Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuonaKuna njia mbili 1.Kusikia 2. Kuona. Je, unataka nikuthibitishie Kwa namna ipi kati ya hizo mbili?
Mimi uwezo wa kukuthibitishia kwa kuona sina ila yupo anayeweza kukupeleka ukapaone. Je,upo tayari?kuona
Simama na Injili. Achana na agenda zao chafu walizopenyeza kwenye jamii zetu kupitia Injili. Akili kichwani.Mimi naamini ule msemo ukitaka kumuuwa paka mpe kwanza jina baya
Kwenye mila zetu walitizama yale mabaya hawakutuambia tuache yale mabaya(tuchuje) ila walitaka mila ipigwe chini tushike dini wakatupata
Kwaiyo ata tukirudi tutaishi kwenye yale mazuri sijamaanisha tukaanze moja
Na kwa akili zako, umeamini hayo maneno kayasema jamaa kwenye picha?Anasema " IF HEAVEN WAS REAL, WE COULDN'T HAVE TOLD AFRICANS ABOUT IT. WE WOULD BE GOING THERE SECRETLY"
How does it make sense? Ngozi nyeupe ni wabinafsi na hawatupendi wa Afrika. Wasingeweza kutufahamisha kuhusu kitu kizuri kama Mbingu kama kweli kingekuwa cha ukweli..
Mifano hai: Freemasons/illuminati inasemekana ni dini yenye nguvu sana na ndio inayo tawala dunia kwa sababu wana siri zote za ulimwengu huu... Dini yao ni siri ndio maana wanaitwa Secret society.
SahihiDini zililetwa kuwapumbaza waafrika
ndioMimi uwezo wa kukuthibitishia kwa kuona sina ila yupo anayeweza kukupeleka ukapaone. Je,upo tayari?
Muombe aliyekuumba huko akupeleke. Cha msingi mueleze lengo lako la kutaka kwenda ukapaone huko ni lipi. Naamini kama ambavyo amekuwa akinisikia Mimi nawe atakusikia pia. Fanya hivyo ili kuepuka kupotoshwa na uongo wa dunia hii,hatimaye uishike kweli.ndio
Mbona kama bango limetengenezwa na kompyuta na si halisi?Anasema " IF HEAVEN WAS REAL, WE COULDN'T HAVE TOLD AFRICANS ABOUT IT. WE WOULD BE GOING THERE SECRETLY"
How does it make sense? Ngozi nyeupe ni wabinafsi na hawatupendi wa Afrika. Wasingeweza kutufahamisha kuhusu kitu kizuri kama Mbingu kama kweli kingekuwa cha ukweli..
Mifano hai: Freemasons/illuminati inasemekana ni dini yenye nguvu sana na ndio inayo tawala dunia kwa sababu wana siri zote za ulimwengu huu... Dini yao ni siri ndio maana wanaitwa Secret society.
Thibitisha uwepo wa mbingu na jehanamu.Vyovyote vile iwavyo Ukweli ni kwamba Mbingu na Jehanamu vyote vipo. Na namna ya kuthibitisha uwepo wake ipo pia.
Kusikia kuzimu Kwa Masikio yangu niliwahi kuisikia ila niliombewa kwanza . Ile kilio si cha nchi hii, ilikuwa asubuhi ya kama saa kumi na moja hivi.Kuna njia mbili 1.Kusikia 2. Kuona. Je, unataka nikuthibitishie Kwa namna ipi kati ya hizo mbili?
Kuna mwenzako nimempa mwongozo huko juu kama hautajali unaweza kuufuta pia kama kweli umekusudia kupata hizo clear evidences.Thibitisha uwepo wa mbingu na jehanamu.
Weka hapa clear evidences and proofs sio vifungu uchwara vya maandiko yenu ya kidini.
Mungu na Mbingu vina onekana?Kuna njia mbili 1.Kusikia 2. Kuona. Je, unataka nikuthibitishie Kwa namna ipi kati ya hizo mbili?
Ishu sio kuelezwa ishu ni upelekwe ukapaone kabisa ili uepukane na hear-say. Rejea post yangu namba 30Mungu na Mbingu vina onekana?
Kama wana onekana, Eleza muonekano wao.
Nani aliyekudanganya kwamba Ukristo ni dini?Ujinga na umasikini nao unachangia,huwa nashangaa kuona mtu mzima kabisa ameseoma halafu anaendekeza mambo ya dini za kiislam na kikristo.
Kuna dini zingine, ukiua kafiri unaenda peponi.Watu wanamalizana kila siku na kufanya mambo ya hovyo kama ushoga tena kwa kuhalalisha ,temana nao.
Fanya mema dunia inahitaji huruma kwa sana na matendo mema .
Waliutumia vibaya Ukristo ili kupenyeza agenda zao chafu. Lakini Ukristo ndio njia ya Uzima wa Kila autakaye Uzima.Dini zililetwa kuwapumbaza waafrika