Hoja za Utanganyika na Uzanzibari ni Hoja Muflis za Ujinga wa Ukosefu Elimu ya Uraia. Tuwatoe Ujinga Huu Kwa Elimu ya Uraia au Tuwaache na Ujinga Wao?

Ukiwa mwendawazimu au una matatizo ya akili itasimama na kutetea huu upumbavu unaoitwa muungano, uzuri tunakujua wewe ni chawa pro max uko kwenye juhudi za kupambania teuzi lakini ulipigwa kimavi kibaya Sana hata uimbe pambio kwa kiasi gani hutoboi
Asante
P
 
Kuna mbunge anasema yeye sio Mtanzania ila ni Mzanzibari wakati Tanzania imetokana na muungano wa nchi mbili Tanganyika na Jamuhuri ya watu wa Zanzibar huyo ni mmoja wa watu waliokosa elimu ya Uraia bunge limtake atengue kauli yake mara Moja.
 
OK, hebu tuanze mjadala na wewe
1. Federation kati ya nchi zipi?
2. Kwa mujibu wako Tanganyika imekuwa replaced na Tanzania Bara, tofauti ipo wapi ?
 
Elimu ipi !.
 
Elimu ipi !.
fuatilia kwa makini na kwa ukaribu sana, vipindi na makala mbalimbali katika vipindi tofauti, kulingana na ratiba, kadiri alivyoitoa mtoa hoja. Pascal Mayalla

utapata elimu na kuongeza uelewa na ufahamu juu ya mambo haya, na itakusaidia sana. ni hiayari sio lazima 🐒
 
OK, hebu tuanze mjadala na wewe
1. Federation kati ya nchi zipi?
2. Kwa mujibu wako Tanganyika imekuwa replaced na Tanzania Bara, tofauti ipo wapi ?
Mkuu Nguruvi3, unapoteza muda. Kwa bahati mbaya watu aina ya Pascal Mayalla wamejaaliwa kuwa na akili kubwa lakini zisizo za kawaida. Mtu kama huyu akiwa mwizi na akabahatika kuishi ndani ya taifa hili la wajinga ataiba hadi avimbiwe hadi kupasuka!

Wizi kama huu hujulikana kama wizi usio na staha. Yaani mtu anaanza kwa kuiba vya nje na ikiisha anaanza kufanya kufuru. Atawaibia ndugu zake, atawaibia wazazi wake, atamwibia mkewe, atawaibia watoto wake na mwisho ataanza kujiibia yeye mwenyewe.

Naam ndivyo walivyo na mimi binafsi nasita sana kuwa na mnakasha na watu wanaojiita wenye akili hizo huku wakitetea mambo ya kipuuzi na ya kijinga. Hizo si akili ni ugonjwa unaosababishwa na vitu vingi lakini viwili vikubwa ni tamaa na ulafi...tamaa na ulafi ni kama pete na kidole!
 

Unajua ndugu Pascal Mayalla mzee kama wewe ikifikia mahali mtu akakuita "mjinga" na Kitambakwiri" labda itakuwa ni kukukosea heshima na adabu...

Lakini inakuwaje kama wewe mwenyewe umejipa hiyo sifa ya UJINGA na UPUMBAVU?

Bila shaka atakeyeitikia na kukufukuzia kwa tabia yako hiyo hatakuwa amekuvunjia heshima yoyote..

Mpaka hatua hii, bila shaka yoyote ni kuwa WEWE Pascal Mayalla ndiye hasa uliye MJINGA na KITIMBAKWIRI unayestahili kuelimishwa na kufundishwa kusikiliza na kuelewa mawazo ya watu wengine..

Tunautaka muungano. Tunataka ushirikiano na watu au nchi zingine. Lakini muungano huo ni lazima uwe wenye usawa na kuheshimiana kwa pande zote zilizokubali kuunga/kushirikiana..

Huu Muungano wa nchi za Tanganyika na Zanzibar ni wa kihuni na ni wa kilaghai kutoka kwa watu ambao toka mwanzo hawakuwa na nia njema (pengine) au walikuwa na nia njema lakini nia njema hiyo ikatekelezwa ktk namna ya hovyo na matokeo yake ndiyo haya..

KWA HIYO: Sio UJINGA wala u - TIMBAKWIRI watu kuzisema kasoro hizi kwa malengo ya kurekebisha. Ujinga na u - timbakwiri ni kule kung'ang'ania kuishi ktk makosa au kasoro. Na huyo mtu ni wewe na wenzako wote huko CCM...

Swali ni moja tu: Mataweza kuwafanya Watanganyika kuishi ktk ujinga wenu hadi lini?

Hilo halikubaliki na ni LAZIMA TUCHUKUE HATUA KUREKEBISHA..[/QUOTE]
 
Mimi matumaini yangu ni kwamba hata tukiwa na raisi mtanganyika dai la kutaka marekebisho ya muundo wa muungano liendelee.

Nasema hivi kwa sababu tumekuwa tunabadili walalamikaji kutegemea nani mtawala.
 

Ningeongeza kwamba Paskali yeye hatoki sehemu ye yote katika nchi hii.
Nataka ajue ukiwa nje ya Tanzania kila mmoja anajitambulsiha Mtanzania; lakini ukiwa ndani ya Tanzania unajitambulisha unatoka wapi. Hiyo ni kawaida po pote duniani, mtu akiwa ndani ya Kenya anauliza unatokea wapi. Kwahiyo Zanzibar na Tanganyika inapaswa iwepo. Uko ndiko kujitambulisha vizuri. Wewe ndiyo mufilisi mkubwa kwa kuwa hujui utambulisho wako. CCM imetupumbaza kwa kuiua Tanganyika. Hii ni kosa kubwa sana kisheria na kiutamaduni/ kidesturi.
Hata ukiwa Dar unaulizwa unatoka wapi. Naomba serikali ielewe Tanganyika haitakufa kwa nguvu ya CCM.
 
Uhalali wa kuhoji ni haki yetu ya msingi, lakini kuna wanaccm waliojimilikisha nchi kuwa mali yao hawataki tukajadiliana wanataka tufuate wanachotaka wao.
 
Uhalali wa kuhoji ni haki yetu ya msingi, lakini kuna wanaccm waliojimilikisha nchi kuwa mali yao hawataki tukajadiliana wanataka tufuate wanachotaka wao.
Unafiki wetu ni kwamba kuhoji kunakuja kipindi cha rais muislam akiwa mkristo hakuna anayejisumbua kuhoji.

Kuna chembechembe za ubaguzi na chuki kwa wengi wa hawa wanaohoji.
 
Unafiki wetu ni kwamba kuhoji kunakuja kipindi cha rais muislam akiwa mkristo hakuna anayejisumbua kuhoji.

Kuna chembechembe za ubaguzi na chuki kwa wengi wa hawa wanaohoji.
Kwahiyo watu walihoji wakati wa Mwinyi, Kikwete na Samia! Weka ushahidi. Ni vyama gani vilivyo na wakiristu tu ambavyo ndivyo vinahoji!
 
ni watu wasio na akili tu au wanafiki, ndio wanaweza kuona muungano upo sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…