ni wapinzani kushindwa kuungana.
Mkuu Benny Haraba hapo juu kakuuliza unajua sheria ya vyama vya siasa inasemaje kuhusu vyama kuungana,wewe unasema nnje ya hoja.
Kama huwezi kukumbuka kitu ulichokiandika mwenyewe muda mfupi uliopita,kuna jina zuri zaidi ya kukuita zaidi ya mpumb.v.?
 
Back
Top Bottom