Hoja ya huyu jamaa kuhusu dini za weupe kwa waafrika inafikirisha sana

Hoja ya huyu jamaa kuhusu dini za weupe kwa waafrika inafikirisha sana

Kuna dini zingine, ukiua kafiri unaenda peponi.
Halafu Allah anakupa mabikra 72 peponi.
Mtu masikini, anakopa hela anaenda Macca kumponda jiwe shetani. Shetani unaweza kumponda jiwe?
Cha ajabu watu wanaamini
Kuna dini wamepewa ahadi ya kupata wake 100 ,wazazi 100 , watoto 100 kama watafuata kitabu...Halafu wanachanga pesa kwenda kwa wanaosapot ushoga
 
Unajua mkuu Mleta mada hebu jifunze kutofautisha tamaa za mwili na mambo ya rohoni.

Usije ukadhani BIBLIA TAKATIFU Iko tu hapa Kwa uwazi.

Ukweli ni kwamba kuna mamilioni ya watu waliuwawa, kifo Cha kikatili kabisa Kwa sababu walikataa kuukana uKristo na wengine waliuwawa wakikatazwa kusoma BIBLIA TAKATIFU, usijifariji mkuu, wao wameshaiua Ile hisi asili ya kukushtaki mwenyewe.

Ngoja nikupe mfano, mara Yako ya kwanza kabisa ikiwa ulifanya mapenzi bila utaratibu wa dini Yako moyo wako ulijiskiaje?

Sasa ukiendelea kuipuuza hiyo sauti ya ndani unaendelea kuikandamiza Kisha inakufa kabisa ndipo unakuta umefikia kiwango Cha uhayawani mpaka waweza Fanya mapenzi hadharani.

Kwani si Hadi miaka ya 1980 ikiwa sikosei Marekani waliutambua ushoga kama ugonjwa wa akili?

Miaka kadhaa mbele wanasemaje kuhusu jambo Hilo?

Mbingu ipo moto upo, Ninaamini ila Kwa kukazia niliwahi kuwa na mchawi karibu bila kumjua akawa ananambia, Kanisani utakuta ni mtu Mmoja au wawili tu katika Kanisa lote ndio Wacha Mungu wa kweli...

Ni hivi, wanajua wengi wataenda motoni, ndio sababu hawaangaiki, tofauti na zamani...
 
Kuna dini wamepewa ahadi ya kupata wake 100 ,wazazi 100 , watoto 100 kama watafuata kitabu...Halafu wanachanga pesa kwenda kwa wanaosapot ushoga
Hizi dini ni janga.
Angalia Sudan, waarabu wanaua waislamu weusi na wakristo kwasababu wanaharibu kizazi chao.
Makundi ya kigaidi ya kiislamu kila siku yanaanzishwa ila nashukuru wale wazee wa UAMSHO walifundishwa adabu hata kuchomwa kwa makanisa kulikoma.
Mtu anatoa milion 5 kwenda kumponda jiwe shetani. Huyo si ni tahira kabisa.
 
Mi nashangazwa na "ROHO MTAKATIFU" ambaye kila mtu anaongea naye na kupewa maono! 😂😂😂
 
Hizi dini ni janga.
Angalia Sudan, waarabu wanaua waislamu weusi na wakristo kwasababu wanaharibu kizazi chao.
Makundi ya kigaidi ya kiislamu kila siku yanaanzishwa ila nashukuru wale wazee wa UAMSHO walifundishwa adabu hata kuchomwa kwa makanisa kulikoma.
Mtu anatoa milion 5 kwenda kumponda jiwe shetani. Huyo si ni tahira kabisa.
😅😅Naona wagalatia wanaruhusu ushoga na kuongeza ushoga mpaka kukubali ndoa za jinsi moja na wanaobadili jinsia kupata ubatizo.

Yaani ile Amarican crusade war ili wasambaze ukristo huko America.

Wao ndio wafadhili wa makundi makubwa duniani ya ugaidi na kusapot mauaji wa watu kama ya kimbali na mengine hata vita vya dunia wanahusika.

Hao watu wanaojiita wakristo ndio wanadai kila kiumbe kiumbe kwa mfano wa Mungu mpaka mashoga ni mfano wa Mungu...Hao hao ni mashetani wakubwa kwa kuabudu mnyama na kusapot mauaji dunia nzima na ushoga.
 
Muombe aliyekuumba huko akupeleke. Cha msingi mueleze lengo lako la kutaka kwenda ukapaone huko ni lipi. Naamini kama ambavyo amekuwa akinisikia Mimi nawe atakusikia pia. Fanya hivyo ili kuepuka kupotoshwa na uongo wa dunia hii,hatimaye uishike kweli.
ooh sawa
 
Back
Top Bottom