Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 983
- 2,306
Anasema " IF HEAVEN WAS REAL, WE COULDN'T HAVE TOLD AFRICANS ABOUT IT. WE WOULD BE GOING THERE SECRETLY"
How does it make sense? Ngozi nyeupe ni wabinafsi na hawatupendi wa Afrika. Wasingeweza kutufahamisha kuhusu kitu kizuri kama Mbingu kama kweli kingekuwa cha ukweli..
Mifano hai: Freemasons/illuminati inasemekana ni dini yenye nguvu sana na ndio inayo tawala dunia kwa sababu wana siri zote za ulimwengu huu... Dini yao ni siri ndio maana wanaitwa Secret society.
How does it make sense? Ngozi nyeupe ni wabinafsi na hawatupendi wa Afrika. Wasingeweza kutufahamisha kuhusu kitu kizuri kama Mbingu kama kweli kingekuwa cha ukweli..
Mifano hai: Freemasons/illuminati inasemekana ni dini yenye nguvu sana na ndio inayo tawala dunia kwa sababu wana siri zote za ulimwengu huu... Dini yao ni siri ndio maana wanaitwa Secret society.