Sitaki kucheka ila imenibidi nicheke baada ya kusoma mwanzo wa comment yako.kama unasomea udaktari basi ndio maana viongozi wanakwenda kutibiwa nje.
na hiko chuo kikuu mna haki ya kuongozwa na Kikwete.
ngoja nikufundishe sasa, hayo ni jumla ya makombe yote ambayo timu imebeba, yaani ya ndani na ya kimataifa.
hapo namaanisha kwa mfano Madrid amebeba la liga ngapi, kombe la mfalme ngapi, super cup ya spain ngapi, jumlisha champions league, uefa cup, super cup na klabu bingwa ya Dunia.
natumai umenielewa mtoto mzuri.
Sawasawa Mkuu!!!Siombi radhi kenge ww kama una ban we ban Taarifa unatoa ya nn Ac Milan ahieshim babako mm naiheshim barcelona ukimaind kunya boga au kapime tezi dume
Atakaebishana na wewe ni mwehu ktk ulimwengu wa soka.barca ndani ya miaka 10 iliopita ina champions league 4 unataka ufundishwe vp wewe ili ukiri ubora wao
afu hata hao mashabiki wa barca unaosema wameanza kuipenda barca mwaka 2006 acha waipende hata kama barca hii ingeibuka jana mtu anaejua soka ni nini ataipenda tu,
alichotuuzi huyo mtoa post ni kusema milan ndo timu bora milele wakati dunia nzima inajua hakuna kizaz cha kutandaza kabumbu kilichotokea mfano wa hawa la masia
sahau kuhusu brazil ya pele,total football ya holland,milan ya van basten had weah,kizaz hiki cha bayern ya thomas muller na wengine wote
tunachokueleza ni kuwa hiki kizaz cha gaucho xavi iniesta messi ndiyo haswa kilichotupa mashabiki wa soka ulimwengun burudan ya soka hao wengine wasifiane sababu ya unazi wenu tu na wala sio ubora wa kutandaza soka
Kuliko Barcelona ya Messi!?Club nayoiheshimu zaidi Duniani! Ac milan ya 2004 ilikuwa nondo pia
hao viongoz wana akil kama zako zilizojaa usaha lazma wakatibiwe njekama unasomea udaktari basi ndio maana viongozi wanakwenda kutibiwa nje.
na hiko chuo kikuu mna haki ya kuongozwa na Kikwete.
ngoja nikufundishe sasa, hayo ni jumla ya makombe yote ambayo timu imebeba, yaani ya ndani na ya kimataifa.
hapo namaanisha kwa mfano Madrid amebeba la liga ngapi, kombe la mfalme ngapi, super cup ya spain ngapi, jumlisha champions league, uefa cup, super cup na klabu bingwa ya Dunia.
1.natumai umenielewa mtoto mzuri.
bahati mbaya sana mimi na wewe hatukuiona hiyo AC Milan wakati inachezaMimi kukuelewa nilikuelewa ijapokuwa hujaniquote mimi ila niseme tu kuwa hiyi Milan ingekutana na ile Barca ambayo ilimpiga Man U 2-0 pale france, ingeweza kumtandika huyo Milan hata hizo bao 9.
Kuna kitu kimoja kwa Barca, Barca hana tabia ya kukamia kukufunga nyingi, isipokuwa anataka tu akusumbue uwanjani kwa style yake achezayo. Kungekuwa na uwezekana hiyo squad ya Milan ikarudishwa na kukutana na Barca ya 2016 kila timu ktk ubora wake basi dunia nzima tungeandamana kuwa Barca amekiuka haki za kimpira kwa kuidharirisha Milan.
Sema wewe hukuiona.bahati mbaya sana mimi na wewe hatukuiona hiyo AC Milan wakati inacheza
kama wewe uliona UEFA za mwaka 90 basi saluti mkuu..Sema wewe hukuiona.
Jamani wanasema mchezaji bora duniani alipaswa kuwa Garricha je wataalamu wa mpira Hapa kuna ukweli na maana bora kwa wakati wote na sio Pele au maradona
CHELSEA tuliyoipiga 5:0 au ipi hiyo??Sawa Barcelona Bora Lakni Cyo Kwa Chelsea Ata Kama Mbovu Vp