Hoja: Tuna Imani na Ali Kamwe kuliko Haji Manara kwa Nafasi ya Msemaji wa Klabu ya Yanga SC

Hoja: Tuna Imani na Ali Kamwe kuliko Haji Manara kwa Nafasi ya Msemaji wa Klabu ya Yanga SC

Bila hata ya mabomu Manara hafai, mdomo hauna breki na anapenda sana kujiinuwa wakati Mungu ndio anainuwa watu.

Yeye si anajiita mtoto wa mjini akagombee udiwani Kariakoo, Yanga hatumtaki.
Udiwani wa Kariakoo si ndiyo ulimponza hadi mzee Tozi akapita naye mazima.
 
Yanga ni Kama NYAMA ya TEMBO hauwezi ukaila MTU mmoja ukaimaliza .

So Mwacheni Manala ajipatie riziki yake kupitia mdomo wake .

Mambo mengine ni ROHO za kimasikini ndo zinafanya mchukie watu bila sababu.
 
Mbona mashabiki wa Simba mnahaha sana kuhusu kurudi kwa Haji Manara Yanga?
Mimi ni shabiki wa Yanga.

Kama kila shabiki na Mwanachama anàtaka kupata maslahi kwenye club hatufika.

Na Kama ni lazima Manara Simba lialia chawa na mpiga domo anakula Yanga Basi mzee Magoma naye apewe.
 

Attachments

  • Wanasimba wooote mnaopambana kwenye timu nyingine huko jukwaa lenu la siri tumewaandalia SIMBA...mp4
    1.8 MB
Yanga ni Kama NYAMA ya TEMBO hauwezi ukaila MTU mmoja ukaimaliza .

So Mwacheni Manala ajipatie riziki yake kupitia mdomo wake .

Mambo mengine ni ROHO za kimasikini ndo zinafanya mchukie watu bila sababu.
Anaweza kuwa anapata nafasi Kama wanavyopata kina Kitenge na Zembwela.

Watu wanalipia furaha tu kwa kununua jezi, kulipa ada na kupambania timu.

Malipo yao ni furaha na burudani. Sasa Manara Simba na mpiga domo chawa, why atake zaidi??
 
Anaweza kuwa anapata nafasi Kama wanavyopata kina Kitenge na Zembwela.

Watu wanalipia furaha tu kwa kununua jezi, kulipa ada na kupambania timu.

Malipo yao ni furaha na burudani. Sasa Manara Simba na mpiga domo chawa, why atake zaidi??


Ndo maana nikasema roho za kimasikini ni mbaya Sana .

Ukiwa na roho za kimasikini unakuwa hautaki MTU apate riziki

Mfano Manara akiwa yanga nyie mashabiki mnapungukiwa nini

That is evil spirit .
 
Ndo maana nikasema roho za kimasikini ni mbaya Sana .

Ukiwa na roho za kimasikini unakuwa hautaki MTU apate riziki

Mfano Manara akiwa yanga nyie mashabiki mnapungukiwa nini

That is evil spirit .
Timu inapata hasara. Lazima ibane matumizi, na sehemu sahihi ya kubana matumizi ni kwenye STAFF.

Mwaka huu mikataba ya kina PACOME, MAXI, MUDATHIR, YAO KUOASSI, inaisha.

Kubakiza wachezaji Kama hao inahitaji MZIGO tena siyo wa KITOTO.

Hivyo kumpa mtu ajira kwa kumfurahisha tu ni upumbavu na ujuha
 
Timu inapata hasara. Lazima ibane matumizi, na sehemu sahihi ya kubana matumizi ni kwenye STAFF.

Mwaka huu mikataba ya kina PACOME, MAXI, MUDATHIR, YAO KUOASSI, inaisha.

Kubakiza wachezaji Kama hao inahitaji MZIGO tena siyo wa KITOTO.

Hivyo kumpa mtu ajira kwa kumfurahisha tu ni upumbavu na ujuha



Gsm ambaye anatoa pesa hajalamika je wewe unayenunua jezi na uanachama kwanini ulalamike.


Ndo maana nimekuambia mambo ya riziki ya MTU usiyaingilie wala kuumia hiyo inaweza kuwa roho ya kimasikini ya kuona MTU Fulani anapata zaidi yako.
 
Gsm ambaye anatoa pesa hajalamika je wewe unayenunua jezi na uanachama kwanini ulalamike.


Ndo maana nimekuambia mambo ya riziki ya MTU usiyaingilie wala kuumia hiyo inaweza kuwa roho ya kimasikini ya kuona MTU Fulani anapata zaidi yako.
Huwezi kupuuza mashabiki na wanachama. Hata huyo GSM anajua maana ya Yanga ndio hatoi pesa kwa LIPULI.

Hapa nazungumzia Yanga na siyo GSM.

Na GSM ana makampuni mengi na alishampa ubalozi. GSM yupo Yanga Kama alivyokuwa Manji.

Watu wanatoa elfu 29 zao kila mwaka, lazima wazungumzie.

Kama unaona lazima apewe riziki mpe ya kwako.
 
Huwezi kupuuza mashabiki na wanachama. Hata huyo GSM anajua maana ya Yanga ndio hatoi pesa kwa LIPULI.

Hapa nazungumzia Yanga na siyo GSM.

Na GSM ana makampuni mengi na alishampa ubalozi. GSM yupo Yanga Kama alivyokuwa Manji.

Watu wanatoa elfu 29 zao kila mwaka, lazima wazungumzie.

Kama unaona lazima apewe riziki mpe ya kwako.



Kuna watu wapo blessed wamebarikiwa tayari ikiwemo huyo manara

Nikiangalia mnacholalamika hakipo zaidi ya CHUKI.

Hizo Jezi mnazonunua ndo zinaendesha timu msimu mzima?

Muacheni kijana ale Maisha Mungu ameshambariki.

Kulalamika ni waste of time .

Hizi tabia za kuchukia watu msipoziacha mtapata kihoro bure

Kijana anaji-brand anacheza na mdomo wake why umchukie na kutotaka apate RIZIKI.
 
Kuna watu wapo blessed wamebarikiwa tayari ikiwemo huyo manara
Wewe kweli ni kiazi. Wanaobarikiwa hawaishi kwa uchawa.

Pambania uchawa na wewe utaishia kuja kufirwa tu.
Nikiangalia mnacholalamika hakipo zaidi ya CHUKI.
Kisichokuwepo ni nini?

Eleweka, maana hueleweki.
Hizo Jezi mnazonunua ndo zinaendesha timu msimu mzima?
Anayeuza ndio anajua. Kama.hazina umuhimu aache hajashikiwa mtutu. Stupid.

Kwahiyo, Manara ndio anaendesha timu??
Muacheni kijana ale Maisha Mungu ameshambariki.

Kulalamika ni waste of time .

Hizi tabia za kuchukia watu msipoziacha mtapata kihoro bure

Kijana anaji-brand anacheza na mdomo wake why umchukie na kutotaka apate RIZIKI.
Na wewe binuka Basi uache tundu wazi ubarikiwe
 
Wewe kweli ni kiazi. Wanaobarikiwa hawaishi kwa uchawa.

Pambania uchawa na wewe utaishia kuja kufirwa tu.

Kisichokuwepo ni nini?

Eleweka, maana hueleweki.

Anayeuza ndio anajua. Kama.hazina umuhimu aache hajashikiwa mtutu. Stupid.

Kwahiyo, Manara ndio anaendesha timu??

Na wewe binuka Basi uache tundu wazi ubarikiwe


😁😁😁
 
Back
Top Bottom