Myao Conte kachanganya wazee gani?
Timu yao woote ni damu changa wale na mzee ni Pirlo na Gigi golini.
So huwezi kuwafananisha na Milan ambao wachezaji wao 6 tu yaani Abiati, Ambrosini, Nesta, Zambrotta, van Bommel na Seedorf ukijumlisha miaka yao ya kuzaliwa utapata miaka 208.
Milan kwa sasa ni usugu tu ndio tumebakia nao lakini haraka iwezekanavyo timu ya kwanza wanatakiwa waanze kina Taiwo kwa Zambrotta, Flamini kwa Van Bommel, Nocerino kwa Gatusso, Mexes kwa Nesta na Robinho kwa Seedorf.
Pia kuna baadhi ya wachezaji ni marufuku kucheza.
Wachezaji hao ni Luka Antonini na Daniele Bonera.
Juve mlipata unafuu wa mechi baada ya mkulungwa Nesta kutoka na kisha Bonera kutupiwa ndani na antonini kuingia shavu la kulia.
Kwa hiyo Juve wakafanikiwa hata kupiga zile one-two kwa kuwa tu hakukuwa na Nesta.
hakika Kwa sasa Maldini, Baresi na Costacurta wanatakiwa wawepo ktk kila mechi ili kuhakikisha wanaihamasisha timu.
Alegri peke yake hawezi liongoza jahazi la Milan.