Hoja za Utanganyika na Uzanzibari ni Hoja Muflis za Ujinga wa Ukosefu Elimu ya Uraia. Tuwatoe Ujinga Huu Kwa Elimu ya Uraia au Tuwaache na Ujinga Wao?

Hoja za Utanganyika na Uzanzibari ni Hoja Muflis za Ujinga wa Ukosefu Elimu ya Uraia. Tuwatoe Ujinga Huu Kwa Elimu ya Uraia au Tuwaache na Ujinga Wao?

Huu ndio umuhimu wa elimu hii, muungano wetu adhimu ni very unique kwasababu kwa kimataifa ni muungano wa union ya nchi mbili kuungana na kuunda nchi moja ya JMT.
Hakuna elimu hapa, kuna ubabaishaji tu. Nitafafanua
Lakini kitaufa ni muungano wa federation ya nchi mbili, za JMT na Zanzibar. Federal state ni serikali ya JMT, local states ni SMZ na Serikali ya JMT kwa mambo yasiyo ya muungano. Serikali ya JMT imevaa koti la serikali ya Tanganyika kwa mambo yasiyo ya muungano at the same time ndio federal state ya serikali ya muungano kwa mambo ya muungano.
Federation ya JMT na Zanzibar, real! and you write with confidence ! Unajua maandiko yatasomwa miaka ijayo!
Kimataifa muungano wetu ni union ya nchi moja tuu ya JMT na Zanzibar kimataifa sio nchi, ni sehemu ya JMT lakini Kitaifa ni muungano wa federation ya nchi mbili, JMT na Zanzibar.
Mkuu una roho ngumu sana, unarudia tu
Huu ni muungano very unique duniani na hatuhitaji kufanana na muungano mwingine wowote, tungekuwa ni watu wazuri kwenye international promotion, marketing na branding, tunge i promoti Tanzania kwa kuifanyia branding ya union promotion watu dunia nzima wangemiminika Tanzania kuja kushuhudia muungano wa ajabu wa union on one side and federation on the other side, tunge make millions!.
Matatizo ya Muungano yalianza wakati wa Nyerere , akayaacha. Mwinyi kidogo yamuondoe, Mwl akazuia kiaina.
Huwezi kuniambia kwamba
Jaji Nyalali
Jaji Kisanga
Jaji Warioba
Mzee Shelukindo
Dr Salim
Mzee Butiku
Mzee Malecela

Wote hawa hawakuwa na akili ya kuona 'uniqueness' ya Muungano isipokuwa ni Pascal peke yake
Mkuu you're better than this, hakuna kitu kinaitwa Federation kati ya ''nchi mama na nchi washirika''

Ni kwasababu ya muundo uliopo matatizo hayaishi na sasa yamefikia pabaya sana
Huko CCM kunafukuta na wasipoangalia ipo siku tutaamka hatuna Muungano

Hivi unajua wenye muungano ni akina nani? Wameamka ndiyo maana husikii upande wa pili kwasababu wanajua kinachofuata, dude limeamka . Watanganyika wanataka Tanganyika yao , Wazanzibar wakitaka Muungano wataomba kwasababu Tanganyika has nothing to lose ! nothing
 
Hakuna elimu hapa, kuna ubabaishaji tu. Nitafafanua
Huu ni ukosefu wa shukrani! , ila mimi hata wakosefu wa shukrani ninawashukuru, na hata vitimbakwiri pia ninavishukuru kwasababu ndio motivation ya ututoaji wa elimu hii na leo ni jumatano ni siku ya elimu kwa umma kupitia gazeti la mwananchi na kipindi on channel Ten, japo wewe hausomi na huangalii, lakini wengine wanasoma na kipindi wanaangalia, hivyo kwangu kazi inaendelea
Federation ya JMT na Zanzibar, real! and you write with confidence ! Unajua maandiko yatasomwa miaka ijayo!
waliotunga miungano sio sisi ni wenzetu waliotangulia ndio wakatutungia miungano ama ya unions ama ya federations ,kwa hakuna muungano mwingine wa union na federation at
the same time, then hakuna jina rasmi la muungano wa aina yetu ,tulipaswa kubuni jina la muungano wa aina yetu na kuupa jina la “uniofedera” ambayo ni type mpya ya muungano duniani ambao ni union na federation at the same na kuwataja Nyerere na Karume kuwa ndio wagunduzi wa “uniofedera”
Mkuu una roho ngumu sana, unarudia tu
ni kweli sio tuu nina roho ngumu sana, mimi pia ni mgumu sana, ukisikia mtu ni mwandishi wa habari amedumu kwenye uandishi huu ni mwaka wa 34!, ujue mtu huyo ni mgumu, ana roho ngumu sana
Matatizo ya Muungano yalianza wakati wa Nyerere , akaayaacha. Mwinyi kidogo aondoke Mwl akazuia kiaina.
miungano yote duniani ina changamoto zake na “uniofedera” is no exception!。
Huwezi kuniambia kwamba
Jaji Nyalali
Jaji Kisanga
Jaji Warioba
Mzee Shelukindo
Dr Salimu
Mzee Butiku
Mzee Malecela

Wote hawa hawakuwa na akili ya kuona 'uniqueness' ya Muungano isipokuwa ni Pascal peke yake
binadamu tuko tofauti tofauti na tunauwezo tofauti wa uoni inawezekana wote hao hawana jicho hilo la kuona the uniqueness ya muungano wetu adimu na adhimu. Kuna vitu vingi tuu waliowengi hawakuviona lakini mimi jicho langu likaona na nikaleta humu, mfano mzuri ni ujio wa Magufuli, ni mimi kuna kitu niliona kumhusu JPM na nikaeleza humu tangu ile 2014 Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli kuna kitu ni mimi tuu nilikiona na nikakisema.

Baada ya uchaguzi, kabla JPM hajatangazwa mshindi, ni mimi nilisema kitu humu Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him! wengine wote hili hawakuliona.
Miaka yake 4 nilisema mengi, ila kuelekea uchaguzi wa 2019/2020 kuna kitu ni mimi tuu nilikuona nikashauri Ombi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa! kwenye ushauri huu niliweka the consequences, ushauri ulipuuzwa, the consequences ikatokea!.

Hivyo nikashauri JPM asigombee, 2020 ampishe Samia, Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020 hili likatokea.

Nilizungumzia hivi kuhusu DC wa Kinondoni Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam akawa!.

Kuna sumu fulani ni mimi tuu niliiona ikienezwa na nikashauri Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii hili lilitekelezwa!.

Hata Job Ndugai nilimshauri Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...

Kubwa kuliko ni uchaguzi mkuu wa
2025, kama sauti HII ni kweli, then post 2025, tutaheshimiana tuu mbele ya safari,
Mkuu you're better thatn this, hakuna kitu kinaitwa Federation kati ya ''nchi mama na nchi washirika''
miungano ya unions na federations ni facts, huwezi kubisha na muungano wetu ni union na federation is fact you cant denies!
Ni kwasababu ya muundo huo matatizo hayaishi na sasa yamefikia pabaya sana
Huko CCM kunafukuta na wasipoangalia ipo siku tutaamka hatuna Muungano
hili haliwe kutokea kwasababu huu muungano wetu adhimu, tutaulinda kwa gharama yoyote.
Hivi unajua wenye muungano ni akina nani?
muungano ni wa Watanzania.
Wameamka ndiyo maana husikii upande wa pili kwasababu wanajua kinachofuata. dude limeamka .
duh...!
Watanganyika wanataka Tanganyika yao , Wazanzibar wakitaka Muungano wataomba kwasababu Tanganyika has nothing to lose ! nothing
japo ni kweli kuna Watanganyika wenye umri wa miaka 60+, wote ni wastaafu, wameisha jichokea, waliowengi sasa ni Watanzania.
P
 
Wanabodi

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na kwa Maslahi ya Taifa, kila Jumatano kwenye gazeti la Mwananchi na Jumapili kwenye gazeti la Nipashe na kwenye kipindi cha KMT on Channel Ten TV, kila siku za Jumapili saa 3:00 usiku na marudio Jumatano saa 9:30 alasiri.
Kwa upande wangu, sioni hivyo bali ni kutaka kuufanya muungano wetu uwe halisi na wa maana zaidi kuliko ulivyo kwa sasa kufuatia maoni ya Tume ya Warioba. Kama kuwa na maoni hayo ni kuwa na hoja muflisi na za kijinga basi hata maoni yaliyokusanywa na hii tume upande wa Tanzania Bara na Zanzibar ya kuwa na serikali 3 na kutetewa na wajumbe wa tume (licha ya baadhi yao kusema ni waumini wa serikali mbili/moja) yalikuwa muflisi na ya kijinga pia (kwa mantiki hiyo hiyo).
 
Wanabodi

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na kwa Maslahi ya Taifa, kila Jumatano kwenye gazeti la Mwananchi na Jumapili kwenye gazeti la Nipashe na kwenye kipindi cha KMT on Channel Ten TV, kila siku za Jumapili saa 3:00 usiku na marudio Jumatano saa 9:30 alasiri.

Hoja ya leo ni hoja za Utanganyika na Uzanzibari ambazo ni hoja muflis zinazosababishwa watu wanaitwa vitimbakwiri kujivunia uraia ambao haupo kutokana na ujinga tuu wa ukosefu wa elimu ya uraia kuhusu uraia wa Tanzania. Kwenye uraia, hakuna Mtanganyika wala Mzanzibari, tuna uraia mmoja tuu, Mtanzania. Swali ni jee tuwatoe ujinga hawa vitimbakwiri muflis wanaotaka kutubagua kwa Utanganyika na Uzanzibari kwa kuwaelimisha elimu ya uraia, au tuwaache tuu na ujinga wao kujisikia sifa kujinasibisha na kujivunia Utanganyika na Uzanzibari?.

Hili ni Nipashe la Leo.
View attachment 2994081

Ukosefu wa Elimu ya Uraia Kuhusu Katiba, Sheria, Haki na Wajibu, ndio umesababisha, huu ubaguzi wa Utanganyika, na Uzanzibari, watu wakielimishwa kuhusu uraia, hawa vitimbakwiri muflis wanaoleta ujinga wa ubaguzi wa kunyoosheana vidole vya Utanganyika na Uzanzibari, ujinga huu utawatoka, wataerevuka na tutakuwa na Utanzania pekee!.

Hivi karibuni, kumeibuka hoja za kibaguzi za baadhi ya wanasiasa, kutoa kauli za kibaguzi za kuwanyooshea watu vidole na kuwaita “Wao Wazanzibari”, “Sisi Watanganyika”. Miongozi mwa watu wanaotoa kauli hizo ni baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani, waliofilisika kisiasa, na baadhi ya wanaolaani kauli hizo, ni baadhi ya viongozi wa chama tawala, ambapo nimemsikia mmoja wa viongozi hao, akilaani vikali kauli hizo bungeni kwa maneno makali kabisa!, huko pia ni kufilisika kisiasa.

NB. Aliyesema wanasiasa wanaojinasibisha na Utanganyika na Uzanzibari, dini zao, kanda zao, au kabila zao, ni watu muflis, waliofilisika kisiasa, sio mimi ni Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, na akaiandikia kitabu kinaitwa “Nyufa”. Mwalimu alisema dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana, ni kama kula nyama ya mtu, ukiishakula huwezi kuacha!.

Uraia ni hoja ya kikatiba na kisheria. Kabla ya Muungano, tulikuwa na nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar, hivyo tulikuwa na uraia wa Tanganyika, na uraia wa Zanzibar. Baada ya muungano, tukaungana kuwa nchi moja ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwa na uraia mmoja tuu, uraia wa Tanzania.

Baada ya Muungano, majina ya nchi hizi zote mbili, nchi ya Tanganyika, na nchi ya Zanzibar, yalibadilika na kuwa Tanzania Bara na Tanzania Visiwani, hivyo jina la Tanganyika likafutwa, ila jina la Zanzibar, liliendelea kuwepo, kutokana na uadimu na uadhimu wa huu muungano wetu.

Uadimu wa Muungano
Miungano ya nchi zote duniani ni miungano ya aina mbili kuu,

1. Muungano wa Union, ambapo nchi mbili zinaungana na kuunda nchi moja. Zile nchi zote mbili zilizoungana , zote zinakufa na kuunda nchi moja mpya. Hivyo ndivyo ulivyo muungano wetu kimataifa, ni muungano wa Unioni, ile nchi ya Tanganyika imekufa, ile nchi ya Zanzibar imekufa, imezaliwa nchi moja mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye urais mmoja tuu, uraia wa Tanzania. Hakuna tena uraia wa Tanganyika, wala uraia wa Zanzibar, kuna uraia mmoja wa Tanzania. Tanganyika haipo nafasi yake imechukuliwa na Tanzania Bara, na Zanzibar japo ipo, ila sio nchi ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye utawala wake wa ndani, lakini hakuna uraia wa Zanzibar, uraia ni mmoja tuu wa Tanzania.

2. Muungano wa Federation, ni nchi mbili au zaidi, zinaungano kuwa nchi moja, lakini zile nchi zote mbili zinaendelea kuwa utawala wake wa ndani, na serikali zao, chini ya utawala mkuu wan chi ya federal state, kama Marekani. Vivyo hivyo muungano wetu kwa ndani ya muungano ni muungano wa federation yenye nchi mbili, Tanzania na Zanzibar, yenye marais wawili, Rais wa JMT “mwenye R kubwa, na rais wa Zanzibar mwenye r ndogo, zenye serikali mbili, serikali ya JMT na serikali ya SMZ, mabunge mawili, Bunge la JMT na BLW, na zenye mahakama mbili, Mahakama ya JMT na Mahakama ya Zanzibar, ila kwenye uraia, bado ni uraia mmoja tuu wa JMT, ila kwa Zanziar, wana ukaazi, ule ukaazi sio uraia ni utambulisho tuu wa wakaazi wa Zanzibar lakini wote ni Watanzania.

Hivyo muungano wa Tanzania ni muungano adimu pekee duniani ambao kwa upande mmoja ni muungano wa union na upande wa pili ni muungano wa federation, hakuna muungano wa aina hii popote duniani.

Uadhimu wa Muungano.
Muungano wetu licha ya kuwa ni muungano adimu, pia ni muungano adhimu, wenye dhima ya kuungana milele!. Miungano yote duniani unaundwa kwa mikataba ya kisheria ya muungano. Mikataba hiyo inakuwa na kipengele cha jinsi ya kuivunja miungano hiyo. Kwenye zile Articles of Union za Muungano wetu, hakuna kipengele cha jinsi ya kuuvunja, muungano, hivyo zile Hati za Muungano sio mkataba wa muungano, ni makubaliano ya muungano, (not a contract, but an agreement) yenye dhima ya muungano wa milele, na ndio maana tunasema “muungano tutaulinda kwa gharama yoyote”.

Tangu tumeungana, na mimi tangu nimezaliwa na kupata akili, sikumbuki hata mara moja, kusikia vipindi vya elimu ya uraia kuhuhusu huu muungano wetu adimu na adhimu, hali inayopelekea Baadhi ya Watanzania kuanza kujinasibisha na Utanganyika wao, na Uzanzibari wao.

Kwa vile Tanganyika ilifutwa na jina la Tanganyika kufutwa, utanganyika nao ukafutika, Watanganyika tunajisabisha kwa Utanzania wetu, lakini kwa vile kwa vile jina la Zanzibar, halikufutwa, na kuna Uzanzibari ukaazi, hivyo baadhi ya Wanzanzibari, wanajinasibisha kwa Uzanzibari wao kama uraia wa Zanzibar, badala ya kujinasibisha na Utanzania wao, kungekuwa na vipindi vya elimu ya uraia kuhusu katiba, sheria, haki na wajibu, kusingekuwepo, vitimbakwiri wowote, wanaojinasibisha kwa Utanganyika wao, au Uzanzibari wao kwasababu, uraia wa JMT ni uraia mmoja tuu, hakuna uraia wa Tanganyika, wala hakuna urais wa Zanzibar, kuna uraia mmoja tuu, uraia wa JMT.

Wiki ijayo, nitaendelea na kuwaletea hizi chokochoko za kuuchokoa muungano na kuanza kunyoosheasha vidole vya ubaguzi wa “Utanganyika na Uzanzibari” zilianzia wapi, dawa yake ni nini na tiba ya kudumu ya kuitibu sumu hii na kuiangamiza kabisa.

View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=fPhb1_0doZmgD7T4
Wakati huo huo, naendelea na darasa langu la elimu ya uraia kuhusu katiba, sheria na haki on Channel Ten kila Jumapili saa 3:00 usiku.
Karibuni.

Paskali

Paskali wazo lako ni zuri ila bahati mbaya naona kama unadhani wanaolizungumzia ndio wameuanzisha ubaguzi huu, hapana. Ubaguzi huu umeanzishwa na serikali kwa kushindwa kuwa na serikali moja nchi moja. Paskali ninaamini ulipofunga ndoa na mkeo hapo nyumbani kwenu hamkuweka vyumba viwili kitanda kimoja kila chumba kwa ajili yako na mkeo, naamini mliingia chumba kimoja kitanda kimoja.
Wakati wewe unaamini sisi ni raia wa Tanzania serikali inaamini kuna raia pia wa Zanzibari na serikali yao waliyoipigia kura na wakapewa kitambulisho cha uraia wa Zanzibari ambacho wewe haujapewa, hivyo hauna haki kwenye mambo yao kama usivyokuwa na haki kwenye mambo ya uingereza! Ni hivi karibuni niliona picha ya rais wa Tanzania akionesha kuwa sasa amepewa kutambulisho chake cha uraia wa Zanzibari, sikuelewa hilo kwani sikujua kabla ya hapo alikuwa raia wa wapi.
Nimalize kwa kusema sheria ndiyo chanzo cha ubaguzi uliopo kati ya wazanzibari na wazanzibara, hivyo sisi tusilaumiane kwani tunatekeleza sheria ya muungano bila shuruti.
 
Mtafuteni Askofu Zachary Kakobe anatoa darasa zuri kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Hii shule ya Paskali haileweki!!!
 
Sijifanyi mahiri, mimi ni mwandishi wa habari kwa miaka zaidi ya 30, na pia ni mwanasheria na wakili wa kujitegemea, hivyo nina umahiri fulani kwenye baadhi ya maeneo.

Mwalimu Nyerere ni mtu sahihi sana, na kuna vitu vingi Nyerere kasema, nitaendelea kuwaletea Nyerere alichokisema.
P
Sasa wewe pamoja na umahiri wako unashindwa kuona kama Nyerere katuingiza chaka! Huu ni muungano gani usiyoeleweka nchi kubwa(Tanganyika) yenye watu karibu milioni 60 kutawaliwa na mtu kutoka katika kisiwa kidogo kisichozidi idadi ya watu milioni 2 na kujidanganya eti Rais wa muungano wakati anaitawala Tanganyika peke yake maana kama angekuwa Rais wa muungano angekuwa na madaraka hadi Zanzibar lakini ona pamoja ni Mzanzibar lakini hana mamlaka yoyote huko kwao bali madaraka yake yanaishia Tanganyika tu! Muungano huu ni wa ovyo kuliko Muungano mwingine wowote uliowahi kutokea katika dunia hii!
Sasa mtu kama huyo aliyeisaliti nchi yake kiasi hicho sijui unawezaje kumuona kwamba eti alikuwa sahihi!
 
Wanabodi

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na kwa Maslahi ya Taifa, kila Jumatano kwenye gazeti la Mwananchi na Jumapili kwenye gazeti la Nipashe na kwenye kipindi cha KMT on Channel Ten TV, kila siku za Jumapili saa 3:00 usiku na marudio Jumatano saa 9:30 alasiri.

Hoja ya leo ni hoja za Utanganyika na Uzanzibari ambazo ni hoja muflis zinazosababishwa watu wanaitwa vitimbakwiri kujivunia uraia ambao haupo kutokana na ujinga tuu wa ukosefu wa elimu ya uraia kuhusu uraia wa Tanzania. Kwenye uraia, hakuna Mtanganyika wala Mzanzibari, tuna uraia mmoja tuu, Mtanzania. Swali ni jee tuwatoe ujinga hawa vitimbakwiri muflis wanaotaka kutubagua kwa Utanganyika na Uzanzibari kwa kuwaelimisha elimu ya uraia, au tuwaache tuu na ujinga wao kujisikia sifa kujinasibisha na kujivunia Utanganyika na Uzanzibari?.

Hili ni Nipashe la Leo.
View attachment 2994081

Ukosefu wa Elimu ya Uraia Kuhusu Katiba, Sheria, Haki na Wajibu, ndio umesababisha, huu ubaguzi wa Utanganyika, na Uzanzibari, watu wakielimishwa kuhusu uraia, hawa vitimbakwiri muflis wanaoleta ujinga wa ubaguzi wa kunyoosheana vidole vya Utanganyika na Uzanzibari, ujinga huu utawatoka, wataerevuka na tutakuwa na Utanzania pekee!.

Hivi karibuni, kumeibuka hoja za kibaguzi za baadhi ya wanasiasa, kutoa kauli za kibaguzi za kuwanyooshea watu vidole na kuwaita “Wao Wazanzibari”, “Sisi Watanganyika”. Miongozi mwa watu wanaotoa kauli hizo ni baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani, waliofilisika kisiasa, na baadhi ya wanaolaani kauli hizo, ni baadhi ya viongozi wa chama tawala, ambapo nimemsikia mmoja wa viongozi hao, akilaani vikali kauli hizo bungeni kwa maneno makali kabisa!, huko pia ni kufilisika kisiasa.

NB. Aliyesema wanasiasa wanaojinasibisha na Utanganyika na Uzanzibari, dini zao, kanda zao, au kabila zao, ni watu muflis, waliofilisika kisiasa, sio mimi ni Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, na akaiandikia kitabu kinaitwa “Nyufa”. Mwalimu alisema dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana, ni kama kula nyama ya mtu, ukiishakula huwezi kuacha!.

Uraia ni hoja ya kikatiba na kisheria. Kabla ya Muungano, tulikuwa na nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar, hivyo tulikuwa na uraia wa Tanganyika, na uraia wa Zanzibar. Baada ya muungano, tukaungana kuwa nchi moja ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwa na uraia mmoja tuu, uraia wa Tanzania.

Baada ya Muungano, majina ya nchi hizi zote mbili, nchi ya Tanganyika, na nchi ya Zanzibar, yalibadilika na kuwa Tanzania Bara na Tanzania Visiwani, hivyo jina la Tanganyika likafutwa, ila jina la Zanzibar, liliendelea kuwepo, kutokana na uadimu na uadhimu wa huu muungano wetu.

Uadimu wa Muungano
Miungano ya nchi zote duniani ni miungano ya aina mbili kuu,

1. Muungano wa Union, ambapo nchi mbili zinaungana na kuunda nchi moja. Zile nchi zote mbili zilizoungana , zote zinakufa na kuunda nchi moja mpya. Hivyo ndivyo ulivyo muungano wetu kimataifa, ni muungano wa Unioni, ile nchi ya Tanganyika imekufa, ile nchi ya Zanzibar imekufa, imezaliwa nchi moja mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye urais mmoja tuu, uraia wa Tanzania. Hakuna tena uraia wa Tanganyika, wala uraia wa Zanzibar, kuna uraia mmoja wa Tanzania. Tanganyika haipo nafasi yake imechukuliwa na Tanzania Bara, na Zanzibar japo ipo, ila sio nchi ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye utawala wake wa ndani, lakini hakuna uraia wa Zanzibar, uraia ni mmoja tuu wa Tanzania.

2. Muungano wa Federation, ni nchi mbili au zaidi, zinaungano kuwa nchi moja, lakini zile nchi zote mbili zinaendelea kuwa utawala wake wa ndani, na serikali zao, chini ya utawala mkuu wan chi ya federal state, kama Marekani. Vivyo hivyo muungano wetu kwa ndani ya muungano ni muungano wa federation yenye nchi mbili, Tanzania na Zanzibar, yenye marais wawili, Rais wa JMT “mwenye R kubwa, na rais wa Zanzibar mwenye r ndogo, zenye serikali mbili, serikali ya JMT na serikali ya SMZ, mabunge mawili, Bunge la JMT na BLW, na zenye mahakama mbili, Mahakama ya JMT na Mahakama ya Zanzibar, ila kwenye uraia, bado ni uraia mmoja tuu wa JMT, ila kwa Zanziar, wana ukaazi, ule ukaazi sio uraia ni utambulisho tuu wa wakaazi wa Zanzibar lakini wote ni Watanzania.

Hivyo muungano wa Tanzania ni muungano adimu pekee duniani ambao kwa upande mmoja ni muungano wa union na upande wa pili ni muungano wa federation, hakuna muungano wa aina hii popote duniani.

Uadhimu wa Muungano.
Muungano wetu licha ya kuwa ni muungano adimu, pia ni muungano adhimu, wenye dhima ya kuungana milele!. Miungano yote duniani unaundwa kwa mikataba ya kisheria ya muungano. Mikataba hiyo inakuwa na kipengele cha jinsi ya kuivunja miungano hiyo. Kwenye zile Articles of Union za Muungano wetu, hakuna kipengele cha jinsi ya kuuvunja, muungano, hivyo zile Hati za Muungano sio mkataba wa muungano, ni makubaliano ya muungano, (not a contract, but an agreement) yenye dhima ya muungano wa milele, na ndio maana tunasema “muungano tutaulinda kwa gharama yoyote”.

Tangu tumeungana, na mimi tangu nimezaliwa na kupata akili, sikumbuki hata mara moja, kusikia vipindi vya elimu ya uraia kuhuhusu huu muungano wetu adimu na adhimu, hali inayopelekea Baadhi ya Watanzania kuanza kujinasibisha na Utanganyika wao, na Uzanzibari wao.

Kwa vile Tanganyika ilifutwa na jina la Tanganyika kufutwa, utanganyika nao ukafutika, Watanganyika tunajisabisha kwa Utanzania wetu, lakini kwa vile kwa vile jina la Zanzibar, halikufutwa, na kuna Uzanzibari ukaazi, hivyo baadhi ya Wanzanzibari, wanajinasibisha kwa Uzanzibari wao kama uraia wa Zanzibar, badala ya kujinasibisha na Utanzania wao, kungekuwa na vipindi vya elimu ya uraia kuhusu katiba, sheria, haki na wajibu, kusingekuwepo, vitimbakwiri wowote, wanaojinasibisha kwa Utanganyika wao, au Uzanzibari wao kwasababu, uraia wa JMT ni uraia mmoja tuu, hakuna uraia wa Tanganyika, wala hakuna urais wa Zanzibar, kuna uraia mmoja tuu, uraia wa JMT.

Wiki ijayo, nitaendelea na kuwaletea hizi chokochoko za kuuchokoa muungano na kuanza kunyoosheasha vidole vya ubaguzi wa “Utanganyika na Uzanzibari” zilianzia wapi, dawa yake ni nini na tiba ya kudumu ya kuitibu sumu hii na kuiangamiza kabisa.

View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=fPhb1_0doZmgD7T4
Wakati huo huo, naendelea na darasa langu la elimu ya uraia kuhusu katiba, sheria na haki on Channel Ten kila Jumapili saa 3:00 usiku.
Karibuni.

Paskali

Hoja hii huibuka rais anapotokea huko visiwani haziibuki kipindi cha urais wa mtu wa huku bara.

Ni hoja ambazo zina msingi wa udini na chuki ndani yake na Hayati Nyerere aliigundua hiyo chuki na akaikemea mapema sana.

Eneo la hekari laki tisa la Tanzania nzima sehemu kubwa yake ni huku nchi kavu huko visiwani ni sawa tu na wilaya moja au mbili za mkoa wa Morogoro au Arusha, kudai haki kabisa na usawa kwa kila kila kitu kwa nchi hizi mbili ni ukosefu tu wa akili pamoja na roho za kuendekeza visasi.
 
Sasa wewe pamoja na umahiri wako unashindwa kuona kama Nyerere katuingiza chaka! Huu ni muungano gani usiyoeleweka nchi kubwa(Tanganyika) yenye watu karibu milioni 60 kutawaliwa na mtu kutoka katika kisiwa kidogo kisichozidi idadi ya watu milioni 2 na kujidanganya eti Rais wa muungano wakati anaitawala Tanganyika peke yake maana kama angekuwa Rais wa muungano angekuwa na madaraka hadi Zanzibar lakini ona pamoja ni Mzanzibar lakini hana mamlaka yoyote huko kwao bali madaraka yake yanaishia Tanganyika tu! Muungano huu ni wa ovyo kuliko Muungano mwingine wowote uliowahi kutokea katika dunia hii!
Sasa mtu kama huyo aliyeisaliti nchi yake kiasi hicho sijui unawezaje kumuona kwamba eti alikuwa sahihi!
Mtu kutoka sehemu kubwa ya muungano kutawala ni haki kabisa tena mlele yote lakini kutoka sehemu ndogo kutawala sio haki!.

Maana ya muungano ni ule upendo wa kujishusha na sio kutanguliza ubinafsi na ukabila unaojaa kila ubaya wa umimi na usisi.
 
Hoja hii huibuka rais anapotokea huko visiwani haziibuki kipindi cha urais wa mtu wa huku bara.

Ni hoja ambazo zina msingi wa udini na chuki ndani yak

e na Hayati Nyerere aliigundua hiyo chuki na akaikemea mapema sana.

Eneo la hekari laki tisa la Tanzania nzima sehemu kubwa yake ni huku nchi kavu huko visiwani ni sawa tu na wilaya moja au mbili za mkoa wa Morogoro au Arusha, kudai haki kabisa na usawa kwa kila kila kitu kwa nchi hizi mbili ni ukosefu tu wa akili pamoja na roho za kuendekeza visasi.
Mbona huyu hakuwa wa kutokea Zanzibar, cheti cha uzanzibari amekipata akiwa madarakani! Sijui kama ameukana ubara au anavyo vyote yaani cha uraia wa Tanzania na cha Zanzibar.
Kuhusu udini unataka kutuaminisja kuwa Zanzibar hakuna wakiristu! Hapana wapo japo ni wachache lakini wapo, kwa hoja ya udini ni hoja potofu kwani Kikwete na Mwinyi ni wa bara sijui nao ziliibuka? Ukweli ni kuwa muungano ulifanywa na watu wawili waliojua malengo yao bila kuwashirikisha satu wengine, nihitimishe kwa kihoni nini kinachozuia kuwa na serikali moja ndani ya nchi moja, vinginevyohuko mbele ya ya safari tutakuja sikia Zanzibar inataka kuungana na Komoro, na kutazua mgogoro mwingine.
 
Mtu kutoka sehemu kubwa ya muungano kutawala ni haki kabisa tena mlele yote lakini kutoka sehemu ndogo kutawala sio haki!.

Maana ya muungano ni ule upendo wa kujishusha na sio kutanguliza ubinafsi na ukabila unaojaa kila ubaya wa umimi na usisi.
Japo sijaelewa vizuri ulichoandika lakini niseme tu huu unaoitwa Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar hata haueleweki kwa sababu huyo Rais anayeitwa wa muungano ni Rais wa Tanganyika tu kwa sababu hana mamlaka yoyote Zanzibar, Tena sasa hivi ndiyo kabisa kwa sababu kwa katiba ya zamani ya Zanzibar ilimtaka Rais wa Zanzibar akitaka kuteua au kugawa eneo la kiutawala katika mikoa na wilaya alitakiwa ashauriane na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lakini kwa sasa wamefanya marekebisho ya katiba yao Rais wa Zanzibar halazimiki tena kushauriana na Rais wa JMT, lakini pia bunge likitunga sheria inayotakiwa itumike pande zote mbili za Muungano basi kule Zanzibar sheria hiyo haitoanza kutumika hadi iridhiwe na Baraza la Wawakilishi.
Hata sasa hivi pamoja kwamba Rais aliyopo madarakani ni Mzanzibar lakini hana mamlaka hata ya kumteua afisa mtendaji wa kata kule Zanzibar haijalishi huyo mtu ni Mzanzibar au Mtanganyika lakini anateua Wazanzibar wenzake kwenye mambo yasiyo ya Muungano hata sasa wapo Wazanzibar Wakurugenzi wa halmashauri na Wakuu wa Wilaya huku Tanganyika.
Sasa je Rais kama huyo unawezaje kumuita Rais wa muungano?
Tuseme tu Tanganyika inatawaliwa na Mzanzibar.
 
Wanabodi

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na kwa Maslahi ya Taifa, kila Jumatano kwenye gazeti la Mwananchi na Jumapili kwenye gazeti la Nipashe na kwenye kipindi cha KMT on Channel Ten TV, kila siku za Jumapili saa 3:00 usiku na marudio Jumatano saa 9:30 alasiri.

Hoja ya leo ni hoja za Utanganyika na Uzanzibari ambazo ni hoja muflis zinazosababishwa watu wanaitwa vitimbakwiri kujivunia uraia ambao haupo kutokana na ujinga tuu wa ukosefu wa elimu ya uraia kuhusu uraia wa Tanzania. Kwenye uraia, hakuna Mtanganyika wala Mzanzibari, tuna uraia mmoja tuu, Mtanzania. Swali ni jee tuwatoe ujinga hawa vitimbakwiri muflis wanaotaka kutubagua kwa Utanganyika na Uzanzibari kwa kuwaelimisha elimu ya uraia, au tuwaache tuu na ujinga wao kujisikia sifa kujinasibisha na kujivunia Utanganyika na Uzanzibari?.

Hili ni Nipashe la Leo.
View attachment 2994081

Ukosefu wa Elimu ya Uraia Kuhusu Katiba, Sheria, Haki na Wajibu, ndio umesababisha, huu ubaguzi wa Utanganyika, na Uzanzibari, watu wakielimishwa kuhusu uraia, hawa vitimbakwiri muflis wanaoleta ujinga wa ubaguzi wa kunyoosheana vidole vya Utanganyika na Uzanzibari, ujinga huu utawatoka, wataerevuka na tutakuwa na Utanzania pekee!.

Hivi karibuni, kumeibuka hoja za kibaguzi za baadhi ya wanasiasa, kutoa kauli za kibaguzi za kuwanyooshea watu vidole na kuwaita “Wao Wazanzibari”, “Sisi Watanganyika”. Miongozi mwa watu wanaotoa kauli hizo ni baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani, waliofilisika kisiasa, na baadhi ya wanaolaani kauli hizo, ni baadhi ya viongozi wa chama tawala, ambapo nimemsikia mmoja wa viongozi hao, akilaani vikali kauli hizo bungeni kwa maneno makali kabisa!, huko pia ni kufilisika kisiasa.

NB. Aliyesema wanasiasa wanaojinasibisha na Utanganyika na Uzanzibari, dini zao, kanda zao, au kabila zao, ni watu muflis, waliofilisika kisiasa, sio mimi ni Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, na akaiandikia kitabu kinaitwa “Nyufa”. Mwalimu alisema dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana, ni kama kula nyama ya mtu, ukiishakula huwezi kuacha!.

Uraia ni hoja ya kikatiba na kisheria. Kabla ya Muungano, tulikuwa na nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar, hivyo tulikuwa na uraia wa Tanganyika, na uraia wa Zanzibar. Baada ya muungano, tukaungana kuwa nchi moja ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwa na uraia mmoja tuu, uraia wa Tanzania.

Baada ya Muungano, majina ya nchi hizi zote mbili, nchi ya Tanganyika, na nchi ya Zanzibar, yalibadilika na kuwa Tanzania Bara na Tanzania Visiwani, hivyo jina la Tanganyika likafutwa, ila jina la Zanzibar, liliendelea kuwepo, kutokana na uadimu na uadhimu wa huu muungano wetu.

Uadimu wa Muungano
Miungano ya nchi zote duniani ni miungano ya aina mbili kuu,

1. Muungano wa Union, ambapo nchi mbili zinaungana na kuunda nchi moja. Zile nchi zote mbili zilizoungana , zote zinakufa na kuunda nchi moja mpya. Hivyo ndivyo ulivyo muungano wetu kimataifa, ni muungano wa Unioni, ile nchi ya Tanganyika imekufa, ile nchi ya Zanzibar imekufa, imezaliwa nchi moja mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye urais mmoja tuu, uraia wa Tanzania. Hakuna tena uraia wa Tanganyika, wala uraia wa Zanzibar, kuna uraia mmoja wa Tanzania. Tanganyika haipo nafasi yake imechukuliwa na Tanzania Bara, na Zanzibar japo ipo, ila sio nchi ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye utawala wake wa ndani, lakini hakuna uraia wa Zanzibar, uraia ni mmoja tuu wa Tanzania.

2. Muungano wa Federation, ni nchi mbili au zaidi, zinaungano kuwa nchi moja, lakini zile nchi zote mbili zinaendelea kuwa utawala wake wa ndani, na serikali zao, chini ya utawala mkuu wan chi ya federal state, kama Marekani. Vivyo hivyo muungano wetu kwa ndani ya muungano ni muungano wa federation yenye nchi mbili, Tanzania na Zanzibar, yenye marais wawili, Rais wa JMT “mwenye R kubwa, na rais wa Zanzibar mwenye r ndogo, zenye serikali mbili, serikali ya JMT na serikali ya SMZ, mabunge mawili, Bunge la JMT na BLW, na zenye mahakama mbili, Mahakama ya JMT na Mahakama ya Zanzibar, ila kwenye uraia, bado ni uraia mmoja tuu wa JMT, ila kwa Zanziar, wana ukaazi, ule ukaazi sio uraia ni utambulisho tuu wa wakaazi wa Zanzibar lakini wote ni Watanzania.

Hivyo muungano wa Tanzania ni muungano adimu pekee duniani ambao kwa upande mmoja ni muungano wa union na upande wa pili ni muungano wa federation, hakuna muungano wa aina hii popote duniani.

Uadhimu wa Muungano.
Muungano wetu licha ya kuwa ni muungano adimu, pia ni muungano adhimu, wenye dhima ya kuungana milele!. Miungano yote duniani unaundwa kwa mikataba ya kisheria ya muungano. Mikataba hiyo inakuwa na kipengele cha jinsi ya kuivunja miungano hiyo. Kwenye zile Articles of Union za Muungano wetu, hakuna kipengele cha jinsi ya kuuvunja, muungano, hivyo zile Hati za Muungano sio mkataba wa muungano, ni makubaliano ya muungano, (not a contract, but an agreement) yenye dhima ya muungano wa milele, na ndio maana tunasema “muungano tutaulinda kwa gharama yoyote”.

Tangu tumeungana, na mimi tangu nimezaliwa na kupata akili, sikumbuki hata mara moja, kusikia vipindi vya elimu ya uraia kuhuhusu huu muungano wetu adimu na adhimu, hali inayopelekea Baadhi ya Watanzania kuanza kujinasibisha na Utanganyika wao, na Uzanzibari wao.

Kwa vile Tanganyika ilifutwa na jina la Tanganyika kufutwa, utanganyika nao ukafutika, Watanganyika tunajisabisha kwa Utanzania wetu, lakini kwa vile kwa vile jina la Zanzibar, halikufutwa, na kuna Uzanzibari ukaazi, hivyo baadhi ya Wanzanzibari, wanajinasibisha kwa Uzanzibari wao kama uraia wa Zanzibar, badala ya kujinasibisha na Utanzania wao, kungekuwa na vipindi vya elimu ya uraia kuhusu katiba, sheria, haki na wajibu, kusingekuwepo, vitimbakwiri wowote, wanaojinasibisha kwa Utanganyika wao, au Uzanzibari wao kwasababu, uraia wa JMT ni uraia mmoja tuu, hakuna uraia wa Tanganyika, wala hakuna urais wa Zanzibar, kuna uraia mmoja tuu, uraia wa JMT.

Wiki ijayo, nitaendelea na kuwaletea hizi chokochoko za kuuchokoa muungano na kuanza kunyoosheasha vidole vya ubaguzi wa “Utanganyika na Uzanzibari” zilianzia wapi, dawa yake ni nini na tiba ya kudumu ya kuitibu sumu hii na kuiangamiza kabisa.

View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=fPhb1_0doZmgD7T4
Wakati huo huo, naendelea na darasa langu la elimu ya uraia kuhusu katiba, sheria na haki on Channel Ten kila Jumapili saa 3:00 usiku.
Karibuni.

Paskali

Huwa najiuliza ujinga wa watu hao wame barikiwaje kuwa na ujinga walio nao?

Huwa najiuliza ni ipi tofauti ya mtanzania na mzambia,mkenya,md.r.c,mmalawi,nakuja kugundua wote Niwa moja

Na pia Ukiangalia mipaka yetu udongo wetu,mimea yetu vyote vinatuambia sisi ni ndugu,sisi damu moja.

Cha ajabu wakati watu wachache wanao tambua mzungu alituganya Nini mpaka akatu tawala na anaendelea kutu tawala kupitia watawala ambao nindugu zetu

Watu hao wakiwa wanawaza kui unganisha Africa kuwa taifa moja ili kuka biriana na neo colonialism kwa maisha ya Sasa na baadae ya Africa

Cha ajabu huku nyuma unamkuta mtu Tena msomi tunae mtegemea anapambana majukwaani kuhakikisha muungano wa Tanzania/Tanganyika na Zanzibar una vunjika" inashangaza kwa kweli

Nabaki najiuliza Nini faida ya elimu kwenye kujikomboa ki fikra?

Tuna paswa kuiona east Africa inakua one nation thein Africa state tuwe na pesa yetu,bank yetu tujikomboe kutoka kwa mikopo yenye mashart magumu ya Hawa I.m.f,wb, nk

Sasa Hawa Hawa wasomi wetu ndio wanao ongoza kuupinga muungano wetu na undugu

Hapo ndipo nachoka kabisa
 
wenye kuumizwa tuko kimya wenye kuogelea neema ya muungano midomo juu, ningekuwa siupendi muungano ningependekeza tuwaachie tu hata miaka mitano waonje upweke na shida ndo waje kwa adabu. jamani muungano una gharama zake ni pamoja na kujishusha kama ambavyo bara imefanya miaka yote.
kama wanaweza kila mmoja achambue mchanga wake katika ule uliochang,anywa 1964 ndo asepe vinginevyo agenda hii ifungwe haina mashiko.
 
Jambo la kushangaza ni gazeti na Wahariri kutokuwa na muda wa 'fact check''
Hivi unakuwaje na Federation ya Tanzania na Zanzibar?

Yaani ni kama kusema kuna federation ya USA na California! na wamechapa kwenye gazeti!

Halafu anasema baada ya Muungano majina yalibadilishwa. Hana ushahidi ni lini au kwa sheria gani iliyobadili majina hayo.

For the sake of disussion tukubaki tu kwamba kulikuwa na Tanzania Bara na Tanzania Visiwani.
Halafu anaendelea kusema Zanzibar ikaendelea kuwepo kwasababu za ''uadhimu na uadimu wa mUUngano''

Ukishasikia maneno hayo ujue hapo ni hoja muflisi, yaani hana namna ya ku defend

Alichokusudia ni kusema Zanzibar ipo, Tanganyika ilikufa lakini hawezi kusema hivyo kwsababu atajifunga.

Alichokifanya ni ku 'insinuate' Bara na Viswiani halafu akairudisha Zanzibar ili mbele ya safari atengeneze Federation yake ya Tanzania na Zanzibar. Hii ndio elimu ya Uraia tunayoambiwa itolewe! nope hakuna elimu hapa watu wanatafuta vipindi tu maisha yaendelee

Lakini mhariri wa gazeti anasikitisha, anawezaje kuacha ubabaishaji! utamalaki
Nguruvi3 Soma taratibu umesoma ukiwa na maoni yako na itikadi yako mpaka unapoteza uwezo wako mkubwa wa ujengaji wa hoja. Paskali amesema kuhusu upekee wa muungano wetu kuwa wenyewe ni Union cum federation ndo uadimu wake huo. Amesema Tanganyka ilikuwepo ila ikawa replaced na Tanzania Bara ila Zanzibar ikasalia kwasababu ya jina lake japo pia mara zingine inatumia Tanzania visiwani. Hoja ya msingi ni uadimu na uadhimu wa muungano huu sasa wewe weka hoja kwanini muangano huu sio adimu wala adhim.
 
Japo sijaelewa vizuri ulichoandika lakini niseme tu huu unaoitwa Muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar hata haueleweki kwa sababu huyo Rais anayeitwa wa muungano ni Rais wa Tanganyika tu kwa sababu hana mamlaka yoyote Zanzibar, Tena sasa hivi ndiyo kabisa kwa sababu kwa katiba ya zamani ya Zanzibar ilimtaka Rais wa Zanzibar akitaka kuteua au kugawa eneo la kiutawala katika mikoa na wilaya alitakiwa ashauriane na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lakini kwa sasa wamefanya marekebisho ya katiba yao Rais wa Zanzibar halazimiki tena kushauriana na Rais JMT, lakini pia bunge likitunga sheria inayotakiwa itumike pande zote mbili za Muungano basi kule Zanzibar sheria hiyo haitoanza kutumika hadi iridhiwe na Baraza la Wawakilishi.
Hata sasa hivi pamoja kwamba Rais aliyopo madarakani ni Mzanzibar lakini hana mamlaka hata ya kumteua afisa mtendaji wa kata kule Zanzibar haijalishi huyo mtu ni Mzanzibar au Mtanganyika lakini anateua Wazanzibar wenzake kwenye mambo yasiyo ya Muungano hata sasa wapo Wazanzibar Wakurugenzi wa halmashauri na Wakuu wa Wilaya huku Tanganyika.
Sasa je Rais kama huyo unawezaje kumuita Rais wa muungano?
Tuseme tu Tanganyika inatawaliwa na Mzanzibar.
Mzanzibari asiye na mamlaka ya kuteua yoyote huko kwao Zanzibar!.

Zanzibar haina kiti umoja wa mataifa na muwakilishi kule ni Tanzania. Hayo mengine ni ufahari tu wa kibinadamu kupenda utukufu wa kidunia.
 
Mbona huyu hakuwa wa kutokea Zanzibar, cheti cha uzanzibari amekipata akiwa madarakani! Sijui kama ameukana ubara au anavyo vyote yaani cha uraia wa Tanzania na cha Zanzibar.
Kuhusu udini unataka kutuaminisja kuwa Zanzibar hakuna wakiristu! Hapana wapo japo ni wachache lakini wapo, kwa hoja ya udini ni hoja potofu kwani Kikwete na Mwinyi ni wa bara sijui nao ziliibuka? Ukweli ni kuwa muungano ulifanywa na watu wawili waliojua malengo yao bila kuwashirikisha satu wengine, nihitimishe kwa kihoni nini kinachozuia kuwa na serikali moja ndani ya nchi moja, vinginevyohuko mbele ya ya safari tutakuja sikia Zanzibar inataka kuungana na Komoro, na kutazua mgogoro mwingine.
Kwa wakati ule Nyerere alikuwa na haki zote za kuishikilia Zanzibar, ilikuwa ni dunia ya vita baridi kati ya magharibi na mashariki. Wakubwa wa magharibi wakampa darasa lililomuingia juu ya suala la ulinzi wa Tanganyika na wepesi wa mashariki kuivamia nch hii kupitia hivyo visiwa viwili.

Leo tunampigia kelele RIP Nyerere kwa kutazama vigezo vya dunia ya leo wakati yeye alitazama vigezo vya wakati ule. Alikuwa na uhalali wa kuja na maamuzi yale kama tulivyo na uhalali wa kuhoji kilichofanyika wakati ule.
 
Wanabodi

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na kwa Maslahi ya Taifa, kila Jumatano kwenye gazeti la Mwananchi na Jumapili kwenye gazeti la Nipashe na kwenye kipindi cha KMT on Channel Ten TV, kila siku za Jumapili saa 3:00 usiku na marudio Jumatano saa 9:30 alasiri.

Hoja ya leo ni hoja za Utanganyika na Uzanzibari ambazo ni hoja muflis zinazosababishwa watu wanaitwa vitimbakwiri kujivunia uraia ambao haupo kutokana na ujinga tuu wa ukosefu wa elimu ya uraia kuhusu uraia wa Tanzania. Kwenye uraia, hakuna Mtanganyika wala Mzanzibari, tuna uraia mmoja tuu, Mtanzania. Swali ni jee tuwatoe ujinga hawa vitimbakwiri muflis wanaotaka kutubagua kwa Utanganyika na Uzanzibari kwa kuwaelimisha elimu ya uraia, au tuwaache tuu na ujinga wao kujisikia sifa kujinasibisha na kujivunia Utanganyika na Uzanzibari?.

Hili ni Nipashe la Leo.
View attachment 2994081

Ukosefu wa Elimu ya Uraia Kuhusu Katiba, Sheria, Haki na Wajibu, ndio umesababisha, huu ubaguzi wa Utanganyika, na Uzanzibari, watu wakielimishwa kuhusu uraia, hawa vitimbakwiri muflis wanaoleta ujinga wa ubaguzi wa kunyoosheana vidole vya Utanganyika na Uzanzibari, ujinga huu utawatoka, wataerevuka na tutakuwa na Utanzania pekee!.

Hivi karibuni, kumeibuka hoja za kibaguzi za baadhi ya wanasiasa, kutoa kauli za kibaguzi za kuwanyooshea watu vidole na kuwaita “Wao Wazanzibari”, “Sisi Watanganyika”. Miongozi mwa watu wanaotoa kauli hizo ni baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani, waliofilisika kisiasa, na baadhi ya wanaolaani kauli hizo, ni baadhi ya viongozi wa chama tawala, ambapo nimemsikia mmoja wa viongozi hao, akilaani vikali kauli hizo bungeni kwa maneno makali kabisa!, huko pia ni kufilisika kisiasa.

NB. Aliyesema wanasiasa wanaojinasibisha na Utanganyika na Uzanzibari, dini zao, kanda zao, au kabila zao, ni watu muflis, waliofilisika kisiasa, sio mimi ni Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, na akaiandikia kitabu kinaitwa “Nyufa”. Mwalimu alisema dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana, ni kama kula nyama ya mtu, ukiishakula huwezi kuacha!.

Uraia ni hoja ya kikatiba na kisheria. Kabla ya Muungano, tulikuwa na nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar, hivyo tulikuwa na uraia wa Tanganyika, na uraia wa Zanzibar. Baada ya muungano, tukaungana kuwa nchi moja ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwa na uraia mmoja tuu, uraia wa Tanzania.

Baada ya Muungano, majina ya nchi hizi zote mbili, nchi ya Tanganyika, na nchi ya Zanzibar, yalibadilika na kuwa Tanzania Bara na Tanzania Visiwani, hivyo jina la Tanganyika likafutwa, ila jina la Zanzibar, liliendelea kuwepo, kutokana na uadimu na uadhimu wa huu muungano wetu.

Uadimu wa Muungano
Miungano ya nchi zote duniani ni miungano ya aina mbili kuu,

1. Muungano wa Union, ambapo nchi mbili zinaungana na kuunda nchi moja. Zile nchi zote mbili zilizoungana , zote zinakufa na kuunda nchi moja mpya. Hivyo ndivyo ulivyo muungano wetu kimataifa, ni muungano wa Unioni, ile nchi ya Tanganyika imekufa, ile nchi ya Zanzibar imekufa, imezaliwa nchi moja mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye urais mmoja tuu, uraia wa Tanzania. Hakuna tena uraia wa Tanganyika, wala uraia wa Zanzibar, kuna uraia mmoja wa Tanzania. Tanganyika haipo nafasi yake imechukuliwa na Tanzania Bara, na Zanzibar japo ipo, ila sio nchi ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye utawala wake wa ndani, lakini hakuna uraia wa Zanzibar, uraia ni mmoja tuu wa Tanzania.

2. Muungano wa Federation, ni nchi mbili au zaidi, zinaungano kuwa nchi moja, lakini zile nchi zote mbili zinaendelea kuwa utawala wake wa ndani, na serikali zao, chini ya utawala mkuu wan chi ya federal state, kama Marekani. Vivyo hivyo muungano wetu kwa ndani ya muungano ni muungano wa federation yenye nchi mbili, Tanzania na Zanzibar, yenye marais wawili, Rais wa JMT “mwenye R kubwa, na rais wa Zanzibar mwenye r ndogo, zenye serikali mbili, serikali ya JMT na serikali ya SMZ, mabunge mawili, Bunge la JMT na BLW, na zenye mahakama mbili, Mahakama ya JMT na Mahakama ya Zanzibar, ila kwenye uraia, bado ni uraia mmoja tuu wa JMT, ila kwa Zanziar, wana ukaazi, ule ukaazi sio uraia ni utambulisho tuu wa wakaazi wa Zanzibar lakini wote ni Watanzania.

Hivyo muungano wa Tanzania ni muungano adimu pekee duniani ambao kwa upande mmoja ni muungano wa union na upande wa pili ni muungano wa federation, hakuna muungano wa aina hii popote duniani.

Uadhimu wa Muungano.
Muungano wetu licha ya kuwa ni muungano adimu, pia ni muungano adhimu, wenye dhima ya kuungana milele!. Miungano yote duniani unaundwa kwa mikataba ya kisheria ya muungano. Mikataba hiyo inakuwa na kipengele cha jinsi ya kuivunja miungano hiyo. Kwenye zile Articles of Union za Muungano wetu, hakuna kipengele cha jinsi ya kuuvunja, muungano, hivyo zile Hati za Muungano sio mkataba wa muungano, ni makubaliano ya muungano, (not a contract, but an agreement) yenye dhima ya muungano wa milele, na ndio maana tunasema “muungano tutaulinda kwa gharama yoyote”.

Tangu tumeungana, na mimi tangu nimezaliwa na kupata akili, sikumbuki hata mara moja, kusikia vipindi vya elimu ya uraia kuhuhusu huu muungano wetu adimu na adhimu, hali inayopelekea Baadhi ya Watanzania kuanza kujinasibisha na Utanganyika wao, na Uzanzibari wao.

Kwa vile Tanganyika ilifutwa na jina la Tanganyika kufutwa, utanganyika nao ukafutika, Watanganyika tunajisabisha kwa Utanzania wetu, lakini kwa vile kwa vile jina la Zanzibar, halikufutwa, na kuna Uzanzibari ukaazi, hivyo baadhi ya Wanzanzibari, wanajinasibisha kwa Uzanzibari wao kama uraia wa Zanzibar, badala ya kujinasibisha na Utanzania wao, kungekuwa na vipindi vya elimu ya uraia kuhusu katiba, sheria, haki na wajibu, kusingekuwepo, vitimbakwiri wowote, wanaojinasibisha kwa Utanganyika wao, au Uzanzibari wao kwasababu, uraia wa JMT ni uraia mmoja tuu, hakuna uraia wa Tanganyika, wala hakuna urais wa Zanzibar, kuna uraia mmoja tuu, uraia wa JMT.

Wiki ijayo, nitaendelea na kuwaletea hizi chokochoko za kuuchokoa muungano na kuanza kunyoosheasha vidole vya ubaguzi wa “Utanganyika na Uzanzibari” zilianzia wapi, dawa yake ni nini na tiba ya kudumu ya kuitibu sumu hii na kuiangamiza kabisa.

View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=fPhb1_0doZmgD7T4
Wakati huo huo, naendelea na darasa langu la elimu ya uraia kuhusu katiba, sheria na haki on Channel Ten kila Jumapili saa 3:00 usiku.
Karibuni.

Paskali

Upuuzi.
 
Ukiwa mwendawazimu au una matatizo ya akili utasimama na kutetea huu upumbavu unaoitwa muungano, uzuri tunakujua wewe ni chawa pro max uko kwenye juhudi za kupambania teuzi lakini ulipigwa kimavi kibaya Sana hata uimbe pambio kwa kiasi gani hutoboi
 
Back
Top Bottom