Honeymoon for Men & Women, dawa ya kuongeza nguvu za kiume ya Viagra iliyojificha kwenye jina la dawa za Asili kutoka Uturuki

Honeymoon for Men & Women, dawa ya kuongeza nguvu za kiume ya Viagra iliyojificha kwenye jina la dawa za Asili kutoka Uturuki

Yaani kwengne unapigia fresh ila kwa mkeo mapigo yanakata.....afu bado unamtafuta mchawi,umerogwa wewe sio buree....Acha zinaa
Mkuu mbona zamani nilikua nazini na napiga kwa wife vizuri kabisa bila shida yoyote? Iweje sasa?
 
Kama ni muangaliaji video za ngono na mpigaji wa punyeto tafadhali acha.
 
kumbe we kiazi eh, ndo maana ulinunua takataka kwa 150k.
Kweli naweza kua kiazi lakini ushauri wako ni wa kipumbavu, ni ushauri wa mtu asie na akili.

Matikiti ya laki na nusu yote ya nini?

Halafu kwa nini matikiti, kwa nini isiwe maembe, mananasi, mastafeli ama mahindi ya kuchoma?
 
Kweli naweza kua kiazi lakini ushauri wako ni wa kipumbavu, ni ushauri wa mtu asie na akili.

Matikiti ya laki na nusu yote ya nini?

Halafu kwa nini matikiti, kwa nini isiwe maembe, mananasi, mastafeli ama mahindi ya kuchoma?
Bado unaendelea kuthibitisha we ni kiazi pro, mkuu ungekaa tu kimya aisee.
 
Nashukuru sijawai kuwa na tatizo la namna hii, mke wangu akipita amevaa kanga moja tu mnara unasoma 4G, anapigwa show akiwa hajakaa sawa mpira unarudishwa kati, ndio tunaanza pasi
 
Wakuu, habari za muda.

Kuna hii dawa inaitwa Honeymoon for Men & Women.

Ni Vifurushi vya asali ambavyo unapewa unatakiwa umeze kimoja baada ya siku 3.

Nimeambiwa kabla ya hapo ilikua ni vidonge, sasa wameboresha wamevileta kama asali.

Kwa nini nimejua hii dawa. Ni hivi, hivi karibuni nimetokea ku underperform kwa mpenzi wangu hadi kufanya nijisikie vibaya sana.

Mpenzi wangu hatukua tumeonana kama mwezi, so kwa expectations zake na zangu ilikua tukikutana ni shoo shoo, shoo ya kufa mtu. Ajabu tulipokutana nikapiga kamoja tena dakika 3 halafu mashine ikagoma kusimama, akafanya juu chini kuisimamisha inadimama kidogo inalala, kidogo inalala.

Hilo jambo likatokea kwa siku 2 mfululizo. Haikuishia hapo, tukapishana tena kwa muda wa wiki 2, tulipokutana hali ikawa vile vile. Kumbuka in between hapo naendelea kupiga show zangu za mtaani kama kawaida bila tatizo lolote, najipigia watoto wazuri bila shida, ila ikifikia yeye mxigo haiunuki baada ya goli la kwanza.

Hali hiyo ikanisosonesha sana, nikalazimika kuuliza wadau nafanyaje kupambana na hii aibu, ndio mdau mmoja ataka anipe suluhisho la hilo tatizo langu, nikasema sawa wacha nijaribu.

Nikaambiwa kuna dawa ya asili ya kigiriki, inaitwa Honeymoon for Men and Women. Inauzwa 150k. Mzee nikatuma pesa ikaletwa. Nilifanya hivyo ili nipate temporary solution kwani weekend nilikua nakutana na mpenzi wangu kwa ajili ya shoo.

Wakuu dawa ikaletwa, nikameza kapakti kamoja ka asali na kunywa maji mengi sana kama nilivyoelekezwa, nikasubiri nusu saa kama nilivyoelekezwa, nusu saa ikapita hakuna kitu, saa ikafika mashine imelala tu.

Baada ya saa 1 na nusu akaja yule mpenzi wangu. Tukaanza maandalizi, sioni maajabu yoyote, nikapiga goli la kwanza kawaida kama vile hua napiga, mzigo ukalala, tukapiga stori nyingi, baada ya lisaa hivi mzigo ukainuka wenyewe, nikaoiga show yangu kama kawaida yangu ambayo hua napiga, mzigo ukalala tena, nbaada ya muda nikarudia cha tatu na mechi ikaishia hapo.

Sasa hii dawa niliambiwa ukimeza nikimeza mshine haitalala, ni mwanzo mwisho naweza kupiga hata goli 5 haijalala, sijaona tofauti yoyote.

Leo nikaamua nijielimishe zaidi kuhusu hii dawa ndio nikaiona mtandaoni ikiwa na onyo kutoka shirika la madawa na chakula la Marekani kwamba ni Viagra iliyojificha kwenye jina la dawa za asili na watu wakatahadharishwa kuitumia.

So wakuu, mjihadhari na haya madawa yanayoitwa ya asili, ni Viagra. Kichwa kinaniuma toka juzi na nimeambiwa ni madhara ya viagra.

View attachment 2833871
Haya madawa Wanayo yasema ni dawa za asili kutoka nje ya Tanzania ni waongo wanachanganya na vidonge aka Viagra unatumia inakusaidia lakini baadae unakuja kudhurika unakuwa hauna nguvu zako za asili zakiume mujihadhari sana. Mimi ninazo dawa za asili za kuongeza nguvu za kiume na pia kuongeza Ukubwa wa uume pasipo na madhara yoyote yale .Unatumia kwa muda maalum uume wako utaongezeka na utakuwa na nguvu milele maishani mwako. Ukitumia dawa zangu hautahitaji tena kutumia dawa ingine yoyote ile ya kuongeza nguvu za kiume au kuongeza Uume uwe Mkubwa. Kwa Mtu mwenye kuhitaji anitafute kwa Wakati wake .



BABU SIMBA KUONGEZA UKUBWA DHAKARI MUHOGO MTAMU ANDIKA INA AYTWAYNAKA MARA 7  KWA SINDANO KIS...jpeg
 
Haya madawa Wanayo yasema ni dawa za asili kutoka nje ya Tanzania ni waongo wanachanganya na vidonge aka Viagra unatumia inakusaidia lakini baadae unakuja kudhurika unakuwa hauna nguvu zako za asili zakiume mujihadhari sana. Mimi ninazo dawa za asili za kuongeza nguvu za kiume na pia kuongeza Ukubwa wa uume pasipo na madhara yoyote yale .Unatumia kwa muda maalum uume wako utaongezeka na utakuwa na nguvu milele maishani mwako. Ukitumia dawa zangu hautahitaji tena kutumia dawa ingine yoyote ile ya kuongeza nguvu za kiume au kuongeza Uume uwe Mkubwa. Kwa Mtu mwenye kuhitaji anitafute kwa Wakati wake .



View attachment 2834314
lipia tangazo mkuu
 
Back
Top Bottom