Homa ya Manjano (Homa ya Ini): Zijue athari, kinga na tiba za ugonjwa huu

Homa ya Manjano (Homa ya Ini): Zijue athari, kinga na tiba za ugonjwa huu

Kwa hosp niliyopitia chanjo kwa dozi 1 ni Tsh 50,000 japo inaenda mpk 75,000 so ni gharama kubwa.

Ni ushauri tu, watu tuchome as huu ugonjwa ni mkali sana.

Hospital za serikali gharama inakuwa nafuu kidogo, mara ya mwisho napata ilikuwa 30,000
 
Kwa hosp niliyopitia chanjo kwa dozi 1 ni Tsh 50,000 japo inaenda mpk 75,000 so ni gharama kubwa.

Ni ushauri tu, watu tuchome as huu ugonjwa ni mkali sana.
Wamekupiga.Regency kila chanjo ni 24000 na zinatajika tatu.Kwa hospitali za serikali ni nafuu sana
 
Ila hii kitu , Wizara ya Afya na Wizara ya Elimu , walipaswa kuitazama na ikiwezekana , waingizie ktk mtaala wa shule uko sekondar , wanafunzi wafundishwe km ilivo HIV .Kwa maana Ni yapolepole lkn Uharibifu wake ni wa Uhakika.

Mungu Nilinde Mja wako!!
 
Ila hii kitu , Wizara ya Afya na Wizara ya Elimu , walipaswa kuitazama na ikiwezekana , waingizie ktk mtaala wa shule uko sekondar , wanafunzi wafundishwe km ilivo HIV .Kwa maana Ni yapolepole lkn Uharibifu wake ni wa Uhakika.

Mungu Nilinde Mja wako!!
Njia ya maambukizi ya huu ugonjwa n rahisi sana. Wanaumwa ni wengi sana ambao wamejitambua ila ambao hawajajitambua pia ni wengi zaidi. Maana dalili zake huwa zinakuja mwishon kabisa umeshaathrika .ila ukigundua mapema ni vyema zaidi
 
bill Shnky, Mkuu nakuelewa, shida ni wengi wetu hatujajitambua, yaani kuna vitu tunavichukulia ni ngumu kuvipata lakini kumbe ni rahisi.

Mungu atusaidie!!
 
Ujue ugonjwa wa homa ya ini

*Utangulizi kwa kifupi*

Hepatitis b (Homa ya Ini) ni maambukizi ya virusi kwenye Ini(Liver) .
Ini likiambukizwa hatuna matibabu kamili na yakueleweka Tanzania. Hepatitis (Homa ya Ini) imekuwa tishio kwa miaka hii na hasa kwa vijana.

JINSI HOMA YA INI INAVYOENEA

1.Ngono isiyo salama

2.Kuchangia nguo(Jasho na maji maji)

3.Romance(maji maji)

4.Kuchangia vifaa vyenye ncha kali

DALILI ZAKE NI ZIPI?

Dalili zake hutokea wakati wa hatua za mwisho za kuharibika kwa Ini. kwa hiyo hakuna dalili za awali za ugonjwa huu.

1.Macho na mwili kuwa vya njano

2.Tumbo kuvimba

3.Kutapika damu

4.Kukosa hamu ya kula kabisa

5.Tumbo kuvimba(Abdominal distention)

6.Tumbo kuuma linapokugwa hasa sehemu ya ini(Epigastric pain on palpation)

MATIBU YAKE YAKOJE?

Bado ni changamoto na hasa kwa Tanzania kwani ni wachache sana wanaopenda kupima afya na kujua hali zao za Ini na hivyo kuchukua hatua .Kwa kuwa dalili hujitokeza dakika za mwisho za kufa kabisa kwa Ini kwa hiyo tiba kamili ni kubadilisha Ini kitu ambacho mazingira yetu ni changamoto sana.

Note: Ini liko moja tu tofauti na figo ambazo ziko mbili kwahiyo hata kubadilisha ina mhitaji mtoaji afe ili mgonjwa aishi.

CHANJO YA HOMA YA INI

Siyo wote wanaweza kupata ugonjwa huu,ukipata chanjo uko salama kwa asilimia 100%

NANI YUKO HATARI KUPATA UGONJWA HUU?

1. Wanaofanya ngono uzembe pasipokuwa na chanjo.

2. Wafanyakazi wa Idara ya afya hasa wauguzi na madaktari wanaogusa wagonjwa mara kwa mara pasipo kuwa na chanjo!

3. Watoto wanaozaliwa na mama mwenye vimelea vya virusi vya homa ya Ini.

MABARAZA YA DUNIA YANASEMAJE KUHUSU UGONJWA HUU TISHIO.

1. Kila mjamzito anaye anza kliniki kwa mara ya kwanza lazima apime ugonjwa huu ili kumlinda mtoto anayezaliwa.Kwa Bahati mbaya wanao pimwa ni wale wenye uwezo na wenye bima za afya ambao hujifungulia kwenye hospitali kubwa na zenye vifaa; Aga khani, Mihimbili, TMJ, KAIRUKI, Hindu mandal, Mbeya rufaa, Bugando, Selian,n.k

Note: Kiwango cha vifo vya vijana wa kiume kwa ugonjwa huu ni kubwa sana ukilinganisha na wanawake.

UFANANO NA UTOFAUTI WA HOMA YA INI NA UKIMWI.

A. UFANANO

Hepatitis ina fanana na ugonjwa wa ukimwi kwa muktadha huu,

1. Jinsi Ukimwi unavyo enea ni sawa na Hepatitis.

2. Hakuna tiba rasmi kwa magonjwa haya yote mawili.

B) UTOFAUTI

1. Homa ya Ini inachanjo, Ukimwi hauna.

2. Ukimwi una dawa za kurefusha maisha,Hepatitis haina unapewa dawa za kupunguza maumivu ukisubiri kuondoka!

3. Virusi vya Homa ya Ini hukaa kwenye maji maji ,Mate(Denda) ,Jasho na damu. Wakati virusi vya Ukimwi hukaa kwenye damu tu.

4. Virusi vya homa ya Ini hukaa nje ya mwili(Kwenye nguo,wembe n.k) kwa siku saba,wakati virusi vya ukimwi hukaa dakika 30 tu.

5. Ugonjwa wa Ini ukiona dalili zake baada ya miezi sita mgonjwa hufariki, Wakati ukimwi ukiona dalili na ukawahi hospitali una ishi miaka zaidi na zaidi.

Dr.Dyumurushi,(B.E,MD,MPH).
 
Asee kama kuna mtu anajua utaratibu wa vipimo na namna ya kupata chanjo aje hapa.
 
Pyaar,

Yaani mtu akisoma hapa kama ni victim anaweza akakata tamaa, homa ya ini inapona kabisa 95% ya wagonjwa wa ini wanapona the rest 5% ndo huwa wanaingia kwenye chronic phase na wao huishi miaka mingi kwa sababu wanakuwa kwenye dose, kwa yule aliyeambukizwa chini ya miez 6 they are likely kupona mapema zaidi.

Acheni kutisha watu hata uliyeenda kucopy haya maelezo huenda una huo ugonjwa sema hujui maana ni silent disease
 
Back
Top Bottom