Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
- #261
milan AC wamepata ushindi wa kishindo nyumbani kwa Atalanta baada ya Ibracadabra pamoja na KPB kuipa ushindi klabu hii yenye mafanikio zaidi hapa ulimwenguni.
Juve wakapata ushindi wa taaaaaaabu baada ya mshambuliaji wao Alesandro Matri kufunga kagoli ka pekee na kupelekea timu hiyo iliyoanza ligi kwa mbwembwe kuibuka na pointi 3
Juve wakapata ushindi wa taaaaaaabu baada ya mshambuliaji wao Alesandro Matri kufunga kagoli ka pekee na kupelekea timu hiyo iliyoanza ligi kwa mbwembwe kuibuka na pointi 3