comte soma hapo👆👆Suala la COVID-19 ni uhalifu wa kidola. Dola yote imehusika na aliyelifikisha kwenye mkwamo huu ni kibwengo jiwe.
- Mahakama ( Hanje kutolewa jela mkuku mkuku kwenda kuapishwa )
- Serikali ( NEC kwa kushirikiana na ikulu kufeki majina na kuyapeleka bungeni kwa Ndugai )...
Bunge tofauti na jela wewe chadema :Kwahiyo ukifungwa jela, halafu ukakata rufaa mahakamani kuhusu hukumu yako.
Kabla rufaa yako haijasikilizwa, hukumu yako inafutwa na unakuwa free?
Liitishwe tu baraza kuu!Kwanza kitendo tu cha kukata rufaa kisheria tayari unakuwa unakubaliana uwepo wa shauri husika
Inategemea uko nchi gani!Hivi mfungwa akikata rufa snatolewa jela hadi rufaa yaje ipite au anakuwa jela hadi hukumu?
Hivi Lisu amewahi kuichafua nchi? Magufuli siyo nchi. Ndiyo maana ameondoka, lakini Tanzania inasonga mbele, tena kwa ubora zaidi.lissu alikuwa anajifanya kuwa kila mtu anajuwa kuwa anaumwa kumbe akasahau kuwa taarifa ya maandishi lazima halafu akawa anadanganya bado anaumwa huku anaendelea kuzurura ulaya na kuichafua nchi huyo mhuni
Akijibu Mnyika NDIO imejibu CHADEMA. POLEMnyikia ni mhuni halafu hajui kuwa mbowe anajuwa ishu yote ndiyo maana kakaa kimya amebakiyeye na BAWACHA.
Umetoa hoja kipunguani. Hao wabunge waliteuliwa na nani? CHADEMA hawakuwateua.Hao chadema wako very very selfish Yani wew mwanaume unapigania mwanamke afukuzwe kazi yake kisa wew huna that's very foolishness and stupidity, Spika kawajibu kwa hoja sana sana huwezi tu kumfukuza kazi mtu hivi hivi bila a fair justice never..
Nadhani tutakwamia hapa until October 2025...Prove what? Wao walichosema ni kuwa hawajapeleka fomu au barua yeyote NEC ya kuwateua wakina Halima. Aliyetakiwa ku initiate hiyo investigation ni NEC na Spika kama watu ambao wamedanganywa...
Aida alishinda uchaguzi upi? ule ule haramu ila yeye ni sawa kuingia bungeni na si sawa kupeleka wabunge 19? Double standards mkuu na akina NEC/Bunge wanapita humohumo.Aida, kwa mujibu wa tume alishinda uchaguzi na amefata taratibu zote kuwa mbunge. Chadema walieleza wazi kuwa hawawezi kumzuia akitaka kuapa, na uki
HEBU taja mmoja tu aliyefukuzwa uanachama bila kujitetea.CCM huwezi kufukuzwa uanachama bila kujitetea.
Lakini Chadema wanatimuana tu ila Shibuda ndio walimshindwa!
Nani anawaogopa ? Labda Ndugai ambae yawezekana KUNA SIRI wanafichiana. Waliitwa Kamati kuu hawakutokeaMfano wa kijinga- itisheni baraza kesi iishe mnaogopa nini?
Rodrick Mabula na Halima Mdee!HEBU taja mmoja tu aliyefukuzwa uanachama bila kujitetea.
Hivi kinachowauna ni nini maana hamuwalipi mishahara na ubunge haumtaki au mnataka Mbowe ndiye ashike nafasi ya Mdee bungeniNani anawaogopa ? Labda Ndugai ambae yawezekana KUNA SIRI wanafichiana. Waliitwa Kamati kuu hawakutokea
Dah mkuu mbona hatuelewani jambo dogo sana, Aida anaweza kukataa ubunge yeye mwenyewe, chama kiliishia kwenye kumpitisha kuwa mgombea unless kuwe na allegations ambazo kwa mujibu wa katiba ya chama adhabu yake ni kuvuliwa uanachama.Aida alishinda uchaguzi upi? ule ule haramu ila yeye ni sawa kuingia bungeni na si sawa kupeleka wabunge 19? Double standards mkuu na akina NEC/Bunge wanapita humohumo.
Elimu unayo ikosa hapa ni ya kwa nini kuna rufaa????Spika wa bunge mh Job Ndugai hana tatizo na wabunge wa viti maalumu wa Chadema akina Halima Mdee na wenzake bali anachotaka ni utaratibu wa natural justice kufuatwa.
Kwa mujibu wa katiba ya Chadema Baraza kuu ndio lenye maamuzi ya mwisho ya kumvua mtu uanachama endapo hajaridhika na utaratibu wa awali.
Anachohoji Spika Ndugai ni kama wabunge hao akina Halima Mdee walipewa fursa ya kusikilizwa na kama ndio ameomba mihtasari ya vikao husika ili ajiridhishe na kuchukua maamuzi stahiki.
Ni vema JJ Mnyika akatoka na kuzijibu hoja za Spika Ndugai kwa mujibu wa katiba na siyo blah blah.
Mnyika aseme tu kwanini anasita kuitisha kikao cha baraza kuu ili kukata mzizi wa fitina?
Pia J J Mnyika aufahamishe Umma iwapo wabunge wote 19 hawakuridhika na maamuzi ya kamati kuu hivyo walikata rufaa au kuna baadhi waliridhika na maamuzi hayo kama alivyokiri mjumbe wa kamati kuu mh Jesca Kishoa.
Hili swala linatutia doa kama taifa ni vema likamalizwa sasa.
Tusisahau kufuatilia hotuba ya Rais Samia bungeni leo.
Kazi Iendelee!
Nadhani tutakwamia hapa until October 2025...