Hoja ya Spika Ndugai: Nitawafukuzaje wabunge ambao Rufaa zao hazijasikilizwa na Baraza kuu kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA?

Hoja ya Spika Ndugai: Nitawafukuzaje wabunge ambao Rufaa zao hazijasikilizwa na Baraza kuu kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA?

Suala la COVID-19 ni uhalifu wa kidola. Dola yote imehusika na aliyelifikisha kwenye mkwamo huu ni kibwengo jiwe.

  • Mahakama ( Hanje kutolewa jela mkuku mkuku kwenda kuapishwa )
  • Serikali ( NEC kwa kushirikiana na ikulu kufeki majina na kuyapeleka bungeni kwa Ndugai )...
comte soma hapo👆👆
 
Hivi mfungwa akikata rufa snatolewa jela hadi rufaa yaje ipite au anakuwa jela hadi hukumu?
 
Ndigai ni hopeless kabisa. Arudishwe tu hospitali

CHADEMA wanasema hawajawahi kuteua wabunge wa viti maalum, yeye anaongelea rufaa ya uwanachama. Hivi huyu spika kama anashindwa kujua hata hoja inayojadiliwa, kweli bado ana akili timamu?
 
lissu alikuwa anajifanya kuwa kila mtu anajuwa kuwa anaumwa kumbe akasahau kuwa taarifa ya maandishi lazima halafu akawa anadanganya bado anaumwa huku anaendelea kuzurura ulaya na kuichafua nchi huyo mhuni
Hivi Lisu amewahi kuichafua nchi? Magufuli siyo nchi. Ndiyo maana ameondoka, lakini Tanzania inasonga mbele, tena kwa ubora zaidi.
 
Hao chadema wako very very selfish Yani wew mwanaume unapigania mwanamke afukuzwe kazi yake kisa wew huna that's very foolishness and stupidity, Spika kawajibu kwa hoja sana sana huwezi tu kumfukuza kazi mtu hivi hivi bila a fair justice never..
Umetoa hoja kipunguani. Hao wabunge waliteuliwa na nani? CHADEMA hawakuwateua.

CCM wana uhuru wa kuwapa ubunge hao akina mama kama walivyofanya majimboni, lakini wasiwaite kuwa ni wabunge kupitia CHADEMA. WANAWEZA KUITWA, WABUNGE WA MAREHEMU MAGUFULI.
 
Prove what? Wao walichosema ni kuwa hawajapeleka fomu au barua yeyote NEC ya kuwateua wakina Halima. Aliyetakiwa ku initiate hiyo investigation ni NEC na Spika kama watu ambao wamedanganywa...
Nadhani tutakwamia hapa until October 2025...
 
Aida, kwa mujibu wa tume alishinda uchaguzi na amefata taratibu zote kuwa mbunge. Chadema walieleza wazi kuwa hawawezi kumzuia akitaka kuapa, na uki
Aida alishinda uchaguzi upi? ule ule haramu ila yeye ni sawa kuingia bungeni na si sawa kupeleka wabunge 19? Double standards mkuu na akina NEC/Bunge wanapita humohumo.
 
Nani anawaogopa ? Labda Ndugai ambae yawezekana KUNA SIRI wanafichiana. Waliitwa Kamati kuu hawakutokea
Hivi kinachowauna ni nini maana hamuwalipi mishahara na ubunge haumtaki au mnataka Mbowe ndiye ashike nafasi ya Mdee bungeni
 
Aida alishinda uchaguzi upi? ule ule haramu ila yeye ni sawa kuingia bungeni na si sawa kupeleka wabunge 19? Double standards mkuu na akina NEC/Bunge wanapita humohumo.
Dah mkuu mbona hatuelewani jambo dogo sana, Aida anaweza kukataa ubunge yeye mwenyewe, chama kiliishia kwenye kumpitisha kuwa mgombea unless kuwe na allegations ambazo kwa mujibu wa katiba ya chama adhabu yake ni kuvuliwa uanachama.

Sasa Chadema watamvua uanachama kwa hoja zipi? Huyu labda kwa next time wasimpitishe ndani ya chama kugombea ila umvue uanachama sababu ye kashinda/kashindishwa? Hapo CDM hawana cha kumfanya na ndio maana wamekaa kimya, in short wameamua kukubaliana kutokubaliana naye.
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai hana tatizo na wabunge wa viti maalumu wa Chadema akina Halima Mdee na wenzake bali anachotaka ni utaratibu wa natural justice kufuatwa.

Kwa mujibu wa katiba ya Chadema Baraza kuu ndio lenye maamuzi ya mwisho ya kumvua mtu uanachama endapo hajaridhika na utaratibu wa awali.

Anachohoji Spika Ndugai ni kama wabunge hao akina Halima Mdee walipewa fursa ya kusikilizwa na kama ndio ameomba mihtasari ya vikao husika ili ajiridhishe na kuchukua maamuzi stahiki.

Ni vema JJ Mnyika akatoka na kuzijibu hoja za Spika Ndugai kwa mujibu wa katiba na siyo blah blah.

Mnyika aseme tu kwanini anasita kuitisha kikao cha baraza kuu ili kukata mzizi wa fitina?

Pia J J Mnyika aufahamishe Umma iwapo wabunge wote 19 hawakuridhika na maamuzi ya kamati kuu hivyo walikata rufaa au kuna baadhi waliridhika na maamuzi hayo kama alivyokiri mjumbe wa kamati kuu mh Jesca Kishoa.

Hili swala linatutia doa kama taifa ni vema likamalizwa sasa.

Tusisahau kufuatilia hotuba ya Rais Samia bungeni leo.

Kazi Iendelee!
Elimu unayo ikosa hapa ni ya kwa nini kuna rufaa????
Ukikata rufaa ni kwamba umehukumiwa tayari lakini wewe ukubaliani na hukumu hiyo igawa unaitumikia hadi hapo tufaa itakaposikilizwa!!!!!!!!
Akina COVID - 19 walipokea hukumu yao ila hawakuridhika na wakakata rufaa.
Tumeshuhudia Ndugai akifukuza wabunge na kutamka kuwa kama hawajaridhika nenda ukakate rufaa huku akiwaweka nje hadi rufaa zao zitakapo sikilizwa.
That being said it is obvious Ndugai ana special agenda na COVD - 19 nothing else.
 
Nadhani tutakwamia hapa until October 2025...

Sidhani.
The situation is untenable and there has to be some movement. Serikali haitakubali kuonekana kama ina disregard Katiba kwa sababu ita impact uwezo wake wa kuvutia pesa nzito tunazohitaji za budget support na investment.
Ndio maana nasema mpira uko kwao. Spika ataambiwa alimalize tu. Kumbuka Rais ni Mwenyekiti wake na theoretically ana uwezo wakushawishi mwanachama yeyote kuvuliwa uanachama.

Amandla....
 
Back
Top Bottom