#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

#COVID19 Hoja za Askofu Gwajima wameshindwa kuzijibu

Askofu Gwajima alitoa hoja nzito na anaendelea kutoa hoja nzito.

Akina Kigwangala na wenzake wanakuja na hoja nyepesi. Wengine wanakuja na hoja za kitoto eti Gwajima afukuzwe oh! Auliwe. Ni upuuzi.

1. Hoja ya kwanza kwanini chanjo zingine hazina fomu ya kujaza. Lakini chanjo ya korona unajaza fomu!?

2. Serikali ilisema ni hiari, kwanini sasa wanalazimisha watu kuchanja!?

3. Ni effects zipi za muda mfupi na muda mrefu zitakazotokea baada ya kuchanjwa!?

4. Hizi chanjo hazizuii korona mpaka uchanje mara kibao.

MIMI NITASIMAMA NA GWAJIMA.
Mie waninyonge tu, ila sipigi chanjo

C.c luckyline
 
1. Nitajie chanjo gani tumewahi kuchajwa tunajazishwa fomu!?

2. Kwanini wataalam wa afya hawataki kutaja side effects za hiyo chanjo. Short term and Long Term

3. Corona siyo ugonjwa wa kutisha. Ulikuwepo miaka nenda rudi.

4. Vilevile hii chanjo haikingi korona. Hata ukichanjwa bado utaweza kuambukizwa. Je, kazi ya chanjo hii ni nini!?
Inawezekana chanjo za awali zilitolewa ki mazoea lakini kwa sasa hivi consent form ni lazima.

Kusema ukweli hata mimi ninashindwa kuelewa ni kwanini wafanyakazi wa Afya wanashindwa kueleza effects za chanjo hizi. Wao walitakiwa kufahamu hili kwani ndiyo watekelezaji wa zoezi.
 
Agombee tu Urais 2025
JamiiForums-1657112418.jpg
 
Hoja za kiswahili hizo anasoma kwenye viblog vya udaku.

Anatakiwa kwanza asome vizuri molecular biology aijue vizuri DNA na RNA jinsi zinavyoreplicate

Anatakiwa ajifunze vizuri amuelewe VIRUS na tabia zake na hinsi anavyoweza kutumia mwili wa host kuzsliana huku akulipua seli za host

Anatakiwa ajue chanjo zinazotengenezwa na MESSENGER RNA zinafanyaje kazi. Sio kila kitu kujifanya anajua wakati hajui na hawezi kujua tatizo kapata waumini mazezeta wanashangilia tu maujinga anayoongea
Mkuu usihamishe meza.

Maswali ya Gwajima yana hoja.

Kwa mfano,kwanini kuwe na fomu??
 
Hoja za kiswahili hizo anasoma kwenye viblog vya udaku.

Anatakiwa kwanza asome vizuri molecular biology aijue vizuri DNA na RNA jinsi zinavyoreplicate

Anatakiwa ajifunze vizuri amuelewe VIRUS na tabia zake na hinsi anavyoweza kutumia mwili wa host kuzsliana huku akulipua seli za host

Anatakiwa ajue chanjo zinazotengenezwa na MESSENGER RNA zinafanyaje kazi. Sio kila kitu kujifanya anajua wakati hajui na hawezi kujua tatizo kapata waumini mazezeta wanashangilia tu maujinga anayoongea
Muumini zezeta ni muumini wa namna gani?
 
Inawezekana chanjo za awali zilitolewa ki mazoea lakini kwa sasa hivi consent form ni lazima.

Kusema ukweli hata mimi ninashindwa kuelewa ni kwanini wafanyakazi wa Afya wanashindwa kueleza effects za chanjo hizi. Wao walitakiwa kufahamu hili kwani ndiyo watekelezaji wa zoezi.
Kama hawawezi kusema matatizo yanayotokana na chanjo tunaweza kuwaamini vipi!?

Kama unataka kuchanjwa kachanjwe mwenyewe.

Gwajima hoja zake hawataki kuzijibu.
 
Ninadhani Wizara ya Afya Ina jukumu la kulifanyia kazi hili tatizo.
Kuna mgawanyiko wa serikali. Issue siyo ndogo ni kubwa mno. Wizara ya Afya kuna mgawanyiko, serikali ipo na mgawanyiko. Jamii haitaki chanjo. Wachanje wao tutapata uongozi mwingine.
 
Muumini zezeta ni muumini wa namna gani?
Ni yule anayeamini kila uongo anaodanganywa na kiongozi wake wa dini na kufikiri ni revelation kutoka kwa Mungu hata kama muumini huyo ana uelewa wa kisayansi kuhusu jambo hilo anaweka rehani ubongo wake na kuamini uongo wa pastor wake
 
Wanaopinga siyo Gwajima tu, kuna wanasayansi kibao wanapinga na wanatoa hoja zao za kisayansi.
Hata hapa Tanzania kina Prof. Yunus Mgaya na wengine wengi tu walipinga na kutoa sababu zao. Sema sasa hivi ndiyo wamepiga tiktak.
mjizuie Kum-attack Gwajima, mjikite kwenye kujibu hoja zinazotolewa.
Huyo yunus mgaya katengeneza ipi mpaka apinge za watu au ndio yale ma juice walioamua kutumia short cut na kuungana na akina matunge kutulisha malimao na mapilipili na kuyaita COVIDOL?
 
Gene ni specific loci yenye DNA kwenye chromosome inayo code for a specific protein

mRNA is just as critical as DNA.​

Without mRNA, your genetic code would never get used by your body. Proteins would never get made. And your body wouldn’t – actually couldn’t – perform its functions. Messenger ribonucleuc acid, or mRNA for short, plays a vital role in human biology, specifically in a process known as protein synthesis. mRNA is a single-stranded molecule that carries genetic code from DNA in a cell’s nucleus to ribosomes, the cell’s protein-making machinery.
 

mRNA is just as critical as DNA.​

Without mRNA, your genetic code would never get used by your body. Proteins would never get made. And your body wouldn’t – actually couldn’t – perform its functions. Messenger ribonucleuc acid, or mRNA for short, plays a vital role in human biology, specifically in a process known as protein synthesis. mRNA is a single-stranded molecule that carries genetic code from DNA in a cell’s nucleus to ribosomes, the cell’s protein-making machinery.
Sasa boss iyo DNA ndio ina ipa mRNA information, tena RNA ziko zaidi ya ishirini mpaka hiyo protein itengenezwe. Na jua kwamba antibodies ambayo ndio kinga ya mwili zina tengenezwa na proteins.
 
Askofu Gwajima alitoa hoja nzito na anaendelea kutoa hoja nzito.

Akina Kigwangala na wenzake wanakuja na hoja nyepesi. Wengine wanakuja na hoja za kitoto eti Gwajima afukuzwe oh! Auliwe. Ni upuuzi.

1. Hoja ya kwanza kwanini chanjo zingine hazina fomu ya kujaza. Lakini chanjo ya korona unajaza fomu!?

2. Serikali ilisema ni hiari, kwanini sasa wanalazimisha watu kuchanja!?

3. Ni effects zipi za muda mfupi na muda mrefu zitakazotokea baada ya kuchanjwa!?

4. Hizi chanjo hazizuii korona mpaka uchanje mara kibao.

MIMI NITASIMAMA NA GWAJIMA.

Usisimame tu mkuu, ungekaa naye ingependeza zaidi.
 
Sasa boss iyo DNA ndio ina ipa mRNA information, tena RNA ziko zaidi ya ishirini mpaka hiyo protein itengenezwe. Na jua kwamba antibodies ambayo ndio kinga ya mwili zina tengenezwa na proteins.
Mzee nimekuuliza swali dogo tu. Kazi ya mRNA kwenye cell ni ipi!? Wewe unaniletea aina za RNA. Mzee sticky to the point. Hapa tunaongelea genes.
Maana yake hiyo mRNA inayotengenezwa na chanjo haitengenezwi na DNA it means is a false information inside the cell. Right!?
 
Hoja zinajibiwa kwa hoja.
Hapa tunataka kujua Effects za muda mrefu kuhusu hizo chanjo. Vilevile hiyo mRNA inatengeneza genes zipi mwilini!?
Huwezi kupredict effect za muda mrefu kwa chanjo mpya bali muda ukifika zitajionyesa ,hapa ndio tupo stage one ya majaribio,bado stage tatu .
 
Back
Top Bottom